Mama yako ndio akauze paouchi,miaka 78 Trump anapiga kampeni kama k8hana Biden ana miaka 89 ,kikwete ana 75 analima.Miak 54 akalime wew kijana ukae ukiuza pauchi ausio??
Amepanda nini sasa huyo mzee,miaka 54 bado sana think about kikweteMagufuli,trump,biden waliingia ikulu wakiwa na zaidi ya 55,Kamoeni usiku na mchanaHuo umri ni wa kula ulichopanda Sasa wewe endelea kuponda Raha ukihisi utalima ukifika umri huo
Huyu Pot baadae akijisikiliza anavyomuhoji mustafu mwenzie labda atamuomba samahani maana haieleweki alikuwa anahoji nini hasa 😁😁Wakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country
Huyo ni mvivu tu,hapo dodoma akienda kondoa,chemba mashamba yamejaa teleMpe shamba
Na Obama kaingia na ngapi katoka na ngapi vipi na Emanuel macron atatoka na ngapi harafu umesikia kwanini huyo mzee alistafu mapema?Amepanda nini sasa huyo mzee,miaka 54 bado sana think about kikweteMagufuli,trump,biden waliingia ikulu wakiwa na zaidi ya 55,Kamoeni usiku na mchana
Huyu mzee ni mvivu tu
Akauze hata genge,aache ungese,hata kufuga kuku pia inawezekana,mapolisi wengi wakistaafu wanakuwaga kama wanerogwa,hata huyo anayemuhoji akistaafu ni hivyo hivyowe jamaa kama unakatwa. umesikiliza amesema ni kwanini alistaafu Polisi mapema? au unahara hapa. huwa una vi mada vya kisengesenge. sijui wa wapi we chalii
🤣 mwana unawachukia manjagu. sema usikute naye enzi zake alikua mkuda. isijekuta tunapoteza muda kumuonea huruma.Akauze hata genge,aache ungese,hata kufuga kuku pia inawezekana,mapolisi wengi wakistaafu wanakuwaga kama wanerogwa,hata huyo anayemuhoji akistaafu ni hivyo hivyo
binti mrembo mzima? za masiku?Police either kalewa au kachanganyikiwa.
Nimeshangaa mpk anamuuliza ana wtt wangapi!?
Huyu ni chizi pasay
Mstaafu si kasema yeye tu, una uhakika gani?Wakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country
Hawaelewi hali ilivyo nje ya soko la ajira.Duh nimeumia,jamaa anahoji eti inakuwaje unakosa kazi ya kufanya,huyu hajawahi kupigika,Mimi ni mwajiriwa Lakini siwezi kamwe kumdharau jobless,hawa jobless wanapitia mambo magumu sana,hata kibarua Cha kubeba zege hupati bila kujuana,ila mpuuzi mmoja anakuambia inakuwaje unakosa kazi
Wewe ni pimbi haswa!hawa ndio jamii ya kina Likwenye ambao inadaiwa walikuwa wanatumiwa na Mwenyekiti wa Chadema kufanya uhalifu maeneo mbalimbali ili kuzua taharuki.
Hii ya zamani mkuu.Wakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country
Kwa hio kijana alivomhoji ni sawa tu?Amepanda nini sasa huyo mzee,miaka 54 bado sana think about kikweteMagufuli,trump,biden waliingia ikulu wakiwa na zaidi ya 55,Kamoeni usiku na mchana
Huyu mzee ni mvivu tu