Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uelewekichadema bana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , sipati picha mbinguni watakavosumbua, kwann Mungu alianza kuumba ardhi, mwanga, maji badala ya matunda na bata., ukitaka waelewa hawa jamaa lazima uvute bangi kwanza
Mambo mengine ukiyasikilza,bwana! Kwani Magufuli haruhusiwi kuwekeza - si mnasema Tanzania inakaribisha wawekezaji wa ndani.
Wala Magufuli hakuficha kitu nakumbuka kwenye kampein katika mji wa Bukoba alisema ana tu ng'ombe ng'ombe twake amepanga akistaafa ata hamia Mkoani Kagera - hakulazimishwa na MTU kuyasema hayo, after all ekali elfu 25 kitu gani bwana? Kwani alishindwa kumilikishwa ekali hata nusu million? Mlitaka wazungu ndio waje kuwekeza lakini sio Magufuli!
Tunarudisha zote serikalini
Hii ranch ipo toka enzi na enzi: maskin wa mawazo anafikiri kukosa kwake ni kwasababu tajiri kapataLissu akihutubia wananchi wa Manispaa ya Bukoba amedai Rais Magufuli amepora kiasi cha hekari elfu 25 maeneo ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera.
Magufuli tunaomba ujitokeze ujibu hoja hii. Naomba Magufuli nikukumbushe hilo eneo ni pale Kihanga wanapouzia maziwa, na siku hizi kuna ulinzi mkali sana kiasi kwamba hakuna mtu anaruhusiwa kusimama maeneo hayo.
Na kumbuka ulipokuwa Bukoba ulisema ukistaafu utaishi mkoani Kagera.
Mheshimiwa njoo huku ujibu.
Asante
View attachment 1578414
Mkuu wizi wa sumaye haujastify wizi wa magufuliKwaiyo alivyonyang'anywa ghafla akawa msafi?
Ilikuwa ina milikiwa na magufuli kama ilivyo sasa?Hii ranch ipo toka enzi na enzi: maskin wa mawazo anafikiri kukosa kwake ni kwasababu tajiri kapata
Maneno ya kijiweni ndiyo hulka ya Lisu na wafuasi wake.Lissu akihutubia wananchi wa Manispaa ya Bukoba amedai Rais Magufuli amepora kiasi cha hekari elfu 25 maeneo ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera.
Magufuli tunaomba ujitokeze ujibu hoja hii. Naomba Magufuli nikukumbushe hilo eneo ni pale Kihanga wanapouzia maziwa, na siku hizi kuna ulinzi mkali sana kiasi kwamba hakuna mtu anaruhusiwa kusimama maeneo hayo.
Na kumbuka ulipokuwa Bukoba ulisema ukistaafu utaishi mkoani Kagera.
Mheshimiwa njoo huku ujibu.
Asante
View attachment 1578414
Kama nitampa LIssu kURA yangu ni kwa sababu ya HII kauli hapa.Lissu akihutubia wananchi wa Manispaa ya Bukoba amedai Rais Magufuli amepora kiasi cha hekari elfu 25 maeneo ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera.
Magufuli tunaomba ujitokeze ujibu hoja hii. Naomba Magufuli nikukumbushe hilo eneo ni pale Kihanga wanapouzia maziwa, na siku hizi kuna ulinzi mkali sana kiasi kwamba hakuna mtu anaruhusiwa kusimama maeneo hayo.
Na kumbuka ulipokuwa Bukoba ulisema ukistaafu utaishi mkoani Kagera.
Mheshimiwa njoo huku ujibu.
Asante
View attachment 1578414
Kwani huyo mungu wenu anavyomuita wakala wa Mabeberu hiyo ndio Sera yake?Mr Much know aeleze sera sio majungu majungu au pumzi imekata?
Kwa kifupi mpo tayari kuishi na mwizi yoyote ili mradi aunge mkono Chadema, hamna shida na wezi mnashida wana support CCM... maamuzi ya 2015 yatawagharimu sana mliwasafisha wenyewe saivi mnawavaa tena, mnakosa kuaminika mbele ya wapiga kuraMkuu wizi wa sumaye haujastify wizi wa magufuli
Magufuli ni fisadi. Fisadi lazima apingwe na kila mtu. Hata wewe anza sasa kumpinga fisadi Magufuli. Sema Ameenlissu anatumia nguvu nyingi sana kumshambulia binafsi Magufuli
Magufuli yupo mioyoni mwetu,hata ufanyaje tutampa kura
Tunataka lissu atueleze atafanya nini kutuondoa hapa tulipo kutupeleka juu kimaisha,aache janja janja
Kwahiyo badala ya tirioni 1.5 sasa ameiba ardhi ya watu elfu 25Ndio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Hayo unajua wewe.Kwahiyo badala ya tirioni 1.5 sasa ameiba ardhi ya watu elfu 25
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Nimesikia aisee,si jamaa amekana kwamba pesa za vitambulisho vya umachinga alikua anaifanyia 'manuva'?View attachment 1578789
Viongozi wote wa CCM ni mafisadi. Mwambieni Magufuli arudishe mashamba ya watu huko Karagwe.Kwa hiyo?
Ueleweki
Unajitahidi kumtetea huyo jamaa yenu Ila unazidi kupuyanga tu