Kwahiyo hutaki adaiwe? Ikiwa mwizi wa kuku tu anafungwa miaka 5, yeye ni nani asikumbwe na hilo rungu? Karibu tujadili kijana wa mwendazake.Wwe Gimbi kweli huna ulijuwalo kuhusu Wafanyabiashara Wanyonyaji wanao shirikiana na baadhi ya Viongozi walioko madarakani kupiga ma deal machafu!! Hili la Makonda na GSM ni aina flani ya Karma! Muda utatuambia ukweli wote!!
Kwani Mama siyo untouchable!? Nenda kamuulize Mugabe aliyetoka juzi Lupango atakupa mziki wa Mama ukoje!!!MAGUFULI ALIKUWA UNTOUCHABLE LEO HAYUPO HATA HUYO UNTOUCHABLE SOON ANAISHA
Mbona wwe Makonda hajakusingizia kua unauuza madawa ya kulevya!? "If you don't know the rules don't play the game'!!! Hayo Maneno alikuwa anapenda sana Marehemu Dingi yangu kuniambia! nilipokua mdogo sikumuelewa,hadi nilipokua Mkubwa na kuanza ku play the game ndiyo nikaanza kumuelewa! Na masikini wakati naanza kuelewa Maneno ya Dingi na yeye ndiyo Umauti ukamnyemelea na kumchukuwa!!Ile ford ranger alimdhulumu tajiri mwarabu wa kampuni ya NAS baada ya kumsingizia madawa ya kulevya. Ili achomoke kwenye kesi akamdhulumu ford ranger.
Na huyo GSM umesha jiiuliza kwa nini wampe Mkuu wa Mkoa wa DSM zawadi yenye thamani kubwa Kama hiyo!? What do they wanted in return kutoka kwa Mkuu,ambacho hawajakipata au hajakitimiza na wakaamuwa wamdai Mali yao waliompaa!?Makonda kwa mshahara gani wa serikali wa milioni 4 ajenge ghorofa ya Bilioni 2? Yeye aendelee na kesi zake mahakamani aachane na mali za watu
Huyo anayepayuka ni nani?
Samia Suluhu aache kulinda heshima yake amlinde Makonda? Usisikie majuha wakipayuka hovyo.Kama mtu ni division ZERO hakika hawezi kuficha ZERO yake maishani. Makonda amekuwa mfanyakazi wa Serikali kwa miaka 2014-2020, ni kwa mshahara gani anaweza kumiliki nyumba ya Tsh 2.0 Billion?
Angekuwa ana akili hata ya Div IV, ingebidi akae mbali na utajiri huu na azoee maisha ya kawaida.
Hata kama Rais SSH anamlinda kama inavyodaiwa na baadhi ya watu, ajue tu iko siku Samia atatoka madarakani na ATADHALILISHWA tu. Mali ya DHULUMA na damu za watu wasio na hatia alizomwaga bado zinamtafuta
Extortion.Na huyo GSM umesha jiiuliza kwa nini wampe Mkuu wa Mkoa wa DSM zawadi yenye thamani kubwa Kama hiyo!? What do they wanted in return kutoka kwa Mkuu,ambacho hawajakipata au hajakitimiza na wakaamuwa wamdai Mali yao waliompaa!?
Funguka zaidi Dada Kama kuna kitu wakijiua, Maana wwe nakujua ni wa Kariakoo Kama akina GSM!!Extortion.
Labda alikuwa na mshahara mahalum kama wa TZS 50 mil. kwa mwezi!Kama mtu ni division ZERO hakika hawezi kuficha ZERO yake maishani. Makonda amekuwa mfanyakazi wa Serikali kwa miaka 2014-2020, ni kwa mshahara gani anaweza kumiliki nyumba ya Tsh 2.0 Billion?
Angekuwa ana akili hata ya Div IV, ingebidi akae mbali na utajiri huu na azoee maisha ya kawaida.
Hata kama Rais SSH anamlinda kama inavyodaiwa na baadhi ya watu, ajue tu iko siku Samia atatoka madarakani na ATADHALILISHWA tu. Mali ya DHULUMA na damu za watu wasio na hatia alizomwaga bado zinamtafuta
Clip inasikika kama Makonda alikuwa anagoma kushikwa na askari.Huyo anayepayuka ni nani?
Huyu ni wa kuhurumiwa??Dah huruma imeniingia juu ya Makonda. Watu wameanza kumgeuka mmoja mmoja, ipo siku hata wale wenye magari yao watamdai.
Mara kataka kuuliwa na Ghalib mara Ghalib katuma watu, hii habari haieleweki. Mwenye udaku kamili atumwagie hapa.
Kiongozi wa umma huwezi kuwa mshirika wa wezi, tena huyu alikuwa anatamka hadharani kwamba yeye anaongoza kwa kula raha kumbe jizi tuuu pumbavu zakeHao GSM nao wana record mbovu tu, hapo naona tapeli nae katapeliwa.
Kila nikisoma ule uzi wao ulioko huku JF naona hao jamaa nao wanatakiwa kuchunguzwa na vyombo vya dola, ni wahalifu wanaolindwa na urafiki kati yao na walioshika hatamu.
GSM na Makonda wote marafiki wa Ikulu, shikeni majembe yenu mkalime tu.
Anayenyooshewa kidole siyo mtu mweusi Bali jiziii...mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....
Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Kiukweli kuhusu hizo video clips, sifahamu kitu, ndio kwanza naziona hapa. Tumngoje Kimambe ndiye mwenye sources za udaku.Funguka zaidi Dada Kama kuna kitu wakijiua, Maana wwe nakujua ni wa Kariakoo Kama akina GSM!!
Safi Sanaa bado kwenda jela tuu huyu mpumbavuSio kidole tu bali wameshachukua nyumba yao aliyotaka kuwatapeli kwa mgongo wa JPM na ni wazi bashite hana cha kuwafanya.
GSM ni vijana wa msoga hawakosi back up ya riz ambaye ni naibu waziri wa ardhi na makazi.
Unaona sasa, waanzishe madai fastaMakonda alikuwa tapeli wa kiwango cha juu. Kule Mwanza alipora kiwanja Capripoint kutoka familia ya Chacha, mmiliki wa hospitali ya CF. Akawadanganya kuwa watalipwa, akaishia kujenga nyumba yake binafsi.