duu ndio misemo gani hiyo?Hatuwezi kuukalia kimya UFEDHULI wa Makonda eti kwa sababu na sisi tuna dhambi zetu. Dunia haiendi hivyo, huyu Bashite na Sabaya walikuwa wanamtumikia DIKTETA Magufuli wakidhani hawezi kutoka madarakani au kufa. Walikuwa sawa na Bob Astles na Maliyamungu chini ya Iddi Amini.
"Mkundu ukifa mavi hutawanyika",
Kipi bora kati ya wazungu au waarabu unaowachukia lakini hawakuui wala kukuteka. Sanasana wanatumia ujanja wao kutengeneza fedha wakati wewe hujui namna ya kutengeneza fedha.issue ni unafiki wa wao kujifanya ndugu zetu aka Watanzania wenzetu halafu gizani wanatumaliza na wakijinadi hapa sio kwao, wakati mwingine hata kunyanyapaa ndugu zetu kwa kuwatumikisha kama watumwa..
Sijatetea Wazungu, wao wanakuja kama wageni kabisa kuja kufanya biashara hivyo tunajua kabisa ni wavamizi na tukiwaruhusu ni ujinga wetu, sasa hawa wanafiki wanajifanya watanzania wenzetu hapa huku si kweli...
Sina nia mbaya wala ubaguzi, ila nimekiexperience hiki kitu nina uzoefu nao...ndio maana ni kosa kubwa kuruhusu hawa watu washike uchumi, wakiushika lazima wawaslave..
Kuna mbunge aliwahi kulalamika juu ya utajiri wake wa haraka mwanzoni kabisa mwa ukuu wake wa mkoa sikumbuki alikuwa nani, leo ndiyo naelewa kumbe alishuhudia mambo mengi
Labda ainukie chumbani kwako [emoji12][emoji12][emoji12]Guys mark hii makonda atainuka tena na sijui wataficha wapi sura zao naona ya magu kwa manji
Sawa nakubaliana na hoja yako mkuu lakini:-Makonda sio sawa na wewe, mimi au yule.
Asante sana MkuuToka Bungeni: Mali mpya za Makonda zatajwa, atakiwa aseme pesa anatoa wapi
======== Sakata la mali zinazodaiwa za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda limeendelea kulitikisa bunge baada ya Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini (Chadema) kuongeza nyingine. Akichangia taarifa za Kamati za Bunge za Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge na ya Mambo ya Nje, Ulinzi na...www.jamiiforums.com
Nenda ukamshaki sasa kama una ushahidi, ila hatuwezi kushangilia viongozi wa umma wakipora Mali kwa kutumia vyeo vyao.anayenyoosha kidole kwa jizi naye ni jizi tena zaidi ya huyo Makonda kwa vile tu hayuko kwenye mazingira ya watu kujua hilo... huyo naye niwakushughulikiwa na mamlaka kwa michezo yake... Manji awamu ya nne n huko nyuma alifanya ujinga mwingi sana na wote tulipiga kelele, alivyoshughulikiwa kwa ujinga wake baadala yake tukaanza kumtetea...
Braza umeongea kwa uchungu sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio kidole tu bali wameshachukua nyumba yao aliyotaka kuwatapeli kwa mgongo wa JPM na ni wazi bashite hana cha kuwafanya.
GSM ni vijana wa msoga hawakosi back up ya riz ambaye ni naibu waziri wa ardhi na makazi.
Siku zote ufahamu binadamu wanatofautiana wapo wenye roho mbaya na wapo wenye roho nzuri! Hivyo kama umeexprerience hayo madhila kwa huyo MTU usichukulie kuwa watu wote wenye asili hiyo wako hivyo !! Nadhani wewe umechukulia ule msemo usemao samaki mmoja akioza, wameoza wote ! Sorry huo msemo haumake sense unapowajadili binadamu !!issue ni unafiki wa wao kujifanya ndugu zetu aka Watanzania wenzetu halafu gizani wanatumaliza na wakijinadi hapa sio kwao, wakati mwingine hata kunyanyapaa ndugu zetu kwa kuwatumikisha kama watumwa..
Sijatetea Wazungu, wao wanakuja kama wageni kabisa kuja kufanya biashara hivyo tunajua kabisa ni wavamizi na tukiwaruhusu ni ujinga wetu, sasa hawa wanafiki wanajifanya watanzania wenzetu hapa huku si kweli...
Sina nia mbaya wala ubaguzi, ila nimekiexperience hiki kitu nina uzoefu nao...ndio maana ni kosa kubwa kuruhusu hawa watu washike uchumi, wakiushika lazima wawaslave..
Yaani moto uliokuwa wanapelekewa wamiliki wa malori ulikuwa sio wa kitoto..Hii imesababisha malori mengi ya Tz yasajiliwe Zambia, udikteta umefukuza wawekezaji wengi sana awamu iliyopita
Ubaguzi hauna nafasi katika karne ya 21Hili ni taifa la watu weusi
The flag speaks for itself
Nenda ukamshaki sasa kama una ushahidi, ila hatuwezi kushangilia viongozi wa umma wakipora Mali kwa kutumia vyeo vyao.
Majority kuwa weusi haimaanishi minority hawana haki sawa ...Nchi ni ya raia wote pasipo kubagua rangi ya ngoziNani kakudanganya, Tanzania ni ya weusi WaAfrica kama ambavyo UK ni ya Wazungu weupe na weusi kule walienda kama watumwa tu..
Sasa akiinuka wao inawahusu nini?watu wanadai chao alichowadhulumu,Yeye ainuke au asiinuke arudishe za watu mali za watu alizopora.Guys mark hii makonda atainuka tena na sijui wataficha wapi sura zao naona ya magu kwa manji
Nenda ukamshaki sasa kama una ushahidi, ila hatuwezi kushangilia viongozi wa umma wakipora Mali kwa kutumia vyeo vyao.
Siku zote ufahamu binadamu wanatofautiana wapo wenye roho mbaya na wapo wenye roho nzuri! Hivyo kama umeexprerience hayo madhila kwa huyo MTU usichukulie kuwa watu wote wenye asili hiyo wako hivyo !! Nadhani wewe umechukulia ule msemo usemao samaki mmoja akioza, wameoza wote ! Sorry huo msemo haumake sense unapowajadili binadamu !!
Weka ushahidi acha kulembua macho wewe mbaguzi wa rangi.mtaniattack sana lakini fanyeni uchunguzi mtalijua tu hili..