Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Majority kuwa weusi haimaanishi minority hawana haki sawa ...Nchi ni ya raia wote pasipo kubagua rangi ya ngozi

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app

Hao minority weupe wanapaswa kuwaheshimu hao majority weusi kama wanavyoheshimiwa.. Hao minority weupe wanapaswa kuwa waaminifu kwenye ardhi wanayoiita ni kwao na kwa jamii inayoishi kwenye ardhi hiyo..

Lakini wanapokuwa wanafiki kwa kujifanya wanaheshimu weusi mchana huku usiku sio hivyo haikubaliki, kujifanya waaminifu mwangani huku gizani wakihujumu HAPANA.
...
[/QUOTE]
Hili jukwaa sio la kusambazia unafiki na chuki zako, njoo na facts.
 
Nchi hii tumekuwa mstari wa mbele kupigana na ubaguzi wa rangi, hatuwezi kumuacha Kaburu mmoja mweusi atutoe kwanye vita yetu dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote.
 
Majority kuwa weusi haimaanishi minority hawana haki sawa ...Nchi ni ya raia wote pasipo kubagua rangi ya ngozi

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app

Hao minority weupe wanapaswa kuwaheshimu hao majority weusi kama wanavyoheshimiwa.. Hao minority weupe wanapaswa kuwa waaminifu kwenye ardhi wanayoiita ni kwao na kwa jamii inayoishi kwenye ardhi hiyo..

Lakini wanapokuwa wanafiki kwa kujifanya wanaheshimu weusi mchana huku usiku sio hivyo haikubaliki, kujifanya waaminifu mwangani huku gizani wakihujumu HAPANA.
...[/QUOTE]Katika kila jamii kuna watu wenye mabaya yao,lakini kudemonize jamii nzima kwa sababu ya experience yako wewe ndio una shida...


Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Nani kakudanganya, Tanzania ni ya weusi WaAfrica kama ambavyo UK ni ya Wazungu weupe na weusi kule walienda kama watumwa tu..
Mwenzetu unaishi kwenye zama gani? Maza mwenyewe siyo mweusi na ndiye kashikilia nchi.

Yaani kwa akili yako Mtanzania aliyeoa au kuolewa na Mzungu watoto wake hawawezi kuwa Watanzania .....!!?

Wewe mwenyewe huwezi kutupa guarantee kama 5 gereration kabla yako waliishi Tanzania. Inawezekana ukipimwa Mitochondria DNA yako ikawa na damu ya Uarabu au Uzungu.
 
Makonda leo nae analalamika??? Kweli Dunia duara.
Wajameni sasa angefanyaje??? Madaraka yalimfuata yenyewe !! mpaka akiingia chooni!! ....yanamsubiria mlangoni akitoka tu !! yana mdandia mabegani sasa afanyeje?? mfanyeni mtakavyo mfanya lkn na yeye alifanya alivo ona ni sahihi!!

Kma mnamuua sawa tu!! lkn yeye Makonda hanywi sumu wala nini!!!... akitaka kwenda kujibu chochote ataenda lkn siyo kwa lazima hivo...je akikataa mutamuuua??? kitu ambacho amewaruhusu mkifanye km mkitaka!! yeye alikuwa mtumishi tu!!

lkn ikatokea baadhi ya majinga kumchukia!! hayo sasa ni yenu!! muuueni yaishe mbwa nyieeee!! msitishetishe watu hapa!! kufa ni kufa tu. ..alikufa Samwel Doe akiwa Madarakani tena vibaya!! na alikataa kuondoka Liberia!!

pamoja na USA kumletea Dege la kijeshi limtoroshee Marekani lkn dogo alikataa!! katakata let me die here!! na aliye muua...leo hii habari yake ni ombaomba tu mshenzi mitaani!! nilisikia aliwahi kutubu!!

huyo ni ivo sembuse Makonda?? kamkuu ka mkoa?? tena mkimuita mahakamani haendi!!...mkimkamata hatoki!...fanyeni mnavyo taka paka nyie kushadadia tu umbeya! yeye alikuwa ni kiongozi sasa mlitaka awalambe mavi??? ...

Kikwete kawabeba weee!! msivo bebeka mna mnamnanga mpaka leo! mnamuita majina mara vasco dagama!! mara anasafiri kwa kodi zenu!!! vikodi gani vile vya madafu havina thamani?? sasa

huyu Makonda kapiga kazi mnaleta za kuleta nyamabf zenu mnataka nini sasa??? mtaanza nyie kufa mmoja baada ya mwingine including mleta mada.... make hamsikii!! umbea tyuuuuu! hata mama pia mtaleta majungu tu!!

sijui mkoje??? ndo maaana mliuzwa! nasema mlistahili kuuzwa wote mapaka leo mko ivo!....na msidhani watu km nyie mtajichanganya na Mzungu atawaita nyani tu mpaka Mungu aingilie kati.... bila ivo wote nyie ni wagonjwa wa akili! hamstahili kuishi!

mpigeni risasi basi mfurahi yaishe!!! ...Kama Gadaffi alivouawa!..mfurahi paka-shume nyie!!!!.....na nyie mtakufa bila hata ukuu wa nyumba zenu!! aliyo yafanya ni alifanya mambo kwa mujibu wa sheria za nchi yake!......huyo ni jemedari safi sana!!

yaani ombeni sana paka nyie mie smaki nisiwe Rais wa nchi tu!!! mbona dogo bashite atapeta upyaaaa? Mama samia usiwaruhusu haya majibwa yatammaliza kijana huyo! mlinde vizuri kama huwezi mlete huku ale bata!
 
Siasa za kiafrika is unpredictable kwaiyo kaa kwa kutulia usiongozwe na hisia
Makonda amekwisha huyo, yale mamlaka ya kidkteta hatayapata tena, upepo umebadilika, yule kichaa ameshazikwa mwaka Jana mwezi kama huu
 
Wajameni sasa angefanyaje??? Madaraka yalimfuata yenyewe !! mpaka akiingia chooni!! ....yanamsubiria mlangoni akitoka tu !! yana mdandia mabegani sasa afanyeje?? mfanyeni mtakavyo mfanya lkn na yeye alifanya alivo ona ni sahihi!!

Kma mnamuua sawa tu!! lkn yeye Makonda hanywi sumu wala nini!!!... akitaka kwenda kujibu chochote ataenda lkn siyo kwa lazima hivo...je akikataa mutamuuua??? kitu ambacho amewaruhusu mkifanye km mkitaka!! yeye alikuwa mtumishi tu!!

lkn ikatokea baadhi ya majinga kumchukia!! hayo sasa ni yenu!! muuueni yaishe mbwa nyieeee!! msitishetishe watu hapa!! kufa ni kufa tu. ..alikufa Samwel Doe akiwa Madarakani tena vibaya!! na alikataa kuondoka Liberia!!

pamoja na USA kumletea Dege la kijeshi limtoroshee Marekani lkn dogo alikataa!! katakata let me die here!! na aliye muua...leo hii habari yake ni ombaomba tu mshenzi mitaani!! nilisikia aliwahi kutubu!!

huyo ni ivo sembuse Makonda?? kamkuu ka mkoa?? tena mkimuita mahakamani haendi!!...mkimkamata hatoki!...fanyeni mnavyo taka paka nyie kushadadia tu umbeya! yeye alikuwa ni kiongozi sasa mlitaka awalambe mavi??? ...

Kikwete kawabeba weee!! msivo bebeka mna mnamnanga mpaka leo! mnamuita majina mara vasco dagama!! mara anasafiri kwa kodi zenu!!! vikodi gani vile vya madafu havina thamani?? sasa

huyu Makonda kapiga kazi mnaleta za kuleta nyamabf zenu mnataka nini sasa??? mtaanza nyie kufa mmoja baada ya mwingine including mleta mada.... make hamsikii!! umbea tyuuuuu! hata mama pia mtaleta majungu tu!!

sijui mkoje??? ndo maaana mliuzwa! nasema mlistahili kuuzwa wote mapaka leo mko ivo!....na msidhani watu km nyie mtajichanganya na Mzungu atawaita nyani tu mpaka Mungu aingilie kati.... bila ivo wote nyie ni wagonjwa wa akili! hamstahili kuishi!

mpigeni risasi basi mfurahi yaishe!!! ...Kama Gadaffi alivouawa!..mfurahi paka-shume nyie!!!!.....na nyie mtakufa bila hata ukuu wa nyumba zenu!! aliyo yafanya ni alifanya mambo kwa mujibu wa sheria za nchi yake!......huyo ni jemedari safi sana!!

yaani ombeni sana paka nyie mie smaki nisiwe Rais wa nchi tu!!! mbona dogo bashite atapeta upyaaaa? Mama samia usiwaruhusu haya majibwa yatammaliza kijana huyo! mlinde vizuri kama huwezi mlete huku ale bata!
Makonda ni takataka
 
Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.

Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.

View attachment 2145146
View attachment 2145147
Mtu wa ajabu sana Makonda. Arudishe mali za watu
 
Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.

Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.

View attachment 2145146
View attachment 2145147

Muosha huoshwa[emoji1787][emoji1787]
 
Mwenzetu unaishi kwenye zama gani? Maza mwenyewe siyo mweusi na ndiye kashikilia nchi.

Yaani kwa akili yako Mtanzania aliyeoa au kuolewa na Mzungu watoto wake hawawezi kuwa Watanzania .....!!?

Wewe mwenyewe huwezi kutupa guarantee kama 5 gereration kabla yako waliishi Tanzania. Inawezekana ukipimwa Mitochondria DNA yako ikawa na damu ya Uarabu au Uzungu.

mtapata shida sana kunielewa, issue ni uaminifu kwenye hilo joho la uraia ulilovaa....unaposema wewe ni mtanzania uwe pia muaminifu kwa watanzania wenzako na sio kuutumia utanzania kama ngazi mchana na usiku ukiwa na wenzio unaukana kwa kupanga mbinu kuuhujumu na kuikandamiza jamii yake ambayo sio ya community yako....tuwe wakali hapa kidogo..
 
Makonda ni takataka
Lkn si ALIKUONGOZA??? Mkuu wako wa Mkoa??? tena ukampigia na makofi akipita na vogue lake jeusi!! sasa nani takataka zaidi?? basi kumbuka na wewe ni takataka kwa sababu uliongozwa na taka taka!...kwa nini hukumpinga wkt huo??...

badala yake unajificha nyuma ya key board! si unafiki huo? tena ni zaidi ya unafiki wa kishamaba bora ungepiga kimya tu!...mtaongozwa na nani sasa?..shetani au!

nitashangaa sana ukiwa mwanaume!!! ungejitokeza kumpinga uone muziki wake!...yuko sawa yule weye ndo takataka tena zilizoooza tena uvundo unaonyevua!
 
Unadhan wote tunafanya Kaz zinazofana mkuu. Mm natoka lindo mda huu nimekesha usiku kucha

Halafu acha kukalili wengine mda huu ndio saa moja usiku baadh ya nchi japo mm nipo hapahapa kwa nyerere

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ndiyo ukalale upate nguvu za usiku huko lindo sio kufika lindoni unaanza kusinzia utaibiwa haa haa haa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani moto uliokuwa wanapelekewa wamiliki wa malori ulikuwa sio wa kitoto..
Wafanyabiashara wengi hasa wa juu cha moto walikipata..
Hili la GSM haliwekwi wazi.. Lakini inaonyesha alichezea kitisho na kuambiwa ni maagizo kutoka juu.. Jenga nyumba fullstop
Ila hizo Mali mbona tokea 2013??
 
Jiulize ni kwanini nyumba ya Chato haikuonyeshwa wakati wa msiba.
Hivi ilikuwa ni msiba au maonesho ya nyumba? Yaani watanzania! Ulitaka kamera zianze kuonyesha nyumba badala ya matukio ya msibani. Nyumba uwa haijifichi kama unataka nyumba waulize walioudhuria msibani. Au funga safari uende ukaangalie hiyo nyumba unayotaka kuiona.

Nimeona misiba mingi ya viongozi wakati wa mazishi. Hakuna sehemu kamera zilikuwa zinaacha shughuli ya mazishi na kuanza kuoneshwa nyumba ya marehemu. Mafano msiba wa Nyerere butiama hatukuoneshwa nyumba, Msiba wa Makamu wa Rais Dr. Omari, Msiba wa Jaji Mkuu Msitaafu Ramadhani na mingineyo.

Nimefika Chato, nyumba ya Magufuli ilikuwa ya kawaida tu wala haitishi. Nacho hoji kwa Makonda amekuwa mkuu wa mkoa kwa muda mfupi, je amewezaje kupata hiyo mali yote? Makonda hakuwahi kuwa mfanya biashara, mbali na kuwa mkuu wa wilaya. Lakini anautajiri wa kutisha.
Tusimuunganishe marehemu Magufuli na Makonda. Magufuli aliamini vijana wake japo hao vijana walitumia hiyo nafasi kufanya walio yafanya.

Ni sawa wakati wa Kikwete aliwaamini sana watendaji wake, lakini hao watendaji ndiyo waliofanya serikali ya Kikwete kuonekanika fisadi.
Kulikuwa na mikataba mingi ya kifisadi, rushwa iliongezeka. Watu waligawana mafedha kibao. Kikwete kiualisia hana tamaa ya kujilimbikizia mali. Na Kikwete si tajiri, anamaisha ya kawaida tu. Ila wasaidizi wake katika kada mbalimbali ndani ya serikali na katika chama waliiba kwa kufuru.

Hivyo lawama zisipelekwe kwa viongozi wanao wateuwa, bali ziende kwa wanaofanya hivyo vitendo. Uenda hawa wakubwa viongozi wetu kama Rais wasijue madhambi yanayofanywa na wateule wao.

Wambongo tuache chuki, tuache roho mbaya, kuna mabovu mengi ndani ya serikali yamekuwepo na yapo. Ila tunakali kumsema mtu mmoja tu Magufuli. Huu ni wivu na roho ya visasi.
 
Lkn si ALIKUONGOZA??? Mkuu wako wa Mkoa??? tena ukampigia na makofi akipita na vogue lake jeusi!! sasa nani takataka zaidi?? basi kumbuka na wewe ni takataka kwa sababu uliongozwa na taka taka!...kwa nini hukumpinga wkt huo??.....
Huyo mumeo ni takataka
 
Back
Top Bottom