kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Tuambie wewe ni nani alimuua ben ? Tupe ushahidi.Kwa hiyo wewe hukuwa Tanzania? Hujui aliyemuuwa Ben Saanane? Azory Gwanda? Hujui nani alikuwa kinara wa kundi la WASIOJULIKANA? Waliommiminia risasi Tundu Lissu?
Hapa klichofanyika Senior Counselor amegonga seal halafu Badae ndio picha zikabandikwa.Angalia hiyo document ya makonda ya 2013 muhuru umepigwa chini ya picha umeshaona wapi legal document muhuru unapigwa ndo inawekwa picha acha ushabiki, ndo GSM wameenda kuchukua Chao wanauhalika makonda Hana evidence
View attachment 2147040
You are 💯% ghey. Stop acting like you’re not.
Kiukweli kuhusu hizo video clips, sifahamu kitu, ndio kwanza naziona hapa. Tumngoje Kimambe ndiye mwenye sources za udaku.
I see you love lil things 🤣
Can't make any sense of what you mean. You sound like a cunt having her monthly period.I see you love lil things 🤣
I see! Inaonekana hata transfer ilikamilika?! Hadi spouse consent? Hii ngoma naiona ikienda kuishia Land Tribunal
Ni kweli hata mzee wa msoga na princeJiulize kwanza kama Makonda mwaka 2013 alikuwa hata na nauli ya basi kwenda kugombea ukatibu mwenezi wa UVCCM? Nauli aliomba kwa Mkapa na anakiri mwenyewe.
Makonda ameanza kupata hela mwaka 2014 baada ya Samuel Sitta kumuingiza kwenye Bunge maalaum la Katiba. Yasemekana mzee Spika alikuwa anakula ule msambwanda wa Makonda
Hiyo ni minong'ono ya mtaani tu. Unaweza kuweka ushahidi mbele ya hakimu mahakamani kama ukitakiwa kufanya hivyo?.Kwa hiyo wewe hukuwa Tanzania? Hujui aliyemuuwa Ben Saanane? Azory Gwanda? Hujui nani alikuwa kinara wa kundi la WASIOJULIKANA? Waliommiminia risasi Tundu Lissu?
Kuna nyumba ya shillingi million 120 regent estate?
You sound like a queefing vagina.Can't make any sense of what you mean. You sound like a cunt having her monthly period.
Hiyo kwisha habari yake, habari zilizopo, Makonda haruhusiwi hata kukatiza nje ya jengo hilo.I see! Inaonekana hata transfer ilikamilika?! Hadi spouse consent? Hii ngoma naiona ikienda kuishia Land Tribunal
Mwamasheria aliyesainisha huu mkataba ana kesi ya kujibu.
Kwani anaedhulumiwa kijana wa kuku?Hizi chuki mnazotengeneza kwa sasa na hakika zitawameza wewe na vizazi vyenu siku za usoni, muachieni kijana wa watu nyumba yake
Kama documents za mauziano ni hizi, then you don't need lens or binoculars to see kuwa ni forged documents. You can just see by naked eyes, they are not bonafide genuine, they are forged documents!.
Hizo ni story tu, unaambiwa toa nyumba au hutoki jela, tunakubambikia kesi ya isiyo na dhaman, sasa kuswekwa jela na kuachia nyumba bora nini?. Sasa hasira za kumjeruhi mtoto wa koboko ndio Makonda ataielewa. Kuna watu wanyonge usoni tu lakini mila na jadi zao hazina tone la unyonge.kweli kuna baadhi ya watanzania ni wajinga sana ila hawa ni zaidi, yaani mtu nakufata kwa kauli tu kuwa mheshimiwa flani anataka nyumba na wewe jinsi ulivyo kiazi pro max unajenga kabisa ukiamini ni kweli?? hivi ni nani aliyeturoga??, halafu unakuja kumlaumu mtu wakati ni upuuzi wako mwenyewe, mtu ni kiongozi wa nchi kweli atakuwa na shida ya kibanda kimoja wakati ana mabangaloo ya kumtosha yeye na vitukuu vyake vilivyopo na vitakavyokuja
Dah! Kweli Enzi na Zama huwa hazidumu. Hubakia historia na simulizi tuHiyo kwisha habari yake, habari zilizopo, Makonda haruhusiwi hata kukatiza nje ya jengo hilo.
Tuliaminishwa kua Bwana PCM hagusiki hata na awamu hii. Lakini kwa kilichotokea kwenye sakata la hiyo nyumba linanipa mashaka na zile kauli za kua ana godfather wa ngazi ya juu sana na kwa hiyo anaendelea ku enjoy impunityHizo ni story tu, unaambiwa toa nyumba au hutoki jela, tunakubambikia kesi ya isiyo na dhaman, sasa kuswekwa jela na kuachia nyumba bora nini?. Sasa hasira za kumjeruhi mtoto wa koboko ndio Makonda ataielewa. Kuna watu wanyonge usoni tu lakini mila na jadi zao hazina tone la unyonge.
Jibu ndilo hili tunalijadili, nyumba inarudi na jela katoka mapema.
Hao wote nasikia waliswekwa ndani wakati wa Makonda.