fatakifataki
Senior Member
- Nov 2, 2009
- 134
- 60
Hii mitaji ya wafanyabiashara iliondoka nao kivipivipi? Mbona kama machuki machuki yapo kazini?GSM ndo KIKWE..... NDO HELA ZA SHOPPING CENTER ZILIPOFICHWA NDO HAO WALIO IUA KARIAKOO KWA KUONDOKA NA MITAJI YA WAFANYA BIASHARA NDO WAKWEPA KODI WAKUBWA
Aliyefariki ni Dk Chacha. Lakini Baba yake, ambaye ndiye mmiliki wa CF hospital, bado yupo, na familia bado ipo.Si alifariki huyu dokta Chacha? Aisee Makonda basi atakuwa ana visasi kwa watu wengi sana na itamu hunt sana
Yes sisi ndio tuliodhulumiwa na kuuliwa ndugu zetu, kwani mimi unanifahamu? Azory, ben , alphonce hawa ni ndugu zangu,.wamachinga waliobomolewa vibanda na kupokonywa bidhaa zao kuna wapwa wangu pale, nyumba zilizobomolewa kimara mojawapo ni ya baba yangu mdogo.Ukitaka kuona real zile afrikan illusion characters njoo JF, yaani watu wanaandika utadhani wao ndiyo walidhurumiwa, kuuliwa ndg, kutapeliwa, kufungwa nk.
Mjazeni upepo tu, ashapokonywa kisu alichokuwa anatutishia nacho, the rest will be DRAMA.Bashite usiachie hao .Kiendacho kwa mganga hakirudi. Hiyo ni mali yako na nyaraka walisigna. Komaa baba hao warabu koko na wao wachafu tu.
Kukosa akili ni hata kumnukuu mtu out of understood.umekosa akili ya kujua kwa nini wanalalamika?
Is the first time for this to happen?.Yes sisi ndio tuliodhulumiwa na kuuliwa ndugu zetu, kwani mimi unanifahamu? Azory, ben , alphonce hawa ni ndugu zangu,.wamachinga waliobomolewa vibanda na kupokonywa bidhaa zao kuna wapwa wangu pale, nyumba zilizobomolewa kimara mojawapo ni ya baba yangu mdogo.
Kwanini nisilie nao kwa hizo dhuluma.?
Wacha vyuma visuguane muosha naye aoshwe.Mbona hawakusema toka mwanzo kua Makonda anawalazimisha wamjeengee hiyo Nyumba! Hao wote wanajuwana kwenye ma deal yao machafu! Na si muda Siri zao wote watazitoa kwa jamii, ili mjuwe aina ya Viongozi na Wafanyabiashara mnao waamini sana!!
Never loses an address!!"KARMA" !!!
Watumishi gani wewe, wataje!Mbona kuna Watumishi wengi tu wa Umma wanamiliki Mali ambazo haziendani na vipato vyao!? Au wwe Tanzania umekuja juzi!? Hii point yako futa kabisa,labda uje na hoja nyingine!!
Watanzania ni ndugu ukimuua mtz umeua ndugu yetu.Ukitaka kuona real zile afrikan illusion characters njoo JF, yaani watu wanaandika utadhani wao ndiyo walidhurumiwa, kuuliwa ndg, kutapeliwa, kufungwa nk.
Usiishi kwa mazoea.Is the first time for this to happen?.
Ajali ya aina moja mara mbili?Nadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.
Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Mkuu peleka mahakamaniHao GSM nao wana record mbovu tu, hapo naona tapeli nae katapeliwa.
Kila nikisoma ule uzi wao ulioko huku JF naona hao jamaa nao wanatakiwa kuchunguzwa na vyombo vya dola, ni wahalifu wanaolindwa na urafiki kati yao na walioshika hatamu.
GSM na Makonda wote marafiki wa Ikulu, shikeni majembe yenu mkalime tu.
Siyo kazi yangu, lakini ni suala la muda tu huyu pimbi iko siku utampelekea maji na sabuni SegereaMpeleke jera siunayo mamlaka na uwezo huo na ushahidi unao
Akili hizi ndiyo akili za Sukuma Gang. Makonda hatokuja ibuka tena kisiasa. Yule aliyekuwa anamuwezesha tulimfukia Chato March / 27/ 2021.Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.