Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Kimeumana.....🤔

Muhuni mmoja anapambana na genge la wahuni....😂🤣
...in H slow slow voice...
 
Ungejua nafasi aliyonayo bashite huko serikalini sasa hivi.........
Nimegundua wengi vingi hamjui, ndio maana nilisema Kubenea anapoteza muda
 
Ungejua nafasi aliyonayo bashite huko serikalini sasa hivi.........
Nimegundua wengi vingi hamjui, ndio maana nilisema kubenea anapoteza muda
Sasa pamoja na hiyo nafasi unayosema anayo ila hii nyumba ndiyo hivyo tena wenye nyumba wameshachukua mali yao wanaimiliki kuanzia ardhi hadi majengo yake na bashite hajatoa hata mia.
 
Yule mnyaturu wa full time security Magufuli na Makonda walimchukulia mabilion yake kwa nguvu hadi jamaa akabaki hana kitu na stroke kumshika na kulazwa hospitalin mda mrefu. Isingekuwa ndugu zake nje kumtumia hela za matibabu na chakula angeshakufa. Na si yeye wengi tu.

Halafu eti anaitwa shujaa sijui SRG sijui bwawa la nyerere.

Shetani endelea kuongeza kuni na kuchochea moto
 
Usiseme hivyo, kisasi kitakachotokea baada ya 2025 hautokaa kuamini, nakuhakikishia hilo.
 
Yule mzee alikuwa zaidi ya shetani
 
mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....

Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Ni Ghalib sio "Gharib" na sio Msomali huyo, kama hujui ni heri ukae kimya tu. Huyo ni Mmahara na Mdigo wa Tanga.

Wanadaiana waachwe wadaiane kwa raha zao.

Makonda inaonesha alitumiwa na GSM kama ile mipira, kazi yake imekwisha sasa hana faida tena atupwe tu.

Siku za mwizi 40, kama Ghalib nae kuna dhulma aliifanya basi malipo ni hapa hapa duniani.
 
GSM wenyewe wanaishi kwa ujanja ujanja maana tajiri Africa lazima uinamishe kichwa kwa wakubwa ili mambo yaende
 
Umewaza mbali sana, hata mimi naona itakuwa ni balaa.
 
Ukijiamini kwenye maisha na ukiwa mtu wakuridhika ata usiwe tajiri kuanguka kwa mwingine akuwezi kuwa jambo la furaha kwako kwa sababu uongezewi wala upungukiwi kitu.

Pambana vita yako kwenye maisha kwa silaha ulizopewa wewe furaha yako aiwezi kuwa kuona mtu mwingine anaangamia hiyo ni roho ya kimaskini tu.

Mange ni mzuri wa kutengeneza premise which suits the misleading narratives anayotaka kutengeneza; ujinga ni mtu mwenye akili zake timamu kuchukua anachoandika 100% kuwa ukweli.

Kama Makonda na team JPM ambavyo awakutegemea kibao kitabadilika kabla ya miaka 10, wengine wanatakiwa kujifunza hilo.

Ipo siku watu watapindua meza na wewe utarudiwa kama ulivyowaendea wenzio yote kwa sababu ya chuki/visasi ambavyo unatengeneza pasipo na ulazima, so busara ni kuangalia mbele tu kwenye maisha ya siasa na ‘hewala sio utumwa’ lakini ukiwa mjuaji ‘unapoona mwenzako anayolewa, na wewe tia kichwa maji’ zamu yako muda wowote.

GSM watu wanawajua tangia wakiwa wana miliki duka tu Songea na source ya utajiri wao, lakini watu wanaelewa nchi ya deal visasi havina maana kumaliza tatizo ni kuondoa mfumo sio kuumiza walionufaika kwa mazingira waliyoyakuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…