Samahani bibi, hivi enzi zenu hii mipira ilikuwa imeshaingia au ulikuwa unatumia mifuko ya rambo?Ni Ghalib sio "Gharib" na sio Msomali huyo, kama hujui ni heri ukae kimya tu. Huyo ni Mmahara na Mdigo wa Tanga.
Wanadaiana waachwe wadaiane kwa raha zao.
Makonda inaonesha alitumiwa na GSM kama ile mipira, kazi yake imekwisha sasa hana faida tena atupwe tu.
Siku za mwizi 40, kama Ghalib nae kuna dhulma aliifanya basi malipo ni hapa hapa duniani.
Una elimu gani?Hao GSM nao wana record mbovu tu, hapo naona tapeli nae katapeliwa.
Kila nikisoma ule uzi wao ulioko huku JF naona hao jamaa nao wanatakiwa kuchunguzwa na vyombo vya dola, ni wahalifu wanaolindwa na urafiki kati yao na walioshika hatamu.
GSM na Makonda wote marafiki wa Ikulu, shikeni majembe yenu mkalime tu.
Wewe ndio unalobado bili4 na Zaidi ekari ya 50 za kule kigamboni za manji, makonda mwaka huu mbona analo?
Huyo alikuwa gamba mwenzioBado yale magari aliyokuwa anadhurumu, zama zimebadilika, atemeshwe vyote, alimjengea mama mkwe wake Ngara kwa Hela za utapeli
Mkuu wanasiasa si watu wa kuweka nao bifu hasa unapokuwa mfanya biashara. Kama GSM wana mtu wa PR wataliona hili nalosema. Hivi nani alijua Makala atakuja kuwa mkuu wa mkoa wa Dar???? Ninachomaanisha hapa ni kuwa wanasiasa wana mitaji mikubwa ya network, mtu anaweza kuwa idle kwa muda ila siku mtu wake akimkumbuka basi anaweza kulipiza kisasi. Msipe kichwa GSM. Na kumbukeni Makonda na Mama ni kitu kimoja.
Ungejua nafasi aliyonayo bashite huko serikalini sasa hivi.........
Nimegundua wengi vingi hamjui, ndio maana nilisema kubenea anapoteza muda
Mbona akina W Bush wamedumu na wanadunda tu? Au unadhani Mungu aliposema anawanyeshea mvua wema na wabaya hukutambua nao wabaya wanaishi miaka mingi kwa makusudi ya Mungu?Makonda leo nae analalamika??? Kweli Dunia duara....Jengo lenyewe linaonekana halijaisha...Lakini Kupitia Makonda watu wajifunze ubaya hapa Duniani haudumu na ukitenda ubaya utaulipia kabla hujafa...kingine cheo hakidumu heshimu watu...
Kama serikali iliamua kumfungulia kesi za kutosha Sabaya sioni ni kwanini Makonda ambaye ni zaidi ya Sabaya serikali hiyo hiyo inapata kigugumizi cha kumfungulia kesi. Mbona ni swala rahisi sana ni kiasi tu cha kutangaza kuwa kila mwenye ushahidi awasilishe polisi au takukuru basi biashara imeisha. Ikitokea ushahidi haujitoshelezi basi aachiwe na mahakama imsafishe aachwe aendelee na maisha yake kama kawaida.
Lakini hii habari ya kuacha kila mtu aende binafsi kumdai Makonda naona kama linaichafua serikali na ni hatari kwa maisha ya Makona kwani sio wote watakaenda kudai mali zao kistaaarabu hasa ikitokea kama kweli kuna mtu ana madai halali halafu alidhulumiwa kibabe kwani kila mtu anajua yaliyokuwa yanatokea kipindi hicho.
Ikalie kwa kalio moja sauti itakubali tu. Simu zingine zina viburi sana.Simu yangu ina quality mbovu sauti. Ambaye amesikia kinachozungumzwa akitype
Duuuh...[emoji15][emoji2960]Makonda alikuwa tapeli wa kiwango cha juu. Kule Mwanza alipora kiwanja Capripoint kutoka familia ya Chacha, mmiliki wa hospitali ya CF. Akawadanganya kuwa watalipwa, akaishia kujenga nyumba yake binafsi.
Unaitwaje huo uzi?Hao GSM nao wana record mbovu tu, hapo naona tapeli nae katapeliwa.
Kila nikisoma ule uzi wao ulioko huku JF naona hao jamaa nao wanatakiwa kuchunguzwa na vyombo vya dola, ni wahalifu wanaolindwa na urafiki kati yao na walioshika hatamu.
GSM na Makonda wote marafiki wa Ikulu, shikeni majembe yenu mkalime tu.
Ungejua nafasi aliyonayo bashite huko serikalini sasa hivi.........
Nimegundua wengi vingi hamjui, ndio maana nilisema kubenea anapoteza muda
Daa jamaa namfahamu kitambo sana alikuwa mtu poa sana nilikuwa mwajiriwa kwenye kampuni ambayo ilikuwa inafanya biashara na FULLTIME SECURITY. Sijamuona siku nyingi na sikuwahi kufahamu kuwa jamaa naye aliptishwa kwenye tanuru la moto na wenye nchi wa wakati huo.Yule mnyaturu wa full time security magufuli na makonda walimchukulia mabilion yake kwa nguvu hadi jamaa akabaki hana kitu na stroke kumshika na kulazwa hospitalin mda mrefu. Isingekuwa ndugu zake nje kumtumia hela za matibabu na chakula angeshakufa. Na si yeye wengi tu.
Halafu eti anaitwa shujaa sijui SRG sijui bwawa la nyerere.
Shetani endelea kuongeza kuni na kuchochea moto
[emoji13][emoji13]kumbe ndo maana naibu waziri wa ardhi alikua anawaonya sana wavamizi wa maeneo ya watu[emoji1781][emoji1781]Sio kidole tu bali wameshachukua nyumba yao aliyotaka kuwatapeli kwa mgongo wa JPM na ni wazi bashite hana cha kuwafanya.
GSM ni vijana wa msoga hawakosi back up ya riz ambaye ni naibu waziri wa ardhi na makazi.
Kipindi cha sakata la homeshoping sikuwa na smartphone hivi ilikuajeGSM ndo KIKWE..... NDO HELA ZA SHOPPING CENTER ZILIPOFICHWA NDO HAO WALIO IUA KARIAKOO KWA KUONDOKA NA MITAJI YA WAFANYA BIASHARA NDO WAKWEPA KODI WAKUBWA
Huruma imekuingia? Wewe kwel ni mtanzania wa hovyo.
Wewe hapo mmoja wao!!Watumishi gani wewe, wataje!