TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Watanzania ni ndugu ukimuua mtz umeua ndugu yetu.
Tunasoma humu humu mchezo wote wala si mbali so we're on gain of that.Usiishi kwa mazoea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania ni ndugu ukimuua mtz umeua ndugu yetu.
Tunasoma humu humu mchezo wote wala si mbali so we're on gain of that.Usiishi kwa mazoea.
Huyo kama utakumbuka vizuri ndiyo alikuwa mtetezi wa maovu yoote ya Makonda kipindi cha Jiwe.msomeni huyu mpuuzi hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kwa hiyo ukidhulumiwa na mwanasiasa utulie tu. akitaka hivyo akamdhulumu mama yake wamalizane kindugu
Sukuma gang yooteWatu wengi wa karibu na mwendazake walitajirika kupitia jina lake
Hana wasiwasiMakonda kauwasha mwenyewe moto wacha sasa awaone wanadamu
2B jamani?Na wana hasira naye kwelikweli, walikuwa wanafikiria pakuanzia
Umewahi kuona 500BAmehamia? Chadema hata ukivurunda unalindwa tu, walioiba bilioni 500 za Sabodo wapo, waliokopeshana gari kwa Hela za chama wapo, na hakuna hatua imechukuliwa
Bora umeliona hilo yaani.Tangu mbowe atoke jela JF imekuwa ya hovyo sana
Serikali ipi ambayo Bashite ana nafasi? Niambie ofsini kwake niende nikamzabe vibao!!Ungejua nafasi aliyonayo bashite huko serikalini sasa hivi.........
Nimegundua wengi vingi hamjui, ndio maana nilisema Kubenea anapoteza muda
Kweli kabisaRecord yao chafu haiwazuii kuchukua nyumba yao iliyotaka kutapeliwa na bashite.
Tunaomba picha ya hilo hekalu la RC Poo Makonda tulihakikiWhat goes around always comes around.
Well saidHuyo huyo nape aliondolewa uwaziri kisa makonda. Mimi nassuport GSM wakadai nyumba yao maana kudai Mali yako hakuna uhusiano na kuwa uRais na uWaziri was mtu.
Wezi nendeni mkateane huko sisi letu bando tu.🤣🤣mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....
Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Uvccm woote walikuwa kama vichaa. Wengine walijipa vyeo vya UTiss na ulinzi wa taifa.Kwa kweli akafe mbele....
alikuwa anatengenezwa taswira mbovu kwa vijana wa buku saba wakimuona kama role model wao huku wakishupaza shingo kuwa na wao watayapatia maisha kwa kuunga unga....
Wakati Makonda na Sabaya wanadidimia Tazama Mbowe anavyoinuliwa siku hadi siku.Makonda leo nae analalamika??? Kweli Dunia duara....Jengo lenyewe linaonekana halijaisha...Lakini Kupitia Makonda watu wajifunze ubaya hapa Duniani haudumu na ukitenda ubaya utaulipia kabla hujafa...kingine cheo hakidumu heshimu watu...
Waseme Kwa nani ? Makonda mshahara rc unatosha kweli kumiliki Mali hizo ?Mbona hawakusema toka mwanzo kua Makonda anawalazimisha wamjeengee hiyo Nyumba! Hao wote wanajuwana kwenye ma deal yao machafu! Na si muda Siri zao wote watazitoa kwa jamii, ili mjuwe aina ya Viongozi na Wafanyabiashara mnao waamini sana!!
Aliimba Bele 9🤣🤣🤣Ukitaka ubaya dai chako