Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
- Thread starter
- #681
Jamani acheni kutukanana na Nyani Ngabu kwenye public. Nendeni inbox. Please GoldschmidtDid you remember to wash your snatch this morning?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani acheni kutukanana na Nyani Ngabu kwenye public. Nendeni inbox. Please GoldschmidtDid you remember to wash your snatch this morning?
Na kama alinunua 2013 na mikataba kama hivyo inajionyesha si transfer ya Title Deed ingekua ipo kwa jina la Makonda sasa hivi? Kitu gani kimepelekea transfer of ownership isikamilike miaka tisa baadae?Mimi nadhani Makonda kufanya hii 2013 ili kuonesha kuwa hakumiliki ardhi hii wakati akiwa mkuu wa mkoa kuepuka na dhana labda alipora lakini kama ni issue kuanzia 2013 kweli leo 2022 watu walikuwa kimyaa. Ni wakati wa Gharib kuongea ukweli upande wake hii issue imekaaje? je ni kweli ile ni signature yake? na je ni kweli aliuza eneo mwaka 2013? mwaka 2013 ni muhimu sana au je ali sign kwa nguvu siku za karibuni kwa kushurutishwa? Hili jambo serious na sio kwa sababu Makonda tu huko ardhi wanafanya mangapi kama haya. Mimi kwa maoni yangu kuna uganganyifu maana kama GSM aliuza kweli sioni sababu ya kudai lakini hapa tunataka kujuwa 2013-2022 nani alikuwa anamiliki nini kimetokea katikati hapa.
Nakubaliana na wewe nadhani na GSM aoneshe title deed hapo Makonda ndio utakuwa mwisho wa safari yake.Na kama alinunua 2013 na mikataba kama hivyo inajionyesha si transfer ya Title Deed ingekua ipo kwa jina la Makonda sasa hivi? Kitu gani kimepelekea transfer of ownership isikamilike miaka tisa baadae?
Hiyo inayoonyweshwa na kubishaniwa ni mikataba. Tunataka kuona Title Deed yenye jina la Paul Christian Makonda
Angekuwa Lema na Mbowe si ungesikia Jamhuri imekwisha fast track kesi? Kwa jinsi wanavyowatafuta kuwafunga! kt the irreplaceable yaonekana wewe si mtu makini wala huna uwezo wa kuchambua issues.Ushahidi? Hata mimi naweza kusema ni mbowe na lema walimuua ben.
Ma diaspora hao wanatukana kizungu!Jarubuni kupunguza lugha za matusi.Tunajadili jambo sensitive la ndugu yetu Gharib
Kaz imeanza Sasa
Hayo ni machache tu kati ya mengi yaliyojificha
Bado naibu waziri wa ardhi na yeye kufungua kesi ya kusingiziwa anauza sembe kali
Hapo bashite hana chake tena ataishia kulia lia tu akumbuke pia naibu wazir wa ardh aliwai kumusingizia jambo kubwaMwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.
Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.
View attachment 2145146
View attachment 2145147
Usiite watu makapuku huku hujui wameanzia wapi, kwasababu kila binadamu anapokuja Duniani, anakuja with nothing, na ataondoka with nothing, hivyo kupata Mali, utajiri, umaarufu ni akili ya mtu na sio lazima, iwe ni Mali ya urithi. Paul Makonda, sio tuu ni kijana mwenye akili Sana, pia ni mtu mwenye bahati.Kapuku Makonda alikuwa na urithi gani ?
NyieMwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.
Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.
View attachment 2145146
View attachment 2145147
Na huyo GSM umesha jiiuliza kwa nini wampe Mkuu wa Mkoa wa DSM zawadi yenye thamani kubwa Kama hiyo!? What do they wanted in return kutoka kwa Mkuu,ambacho hawajakipata au hajakitimiza na wakaamuwa wamdai Mali yao waliompaa!?
Mbona baadaye aliokoka?Huu ndio ukweli….waaafrika tumelaaniwa msikilize Ongala hapa
View attachment 2145841
Sukuma Gang upo kumtetea mwenzako baada ya kukosa uteuzi. Kila la kheri mkuuUsiite watu makapuku huku hujui wameanzia wapi, kwasababu kila binadamu anapokuja Duniani, anakuja with nothing, na ataondoka with nothing, hivyo kupata Mali, utajiri, umaarufu ni akili ya mtu na sio lazima, iwe ni Mali ya urithi. Paul Makonda, sio tuu ni kijana mwenye akili Sana, pia ni mtu mwenye bahati.
PMafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Wanabodi, Ukiisikia simulizi za historia ya Mkuu wa Dar es Salaam, Paul Makonda, tangu kuzaliwa, alipotoka, mapito aliyopitia na hadi sasa alipo, na kuifikiria picha ya anapokwenda, baada ya kusoma makala hii na kusikiliza masimulizi haya, mtakubaliana na mimi kuwa, huyu Paul Makonda ni...www.jamiiforums.com
Ameona kuna loose sehemu? Au anatumia cheo chakeKaz imeanza Sasa
Hayo ni machache tu kati ya mengi yaliyojificha
Bado naibu waziri wa ardhi na yeye kufungua kesi ya kusingiziwa anauza sembe kali
Atakuwa anaishi huko sasa hivi mana kuna siku nilimuona maeneo ya CF anatembea na mabaunsa wawili kuelekea capripointMakonda alikuwa tapeli wa kiwango cha juu. Kule Mwanza alipora kiwanja Capripoint kutoka familia ya Chacha, mmiliki wa hospitali ya CF. Akawadanganya kuwa watalipwa, akaishia kujenga nyumba yake binafsi.
Mkuu ammoshi , kwenye mauziano mengi ya land, na hata Nagari ya thamani kubwa, watu wanafanya deflate the price ili walipe transfer fee ndogo. Hiyo figure inayoonekana hapo sio the real price, hiyo ni just a visible cost, lakini the real cost ni nyingine. Michezo hii serikali yetu inainua na tunaicheza at government level, mfano mzuri ni ununuzi wa jengo la ubalozi wetu Rome, tumelipa mara mbili, kwanza tumelipa the visible cost, malipo yanayoonekana na kukatiwa receipt na kulipwa through bank account ya ubalozi, ambayo ndio yatalipiwa Kodi.Pia eneo kama Ada Estate at that moment at least kiwanja kilikua kinarange 500M- 1Billion. How did he convince the man to sell at less PRI
Kutetea watu humu sikuanza Leo...Sukuma Gang upo kumtetea mwenzako baada ya kukosa uteuzi. Kila la kheri mkuu
Tutamtetea?Kutetea watu humu sikuanza Leo...
Hivyo hata sasa kwenye hili la kutaka kumpora nyumba, tutamtetea.Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia
Wanabodi, Hili ni bandiko la kuhamasisha a mass mobilization ya kupata kundi kubwa la watu, kuunga mkono kwa dhati, juhudi kubwa zinazofanywa na Mkuu wetu wa mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Christian Makonda, katika vita mbalimbali, ikiwemo vita hii v kubwa ya dhidi ya madawa ya kulevya...www.jamiiforums.com
P