Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
🖕🖕u born with a silver spoon in ur beaker?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🖕🖕u born with a silver spoon in ur beaker?
Wa kwetu mbona mnatukanana Sana. Shida ni Nini?[emoji867][emoji867]
Hao ni UVCCM.Wana tabia ya kitoto sana
Hii nimeisha izungumza hapaTutamtetea?
View attachment 2147714
Ile sio corruption, ni tax aversion, sheria za Kodi dunia mzima, Kodi zinalipwa na residents only, members of diplomatic corp are exempted, hivyo aliyeiba Kodi yao ni raia wao, na alipoulizwa kama amelipwa mara mbili, aliruka kimanga, maana angekubali, ni jela straight.Kwa hiyo ndio theory iliyokua nyuma ya kesi ya Profesa Mahalu? Hata state house ilihusika? Kwa hivi hatuwezi kuwekewa sanctions? Maana hii ni state corruption. We at at fault with all the international laws and regulations. Kwa kesi hii Makonda ameliwa. Halafu under normal circumstances he cant construct a house that big with the meager salary of a civil cervant. Hata maraisi inabidi wajengewe na serikali maana ni near impossible
Hii nimeisha izungumza hapaTutamtetea?
View attachment 2147714
Ile sio corruption, ni tax aversion, sheria za Kodi dunia mzima, Kodi zinalipwa na residents only, members of diplomatic corp are exempted, hivyo aliyeiba Kodi yao ni raia wao, na alipoulizwa kama amelipwa mara mbili, aliruka kimanga, maana angekubali, ni jela straight.Kwa hiyo ndio theory iliyokua nyuma ya kesi ya Profesa Mahalu? Hata state house ilihusika? Kwa hivi hatuwezi kuwekewa sanctions? Maana hii ni state corruption. We at at fault with all the international laws and regulations. Kwa kesi hii Makonda ameliwa. Halafu under normal circumstances he cant construct a house that big with the meager salary of a civil cervant. Hata maraisi inabidi wajengewe na serikali maana ni near impossiblelll in
si muonyeshe huo uozo washughulikiwe, au ni hisia tu kama yule mwandishi wa habari aliyekuwa anamtegea makonda. anaonge kama katoka uhayani leo.GSM nao ni kichaka tu cha rushwa na uozo mwingine
Hiyo video Iko Ap Mkuu, naomba ipost tenaMwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.
Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.
View attachment 2145146
View attachment 2145147
Public ilivyo na chuki na Bashite, hakuna atakachokisema kitakachomtakasa!Dar es Salaam. Wakati Wakili wa mfanyabiashara maarufu nchini, Ghalib Said Mohamed (GSM), Alex Mgongolwa ameweka wazi vielelezo vya umiliki wa eneo kiwanja namba 60 lililopo Regent Estate Kinondoni jijini hapa, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemtaka mfanyabiashara huyo kumwachia mali yake.
Mzozo wa kiwanja hicho umeibuka hivi karibuni, ambapo Makonda ameonekana katika video iliyorushwa kwenye mitandao ya kijamii akisisitiza kuwa eneo hilo ni lake.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Machi 12, 2022 jijini hapa Wakili Mgongolwa amemtaka mtu ambaye hakumtaja kwa jina, kuweka wazi vielelezo alivyonavyo vya umiliki wa eneo hilo na vielelezo kutoka Wizara ya Ardhi vinavyompa uhalali wa kulimiliki.
Hata hivyo, Makonda alipotafutwa kwa simu leo, amejibu kwa ujumbe wa WhatsApp, akisema; “GSM usinilazimishe kusema uozo wako achia mali yangu. Walioko nyuma yako nawajua.”
Kama hiyo haitoshi, katika ukurasa wake wa Instagram, Makonda aliweka video ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka ambayo pamoja na mengine alieleza haja ya kutaka Jeshi la Polisi kuchunguzwa, kisha akaweka ujumbe:
“Naunga mkono hoja ya Kamati Kuu, ya kuchunguza mwenendo wa baadhi ya maafisa wa Jeshi la Polisi, wanaolipaka tope Jeshi la Jolisi kwa kuwalinda wafanyabiashara MATAPELI wanaodhulumu mali za watu. Naomba tuanze na Dar es salaam na mimi Paul Makonda niko tayari kutoa ushirikianao
nimegusia issue iliyozungumzwa kuwa mdai anasema ex-RC alidai nyumba hiyo mwenye shida nayo ni Mkulu, ilhali kwa nafasi yake hawezi kuwa na shida ya nyumba sababu kawa kiongozi namba moja wa nchi.Mwanasiasa ana mabangaloo kwa mtaji upi?
Hebu funguka!
kipengele ni kuwa alimtusi mwanae wa pekee kwa kumwita muuza poda, hapo mzee wa visasi lazima akulie timing refer kesi ya seyaUmasahau kuwa Makonda ni uzao wa Vasco Dagama? Jiwe ni baba wa kufikia tu!!
Haimaanishi ndio jamaa apole mali yaoGSM nao ni kichaka tu cha rushwa na uozo mwingine
Arudishe Mali za watu ndio solutionnimegusia issue iliyozungumzwa kuwa mdai anasema ex-RC alidai nyumba hiyo mwenye shida nayo ni Mkulu, ilhali kwa nafasi yake hawezi kuwa na shida ya nyumba sababu kawa kiongozi namba moja wa nchi.
kipengele ni kuwa alimtusi mwanae wa pekee kwa kumwita muuza poda, hapo mzee wa visasi lazima akulie timing refer kesi ya seya
Manara kuwa na shukuraniBalaaa zitoView attachment 2148296
Hapa sasa inanipasa niamin wale walio mtupa nje ya Lunyasi huyu msemaji chupli chupliManara kuwa na shukurani View attachment 2148462
Hivi Makonda hana watu wa kumshauri kweli anafanya Nini TANZANIA ? Kuna watu wana matumaini ambayo ni infeasible. Kurefer ya sabaya Makonda alitakiwa ahame nchi siku nyingi sana.Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.
Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.
View attachment 2145146
View attachment 2145147
Kila jambo lina mwisho kwenye hii sayari, leo bashite ndiyo anakosa imani na jeshi la police , naomba mwenye ile picture za matukio hasa siku waitara anatangazwa mbunge baada kuunga juhudi aiweke kwenye mitandao ili dunia iione na wengine wajifunzeMwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.
Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.
View attachment 2145146
View attachment 2145147