VIDEO: Mbowe, Lissu wasalimiana kibabe BAWACHA, huku wakicheza kwa bashasha wimbo wa "Tuvushe Mbowe Tuvusheee"

VIDEO: Mbowe, Lissu wasalimiana kibabe BAWACHA, huku wakicheza kwa bashasha wimbo wa "Tuvushe Mbowe Tuvusheee"

Uteuzi wa makamu mwenyekiti wa ccm umefunikwa pakubwa na uchaguzi wa chadema. Media zote all eyes on chadema election
Sasa media ziache kufuatilia uchaguzi zifuatilie uteuzi?

Kinachofanyika Dodoma ni picnic tu ndio maana leo Kikwete kaenda Dodoma na treni ya SGR na wasanii kibao kina Wema Sepetu na Bongo Mavi kama wote.

Kule unaenda kufanyika ufuska kwa siku hizi Dodoma itanuka mavi.
 
kama n'mbwai na iwe mbwai bwana..😀😀😀Safi sana makamanda hiyo ndio demokrasia.. Wale wasingeweza hata kuangaliana machoni achilia mbali kushikana mikono
acha uoptoshaji gentleman,
demokrasia sio huo unafiki wa hao jamaa 🐒
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu wakisalimiana katika mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) unaofanyika leo Alhamisi Januari 16, 2025 katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.

Wote wawili wanamchuano mkali kuelekea Uchaguzi wa nafasi ya Uenyekiti CHADEMA unaotarajiwa kufanyika Januari 21.
Mbowe na Lissu wakicheza kwa furaha katika mkutano mkuu wa wanawake CHADEMA (BAWACHA)
Pia, Soma:
-
PICHA: Mbowe, Lissu walivyokutana uso kwa uso kwenye Kikao cha Kamati Kuu Chadema
- Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Haya majamaa yatakuwa yanatusanifu nini? Usijekukuta tarehe 21 Lissu anajiondoa!
 
Leo kwenye mkutano wa BAWACHA Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu wameonekana wanasalimia kwa bashasha. Wakati jana tu Lissu katoka kumshushia maneno makali sana na tuhuma kibao mwenyeketi wake halafu leo ety kwa madai yao wanaonyesha wapo sawa.

Mh ndiyo maana nimesema hichi chama tena akipewa huyu Lissu ndiyo kwaheri kabisa CHADEMA katika ramani ya siasa nchini. Maana ajuhi kujishikilia kwenye siasa za kistaarabu anahisi kuropoka kwake ndiyo silaha kumbe ni ujinga mtupu!

CCM ni namba moja. Mama Samia mitano tena! Mpaka 2030

View attachment 3203686
Sasa ulitaka wapigane makonde? Upuuzi huo uko huko CCM tu.
 
Kwa waliosoma cuba hiyo imeendaaaaa.....
Yaani ogopa sana msimamo wa mwanamke ogopa sana nguvu ya mwanamke.
Lissu utatusamehe - wacha twende na Mwamba kwanza hii mitano.
Wewe piga punyeto tu ukiamini unadinya.
 
Sasa media ziache kufuatilia uchaguzi zifuatilie uteuzi?

Kinachofanyika Dodoma ni picnic tu ndio maana leo Kikwete kaenda Dodoma na treni ya SGR na wasanii kibao kina Wema Sepetu na Bongo Mavi kama wote.

Kule unaenda kufanyika ufuska kwa siku hizi Dodoma itanuka mavi.
Kamisa Dokta huko ni kusambaza ngoma kwa kwenda mbelee
 
Aisee Mbowe anajua siasa sana, kweli anastahili kuitwa Jabari.
Hata CCM wapo wachache sana wenye uwezo kama wa huyu Mwamba.
 
Back
Top Bottom