ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Analia amefunga goli la mkono...alafu ametolewa sabu....na kijana mdogo..bashite kijana mbaya kabisa ...kampiga kaka yake ngumi ya kende...???blaza amebaki analia lia tuMaybe is not about that...
Siasa hazina' Mtabiri wa Hali ya hewa 'we tembea na Mwamvuli tu Muda wote inaweza kunyesha.
Hivi Wew na nape ni nani jina lake lipo kwenye kitabu cha Ccm au ndo mahaba ya Ccm yamezidi kumzidi nape? [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
Si ndy afanye kazi kuvamia na kuteka watu?ndy nimekwambiya ukiona swala anaringa mbugani simba na chui ndugu zake..kwa lilitokea clouds tukiaaminishwa kwa video ya cctv camera ikiwa hata polisi hawajui kwa vile halijalipotiwa plus malalamiko ya mitandaoni sio suala la kumwinua waziri kulivalia njuga ikiwa hata mkuu wa wilaya haelewi chochote. kwa hiyo unagundua kuwa waziri alikurupuka kwa masilahi yake binafsi. lkn isitoshe hata baada ya Mh Rais Dr JPM kutoa tamko kuwa wamwache Mh Mkuu wa Mkoa achape kazi tuachane na mambo ya mtandaoni ilikuwa ni maelekezo tosha kuwa waziri anakurupuka lkn bado waziri Nape aliunda tume kuzzihirisha kuwa anakinzana na kauli za rais. watanzania tufike wakati tutambue nafasi ya rais ktk nchi na mamlaka aliyonayo. tulizoeshwa vibaya tunamchukulia rais kama balozi wa nyumba kumi au mwenyekiti wa kijiji ndiyo maana kila kitu tunahoji hoji ,... nashukuru kwa kupata rais mwenye misimamo tutanyoka tu
Hahahaa una uchungu gani na Magufuli kiasi cha kumshauri na kumshitua?Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.
Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.
Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.
Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.
Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.
Time will tell.
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
Twaisoma namba soteHa ha ha haaaaaaaaaaaaaa
Magufuli oyeeeeeeee
Bashite huwezi kuyaelewa maono ya mleta uzi, kwani meza kuu ilikuwa na watu wengi zaidi ya hadhara nzima? Msome tena utamuelewa, aidha kazeni shingo muone kama haitavunjika!. Mufa utaongea.Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.
Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.
Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.
Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.
Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.
Time will tell.
Mkuu mm nilikuwepo kwenye mkutano furaha ya watu wa meza kuu ilieleza mengi sanaAcha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
nafurahi sana kuona Nape anaungua kwenye maji aliyoyachemsha mwenyewe kwa kutumia kuni za wizi kutoka nyumba ya jirani!Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.
Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.
Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.
Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.
Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.
Time will tell.