Labda wanamwahi hamza ila panyarod ni kama wameshasalimu amrikwahiyo Bora wang'ang'ane kwenye foleni wakati huo wanataka kuwai kudhibiti panyarodi wanacharanga watu mapanga tandale kwa tumbo!! Kwa mfano
Humu jamii forum hakuna mitihani ya kuchuja kuwa wenye akili tu ndo muwepo. Huna namna zaidi ya kuishi na watu aina zote humu, jikaze.Mara nyingi nimekuambia una matatizo ya akili. Na uzuri hutumii nguvu kuthibitisha hilo.
Sa itakuwajeSoma hapo
View attachment 2358316
Sijasema uongo. Binafsi nimeshuhudia ikitumika.Uongo utakusaidia nini ?
Unawasemea unaonekana chawa, wao wamekataa kuwa hawako juu ya sheria hivyo pamoja na upolisi wao hawatakiwi kupita humo, hiyo njia ni kama reli au runway ya ndegeHawa ni walinda usalama wetu wanalinda mabenki, wanalinda wakuu wetu wa nchi, wanalinda hata ambavyo sisi kwa uelewa wetu hatuwezi ona! chukulia mfano kukawa na tukio hata la ujambazi ndani ya mwendokasi kituoni halafu hawa FFU wakawa karibu! najua watu wa mwendokasi watawakimbiloa polisi wawasaidie!
Nani kasema, Kuna oparation imeanza juzi ametangaza RC, usikute na hao Askari wapo kwenye oparation yakwenda kusaka hao mapanyarodiLabda wanamwahi hamza ila panyarod ni kama wameshasalimu amri
usitutisheMimi nimependa polisi walivyotulia kutopiga mitama.
Tanzania tumezoea uvunjifu wa sheria kwa wanaotakiwa kulinda sheria kiasi kwamba tunaona ni sawa. Huyo mlinzi yuko sawa kabisa.Huyu mlinzi wa barabara za mwendokasi Hana adabu kabisa au alikuwa anataka sifa, Hawa kikosi Cha Askari wa Field Force unit Mara nyingi hawana tabu,na ukiona wamejazana hivyo kwenye gari zao ujue wanawai tukio sehemu, au wanaenda kwenye lindo either hata Ikulu, na kingine sasaivi Kuna oparation ya panyarodi usikute wanaenda kuwakamata sehemu,
Mimi nashauri huyo mlinzi wa barabara za mwendokasi atiwe adabu hili hawe na nidhamu, tofauti na hapo Wengine nao wataiga huo ujinga na dharau
Hapana amekosea Sana, hao Ni walinzi wetu na usikute hapo labda walikuwa wanawai mtaani kwake huyo mlinzi wa mwendokasi Kuna vurugu imetokea.Kisheria mlinzi yupo sawa
Acha kukaza fuvu mzee,kama polisi wenyewe wameona makosa yao we ni nani hadi upingane na ukweli?hapana amekosea Sana, hao Ni walinzi wetu na usikute hapo labda walikuwa wanawai mtaani kwake huyo mlinzi wa mwendokasi Kuna vurugu imetokea.
Kwenye mipaka ya kazi inabidi kila mtu azingatie yake sheria zifuatwe haijalishi wenyewe ni kina nanihapana amekosea Sana, hao Ni walinzi wetu na usikute hapo labda walikuwa wanawai mtaani kwake huyo mlinzi wa mwendokasi Kuna vurugu imetokea.
Raia hataki polis afanye kazi yao? You mean watumie barabara ya mwendo kasi pale wanapotaka wao si kwa kufuata sheria?Kwa hali hii panya road watatuua mwaka huu kama raia ataki polisi wafanye kazi zao kwa haraka afu panya road wakiuwa watu na kupora watu mnalalamikia polisi tena
Eeh mungu wabariki hawa wabongo na vichwa vyao vibovu
Mimi bado naona Kama amekosea! Hivi unajua Kuna siku gari ya mwendokasi ilimgonga mwendesha bodaboda, na raia wakataka kufanya fujo, haohao walinzi wa mwendokasi wakawapigia polisi wawai haraka,Tanzania tumezoea uvunjifu wa sheria kwa wanaotakiwa kulinda sheria kiasi kwamba tunaona ni sawa. Huyo mlinzi yuko sawa kabisa.
hapana amekosea Sana, hao Ni walinzi wetu na usikute hapo labda walikuwa wanawai mtaani kwake huyo mlinzi wa mwendokasi Kuna vurugu imetokea.
Aibu ya vipi mkuu!Acha aibu basi? Hujasoma hata tangazo la polisi kulaani kitendo cha askari wao kulazimisha kupitia mwendo kasi?
Haitakiwi kuvunja sheria ili utekeleze usimamizi wa sheria.Hizi sheria walizitunga wenyewe kwahiyo kama polisi hawana msamaha wakupita hapo mlinzi yuko sahihi.Kama hawana hicho kibali unachokiongea ni hisia zako kwasababu sheria haiwatambui kuvunja sheria kwenye eneo hilo.hapana, sie kutwa tunalaumu polisi hawaji kwenye matukio ya uhalifu kwa muda sahihi, Sasa hapo ukute walikuwa wanawai kwenye tukio la uhalifu
Hkuna kuwah Wala Nini?? Ni ubabehapana, sie kutwa tunalaumu polisi hawaji kwenye matukio ya uhalifu kwa muda sahihi, Sasa hapo ukute walikuwa wanawai kwenye tukio la uhalifu