Kwani sehemu zisizo na mwendokasi Polisi wanafanyaje kazi?Kwa hali hii panya road watatuua mwaka huu kama raia ataki polisi wafanye kazi zao kwa haraka afu panya road wakiuwa watu na kupora watu mnalalamikia polisi tena
Eeh mungu wabariki hawa wabongo na vichwa vyao vibovu
Unajua wakiachwa wapite kila mtu atasema ana dharura wakati sio kweli