Video: Polisi watoa tamko baada ya kuzuiwa kupita kwenye barabara ya mwendokasi

Video: Polisi watoa tamko baada ya kuzuiwa kupita kwenye barabara ya mwendokasi


Kwa hiyo hata jengo la MWENDOKASI Likiwa linaungua hakuna kupitisha zimamoto humo wawahi kuzima?

Hawa ni walinda usalama wetu wanalinda mabenki, wanalinda wakuu wetu wa nchi, wanalinda hata ambavyo sisi kwa uelewa wetu hatuwezi ona! chukulia mfano kukawa na tukio hata la ujambazi ndani ya mwendokasi kituoni halafu hawa FFU wakawa karibu! najua watu wa mwendokasi watawakimbiloa polisi wawasaidie!

Mbona hizo mwendokasi zinapita tu barabara za Kimara mpaka Kibaha tena mwendo zaidi ya 50 na hawasimami kwenye Zebra ila polisi wanawachukulia poa tu?

What if walikiwa wanaenda kuzuia uhalifu?! Je, unaona unastahili kuongoza jiji hili?

Kwa hiyo mnataka AMBULANCE, MAJESHI YA ULINZI, POLISI, MADAKTARI wasipite mwendokasi wajae kwenye foleni huko?

View attachment 2358269

========================
Baada ya video inayoonesha askari Polisi wakizozana na walinzi wa barabara ya mwendokasi kusambaa mitandaoni, Jeshi la Polisi limetoa tamko kuwa hakuna aliyejuu ya Sheria.

Msemaji wa Jeshi la Polisi, SACP David Misime amesema wanatoa onyo kali na kuwa hakuna chombo chochote cha moto, baiskeli, mkokoteni au guta kupita katika barabara ya mwendo kasi.

Amesema bila kujali cheo cha mtu, yeyote atakayekaidi agizo hilo atachukuliwa hatua
Utaratibu lazima kuheshimiwa. Mwendo kasi barabara zao zisiingiliwe. Wengi tumeona maofisa wa jeshi, polisi wa jeshi na vigogo serikalini wakipita kibabe kwenye barabara za mwendo kasi. Bodaboda ndio zaidi. Inafaa polisi waanze tena kuwakamata na kuwachapa viboko.
 
Huyo ni msimamizi wa usalama, hata kama alienda kucheza mpira kuna mtu alishika lindo, akimaliza anatakiwa awahi alipokuwa mahali pa kali mara moja na hii ni kwa sababu matatizo hayapigi hodi, police hana tofauti na ambulance au fire. akiwa on duty lazima awe eneo la kazi hata kama hakuna tatizo.

Sasa mkuu Hilo tamko si limetolewa na hao hao polisi wanaoelewa vizuri taratibu na mipango Yao kuliko Mimi na wewe?

Kama mambo yangekua rahisi hivyo msafara wa rais ungekua unapita kwenye barabara ya mwendo kasi tu.
 
We unafikir hapo hakukuwa na dharura?
Au unafikir walijikusanya tu nakusema ngoja tukasumbue watu wa dart kwa kupita hapo
Changamoto ni namna gani unajua dharura ya kweli au ni polisi tu wanarudi lindo.
 
kwahiyo wawe na kipaza sauti wanadi " jamani tuna emergency tafadhali tunaomba idhini yenu kupita Kuna tukio la ujambazi tunaenda kulizima 📢📢📢📢🎤
Ndio changamoto, iko hapo. Ni namna gani unatofautisha askari wanaokwenda kwenye dharura au wanarudi kutoka lindo.
 
We unafikir hapo hakukuwa na dharura?
Au unafikir walijikusanya tu nakusema ngoja tukasumbue watu wa dart kwa kupita hapo
1663319399974.png
 
Hawa Sasa washapewa kichwa,
 

Attachments

  • IMG_20220916_123304.jpg
    IMG_20220916_123304.jpg
    38.8 KB · Views: 2
Hii barabara inatumika pia kama emergency, chukulia ndugu yako amepandishwa kwenye ambulance na mnawahi labda Muhimbili mnazuiwa hivyo na anatumia oxgen au pili nyumba yako inaungua moto halafu zima moto wanazuiwa hivyo au hata pia wamepewa taarifa kuna mahali kuna panya road wanakuja halafu mnawazuia halafu kesho yake aliyejeruhiwa ni ndugu yako.

sio sawa.
ambulance na zimamoto ni ruhusa kupita mwendokasi
JamiiForums390457078.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hii barabara inatumika pia kama emergency, chukulia ndugu yako amepandishwa kwenye ambulance na mnawahi labda Muhimbili mnazuiwa hivyo na anatumia oxgen au pili nyumba yako inaungua moto halafu zima moto wanazuiwa hivyo au hata pia wamepewa taarifa kuna mahali kuna panya road wanakuja halafu mnawazuia halafu kesho yake aliyejeruhiwa ni ndugu yako.

sio sawa.
Jiulize swali dogo tu!!

Kwa nn wanawazuia kupita jibu la hilo swali litakupa mwelekeo kama Kuna ruhusa ya dharura au la??
 

Kwa hiyo hata jengo la MWENDOKASI Likiwa linaungua hakuna kupitisha zimamoto humo wawahi kuzima?

Hawa ni walinda usalama wetu wanalinda mabenki, wanalinda wakuu wetu wa nchi, wanalinda hata ambavyo sisi kwa uelewa wetu hatuwezi ona! chukulia mfano kukawa na tukio hata la ujambazi ndani ya mwendokasi kituoni halafu hawa FFU wakawa karibu! najua watu wa mwendokasi watawakimbiloa polisi wawasaidie!

Mbona hizo mwendokasi zinapita tu barabara za Kimara mpaka Kibaha tena mwendo zaidi ya 50 na hawasimami kwenye Zebra ila polisi wanawachukulia poa tu?

What if walikiwa wanaenda kuzuia uhalifu?! Je, unaona unastahili kuongoza jiji hili?

Kwa hiyo mnataka AMBULANCE, MAJESHI YA ULINZI, POLISI, MADAKTARI wasipite mwendokasi wajae kwenye foleni huko?

View attachment 2358269

========================
Baada ya video inayoonesha askari Polisi wakizozana na walinzi wa barabara ya mwendokasi kusambaa mitandaoni, Jeshi la Polisi limetoa tamko kuwa hakuna aliyejuu ya Sheria.

Msemaji wa Jeshi la Polisi, SACP David Misime amesema wanatoa onyo kali na kuwa hakuna chombo chochote cha moto, baiskeli, mkokoteni au guta kupita katika barabara ya mwendo kasi.

Amesema bila kujali cheo cha mtu, yeyote atakayekaidi agizo hilo atachukuliwa hatua
Nadhani msemaji kajisemea yeye kama yeye. Ila ukweli unabaki pale pale, kwa mazingira ya miundombinu yetu hizo barabara zitatumika tu panapokuwa na dharula. Alichokitolea ufafanuzi ni siasa aseme wamewachukulia hatua gani hao polisi???? Ni bora angetoa ufafanuzi wa jambo husika. Haya mambo ya kukopy na kupaste toka nchi zilizoendelea yana madhara sana. Nchi za wenzetu unakuta kila upande njia nnne na kuna mwendokasi na kuna barabara zingine maalumu za taxi etc, wewe leo una njia moja tu eti unaanza kulalama.
 
Ingekua wakati wa uchaguzi au Chadema wameshinda Jimbo la Kibamba wangeruhusiwa kupita bila tatizo.
Polisi ni Wazuri Kwa watawala na Mali zao na miradi yao wakati wa uchaguzi ili kuzia wapinzani wasitangazwe.
 

Kwa hiyo hata jengo la MWENDOKASI Likiwa linaungua hakuna kupitisha zimamoto humo wawahi kuzima?

Hawa ni walinda usalama wetu wanalinda mabenki, wanalinda wakuu wetu wa nchi, wanalinda hata ambavyo sisi kwa uelewa wetu hatuwezi ona! chukulia mfano kukawa na tukio hata la ujambazi ndani ya mwendokasi kituoni halafu hawa FFU wakawa karibu! najua watu wa mwendokasi watawakimbiloa polisi wawasaidie!

Mbona hizo mwendokasi zinapita tu barabara za Kimara mpaka Kibaha tena mwendo zaidi ya 50 na hawasimami kwenye Zebra ila polisi wanawachukulia poa tu?

What if walikiwa wanaenda kuzuia uhalifu?! Je, unaona unastahili kuongoza jiji hili?

Kwa hiyo mnataka AMBULANCE, MAJESHI YA ULINZI, POLISI, MADAKTARI wasipite mwendokasi wajae kwenye foleni huko?

View attachment 2358269

========================
Baada ya video inayoonesha askari Polisi wakizozana na walinzi wa barabara ya mwendokasi kusambaa mitandaoni, Jeshi la Polisi limetoa tamko kuwa hakuna aliyejuu ya Sheria.

Msemaji wa Jeshi la Polisi, SACP David Misime amesema wanatoa onyo kali na kuwa hakuna chombo chochote cha moto, baiskeli, mkokoteni au guta kupita katika barabara ya mwendo kasi.

Amesema bila kujali cheo cha mtu, yeyote atakayekaidi agizo hilo atachukuliwa hatua











Haya ni matokeo ya utawala kibogoyo
 
hao watu wa mwendokasi wamekosea huwezi kuzuia watu wa usalama kupita wao wakipata shida nani atawasaidia

Polisi huwa hawatoi msaada zaidi ya kuomba rushwa.
 
Back
Top Bottom