Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
sinza pazuri anasemaje kwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saaana,kiingilio kilikuwa elfu mbili,na hakuna cha fungulia dog,mpaka shoo iliisha watu wanalipa elfu mbili hadi watoto,watu zaidi ya 5 au 6000 waliingia,sasa hapo mavoko atakosa milioni 1 ?lazima amepata,maana walikuwa wachache tu,hakuna maandalizi ya stage wala nini,ni uwanjani,matangazo ni mabango na kwenye gari,kwahiyo hakuna gharama kubwa ya maandalizi,pia walikiwa wasindikizaji wachache tu.Watanzanzia,tuacheni vijana wafanye kazi,mtembea bure siyo sawa na mkaa bure.
Kwamba alifanikiwa zaidi akiwa WCB?Nafikili kwa nilivomuelewa jamaa anajaribu ku compare Mavoko wa WCB na huyu wa sasa, anazungumzia show alizokuwa akipiga na alivokuwa akisikika wakati ule
Wasanii wengi usione wako kimya ukajua hawapigi shoo. Wao wanapiga mikoani huko. Uko watu wana hela na msanii mmoja au wawili tu wanajaza ukumbi sio Dar unaita wasanii 30 ndio shoo inaonekana inafana.Saaana,kiingilio kilikuwa elfu mbili,na hakuna cha fungulia dog,mpaka shoo iliisha watu wanalipa elfu mbili hadi watoto,watu zaidi ya 5 au 6000 waliingia,sasa hapo mavoko atakosa milioni 1 ?lazima amepata,maana walikuwa wachache tu,hakuna maandalizi ya stage wala nini,ni uwanjani,matangazo ni mabango na kwenye gari,kwahiyo hakuna gharama kubwa ya maandalizi,pia walikiwa wasindikizaji wachache tu.Watanzanzia,tuacheni vijana wafanye kazi,mtembea bure siyo sawa na mkaa bure.
Pia ney wa mitego anafanya sana hizo,mwezi mmoja ulopita kwenye huo huo uwanja alofanya shoo mavoko ney pia alifanya shoo na alijaza sana watu,maporoni kuna hela nyingi sana wasanii wanakuja kuzichukua kimyakimya,wanahabari wanakosea sana kuwavunja moyo wasanii wetuWasanii wengi usione wako kimya ukajua hawapigi shoo. Wao wanapiga mikoani huko. Uko watu wana hela na msanii mmoja au wawili tu wanajaza ukumbi sio Dar unaita wasanii 30 ndio shoo inaonekana inafana.
Week iliyopita Angela alienda Njombe nikapewa taarifa amefanya vizuri sio haba. Nishawahi panda bus moja na Young D anaenda Malinyi. Nuhu Mziwanda ndio mambo yake ayo.
[emoji1787][emoji1787] kirobotoMadogo wa mikoani bana [emoji23][emoji23]
Kuna mwenzio alikuwa anawapiga fix wenzake eti nature ana mashamba ya korosho mafuso na daladala kibao mjini. Kibla anakunywa sana barimi mix kisungura mpululumpalala [emoji23][emoji23]
Shinyanga vijijini Ngoma za Nyanda madirisha zinapigwa kuliko hata Ngoma za rayvan na chris brown na jamaa anatumia malimba tu
Kanda ya ziwa wana wasanii wao. Nenda uko Silali uende vilabuni zitapigwa nyimbo masaa 2 watu wana enjoy hafu wewe usiujue ata wimbo mmoja.Shinyanga vijijini Ngoma za Nyanda madirisha zinapigwa kuliko hata Ngoma za rayvan na chris brown
Sure. Kikubwa Maokoto.Huwezi kataa shoo popote ilimradi mshiko unasomeka . Huyu aliacha mziki baada ya kupata mzungu ndio akaona mziki bullshit saivi amabiashara zake na yupo okay hamtegemei mtu
Anajua
Jamaa anatumia mix ya malimba na firimbi tu. Nusu ya nyimbo anatumia salamu tu... Unasikia madehewa nyalombo ngw'ainoko... Yashimba...Kanda ya ziwa wana wasanii wao. Nenda uko Silali uende vilabuni zitapigwa nyimbo masaa 2 watu wana enjoy hafu wewe usiujue ata wimbo mmoja.
Uyo Nyanda ni hatari. Video zake simple ova wame shutia kwenye simu. Yaani sijui kama ata wanatumia laki 3 kwenye video.
View attachment 2741977
So what?Madogo wa mikoani bana [emoji23][emoji23]
Kuna mwenzio alikuwa anawapiga fix wenzake eti nature ana mashamba ya korosho mafuso na daladala kibao mjini. Kibla anakunywa sana barimi mix kisungura mpululumpalala [emoji23][emoji23]
Dah Lakin Wenzake wangekuwa wanaenda , mimi naona asuluhishe ugomvi na wenzake wawe wajanja kama rayvannyHuwezi kataa shoo popote ilimradi mshiko unasomeka . Huyu aliacha mziki baada ya kupata mzungu ndio akaona mziki bullshit saivi amabiashara zake na yupo okay hamtegemei mtu
Fala wwBado Ney wa Mitego,aendelee tuu kuweka Ligi na Serikali wanaomsifia Leo hatowaona kwenye shida