Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

View attachment 2977398
Tazama na sikiliza kwa makini mwanzo mwisho video clip hii fupi ya dakika 16 Tundu Lissu akijibu hoja ya ubaguzi na matundu ya muungano wa Tanganyika & Zanzibar (1964) kwa kutumia katiba mbili za JMT (1977) na ile ya Zanzibar (1984) akihutubia maelfu ya wananchi Dodoma jana tarehe 29/4/2024.

Hakika utafunguliwa ufahamu wako na kila mtu atajua mjinga na mwerevu ni nani. Pengine ndiye mtawajua wabuguzi halisi ni kina nani...

Hii ni muhimu sana Nape Nauye na chama chake (CCM) wajitokeze kujibu hoja hizi na kuukanusha ukweli huu wa kikatiba kama unakanushika.

Mimi hata sijui mtu mwenye uelewa na ufahamu kama Tundu Lissu unaweza kumkamatia wapi ili umshitaki afungwe jela. Ni ngumu na pengine haiwezekani tu kabisa maana ni hakika kuwa: KNOWLEDGE IS POWER..!

Kila mtu anajua na kuelewa kuwa Samia Suluhu Hassan ni Mzanzibari. Yupo hapo kwa katiba hii ya 1977. HilI sina hakika kama lina ubishi wowote na kwwamba yupo mtu anaweza kulikanusha hili..

Na hivi inawezekana vipi kuwa kila ukweli unaojifunua kupitia kwa watu kama Tundu Lissu aliyejitoa kupigana kwa damu yake mwenyewe kwa ajili ya manufaa ya watu masikini wengi iwe ni ubaguzi na uchochezi? Really?

Mimi nadhani ifike wakati kila mtu wakiwemo watawala kupitia CCM waelewe kuwa nyakati za kuishi katika giza la ujinga wa kudanganywa na watawala umefika mwisho. Tunachosubiri kwa sasa ni justification tu kupitia "unyakuo"

Inashangaza kuwa kina Nape Nauye na CCM yake wanataka tuendelee kuishi ktk giza la ujinga na udanganyifu wa miaka 60..

Hapana. HII HAIWEZEKANI TENA... Watu wanataka kuishi katika Nuru ya haki na usawa...

Hebu nyie kina Dr Akili, ChoiceVariable, Tlaatlaah, Samiaagain2025 MamaSamia2025, Paul Makonda, @Nnape Nauye njooni mkanushe ukweli huu kwa hoja zenye ushahidi halafu mrudi tena kusema mbaguzi hapa ni nani. Pia mseme kama Rais Samia Suluhu Hassan sio mzanzibari, basi ni wa taifa lipi?

Na kuna ugumu gani wote kukiri kuwa kuna tatizo katika muungano huu wa 1964 kati ya Tanganyika na Zanzibar?

Kazi ya Tundu Lissu ni kuonesha matatizo lakini nyie mnamwita mbaguzi..!!

Looh!!, mna shida kwelikweli nyie

Pia soma: Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote
Lisu uko vizuri, vizuri sana
 
Kwa nilivyomsikiliza Lissu, nihitimishe kusema, sisi wabara tunamatatizo ya kiafya ya akili
Na ukishayaelewa na kulewa hayo maneno ya Lissu, kinachofuata ni vita vya vyenyewe kwa wenyewe. Huko ndio Lissu anakotupeleka.

Sikia nikwambia, idiolojia za Lissu hazina afya kabisa katika nchi yeyote ile ya Afrika. Jirani yako ndio mtu utayefanya naye biashara kwa ustawi wa Afrika na nchi moja moja. Huwezi kujua Ethiopia waliingiaje kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe. Ni kama hizi siasa za Lissu ndio mbolea nzuri sana ya kukupeleka katika nchi ya ahadi ya Lissu.

Baada ya maelezo yake, tuchukulie kesho mmetengana, na yeye ndio Rais, hivi atakwendaje kwa jirani kuomba ujirani mwema?
 
Ni Ndondocha pekee wanaosema kwamba kumwita mtu Mzanzibar (kama katiba yao inavyosema) ni ubaguzi.. akili za kushikiwa tu hizi, sijui wamezitoa kwenye maharagwe ya wapi...
 
Na ukishayaelewa na kulewa hayo maneno ya Lissu, kinachofuata ni vita vya vyenyewe kwa wenyewe. Huko ndio Lissu anakotupeleka.

Sikia nikwambia, idiolojia za Lissu hazina afya kabisa katika nchi yeyote ile ya Afrika. Jirani yako ndio mtu utayefanya naye biashara kwa ustawi wa Afrika na nchi moja moja. Huwezi kujua Ethiopia waliingiaje kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe. Ni kama hizi siasa za Lissu ndio mbolea nzuri sana ya kukupeleka katika nchi ya ahadi ya Lissu.

Baada ya maelezo yake, tuchukulie kesho mmetengana, na yeye ndio Rais, hivi atakwendaje kwa jirani kuomba ujirani mwema?
Uwogauwoga wa maisha umeifanya jamii kubwa ya Watanzania kuwa masikini
 
Sijawahi kuona kichwa cha kupambana na Lissu kwa hoja nchi hii, unaweza kutozikubali hoja zake ili sio rahisi au kazi nyepesi kuzipangua kwa hoja kinzani.
 
Nyerere ndio chanzo cha matatizo yote haya. Siku akitokea mzanzibari Dikteta atufanye watumwa
Saa 100 anao uwezo wa kutufanya watumwa. Watumwa kama watumwa yani tukalime na kuchapwa viboko alafu wazanzibar ndio wafaidike
 
Inashangaza sana. Yaani Lissu anatembea tu hivi hana ulinzi mkubwa kivile na kuna ambao hawapaswi kulindwa wanalindwa?

Kuna miaka itakuja watoto na wajukuu wetu watatushangaa sana. Sijui. Tutasema nini maskini. Majibu aliyopewa Fatma Karume nadhani siku nyingine atajitafakari sana. Fatma aliyavagaa, Lissu ni mtu mwenye akili sana. Kila anachokisema anakielewa. Anakifahamu.

Fatma sasa atulie tu, anaweza pata mume wa kumtuliza pia. Sisi CCM tunatamani sana Lissu na Mpina wadumu miaka mingi wamsaidie rahis kuongoza nchi.
 
Inashangaza sana. Yaani Lissu anatembea tu hivi hana ulinzi mkubwa kivile na kuna ambao hawapaswi kulindwa wanalindwa?

Kuna miaka itakuja watoto na wajukuu wetu watatushangaa sana. Sijui. Tutasema nini maskini. Majibu aliyopewa Fatma Karume nadhani siku nyingine atajitafakari sana. Fatma aliyavagaa.... Lissu ni mtu mwenye akili sana. Kila anachokisema anakielewa. Anakifahamu.

Fatma sasa atulie tu.... Anaweza pata mume wa kumtuliza pia. Sisi CCM tunatamani sana Lissu na Mpina wadumu miaka mingi wamsaidie rahis kuongoza nchi.
Upo sahihi, Lissu anahitaji kulindwa kwa gharama zozote zile mkuu
 
Inashangaza sana. Yaani Lissu anatembea tu hivi hana ulinzi mkubwa kivile na kuna ambao hawapaswi kulindwa wanalindwa?

Kuna miaka itakuja watoto na wajukuu wetu watatushangaa sana. Sijui. Tutasema nini maskini. Majibu aliyopewa Fatma Karume nadhani siku nyingine atajitafakari sana. Fatma aliyavagaa.... Lissu ni mtu mwenye akili sana. Kila anachokisema anakielewa. Anakifahamu.

Fatma sasa atulie tu.... Anaweza pata mume wa kumtuliza pia. Sisi CCM tunatamani sana Lissu na Mpina wadumu miaka mingi wamsaidie rahis kuongoza nchi.
Umeandika vizuri ,na mwisho ukaaribu ,Lissu ni Rais ajae ccm mpende msipende asema Bwana na siku mkilazimisha hatutaki makelele jf atashinda akipewa nafasi kwenye chama chake kama uchaguzi ukifanyika
 
Hivi Rais wa Tanzania akitokea "Tanganyika" anakuwa na uwezo wa kumiliki ardhi au kutumia mamlaka zake kwenye masuala ya ardhi Zanzibar au uraia wake unambana?

Nijuavyo mimi sheria za ardhi zinasema Rais wa Tanzania ni "Mlinzi wa ardhi ya Tanzania" sasa kama kuna sheria nyingine inambana hapo inakuwaje?
 
View attachment 2977398
Tazama na sikiliza kwa makini mwanzo mwisho video clip hii fupi ya dakika 16 Tundu Lissu akijibu hoja ya ubaguzi na matundu ya muungano wa Tanganyika & Zanzibar (1964) kwa kutumia katiba mbili za JMT (1977) na ile ya Zanzibar (1984) akihutubia maelfu ya wananchi Dodoma jana tarehe 29/4/2024.

Hakika utafunguliwa ufahamu wako na kila mtu atajua mjinga na mwerevu ni nani. Pengine ndiye mtawajua wabuguzi halisi ni kina nani...

Hii ni muhimu sana Nape Nauye na chama chake (CCM) wajitokeze kujibu hoja hizi na kuukanusha ukweli huu wa kikatiba kama unakanushika.

Mimi hata sijui mtu mwenye uelewa na ufahamu kama Tundu Lissu unaweza kumkamatia wapi ili umshitaki afungwe jela. Ni ngumu na pengine haiwezekani tu kabisa maana ni hakika kuwa: KNOWLEDGE IS POWER..!

Kila mtu anajua na kuelewa kuwa Samia Suluhu Hassan ni Mzanzibari. Yupo hapo kwa katiba hii ya 1977. HilI sina hakika kama lina ubishi wowote na kwwamba yupo mtu anaweza kulikanusha hili..

Na hivi inawezekana vipi kuwa kila ukweli unaojifunua kupitia kwa watu kama Tundu Lissu aliyejitoa kupigana kwa damu yake mwenyewe kwa ajili ya manufaa ya watu masikini wengi iwe ni ubaguzi na uchochezi? Really?

Mimi nadhani ifike wakati kila mtu wakiwemo watawala kupitia CCM waelewe kuwa nyakati za kuishi katika giza la ujinga wa kudanganywa na watawala umefika mwisho. Tunachosubiri kwa sasa ni justification tu kupitia "unyakuo"

Inashangaza kuwa kina Nape Nauye na CCM yake wanataka tuendelee kuishi ktk giza la ujinga na udanganyifu wa miaka 60..

Hapana. HII HAIWEZEKANI TENA... Watu wanataka kuishi katika Nuru ya haki na usawa...

Hebu nyie kina Dr Akili, ChoiceVariable, Tlaatlaah, Samiaagain2025 MamaSamia2025, Paul Makonda, @Nnape Nauye njooni mkanushe ukweli huu kwa hoja zenye ushahidi halafu mrudi tena kusema mbaguzi hapa ni nani. Pia mseme kama Rais Samia Suluhu Hassan sio mzanzibari, basi ni wa taifa lipi?

Na kuna ugumu gani wote kukiri kuwa kuna tatizo katika muungano huu wa 1964 kati ya Tanganyika na Zanzibar?

Kazi ya Tundu Lissu ni kuonesha matatizo lakini nyie mnamwita mbaguzi..!!

Looh!!, mna shida kwelikweli nyie

Pia soma: Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote
Siyo Mchezoo
 
Inashangaza sana. Yaani Lissu anatembea tu hivi hana ulinzi mkubwa kivile na kuna ambao hawapaswi kulindwa wanalindwa?

Kuna miaka itakuja watoto na wajukuu wetu watatushangaa sana. Sijui. Tutasema nini maskini. Majibu aliyopewa Fatma Karume nadhani siku nyingine atajitafakari sana. Fatma aliyavagaa, Lissu ni mtu mwenye akili sana. Kila anachokisema anakielewa. Anakifahamu.

Fatma sasa atulie tu, anaweza pata mume wa kumtuliza pia. Sisi CCM tunatamani sana Lissu na Mpina wadumu miaka mingi wamsaidie rahis kuongoza nchi.
Mlinde wewe hilo shoga la wazungu
 
Mimi nafikiri tumshawishi aandike Vitabu! Hii ndiyo hazina atakayokuwa amewaachia Vizazi vijavyo! Lakini vile vile tutunze Video Clip zake kwa faida ya Vizazi vijavyo.
Kwa habari ya kumlinda ni kumwachia Mwenyezi Mungu,kama alipigwa risasi 16 na mpaka leo yuko hai basi Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye. Tusiache kumwombea kwa Mwenyezi Mungu.
 
Inashangaza sana. Yaani Lissu anatembea tu hivi hana ulinzi mkubwa kivile na kuna ambao hawapaswi kulindwa wanalindwa?

Kuna miaka itakuja watoto na wajukuu wetu watatushangaa sana. Sijui. Tutasema nini maskini. Majibu aliyopewa Fatma Karume nadhani siku nyingine atajitafakari sana. Fatma aliyavagaa, Lissu ni mtu mwenye akili sana. Kila anachokisema anakielewa. Anakifahamu.

Fatma sasa atulie tu, anaweza pata mume wa kumtuliza pia. Sisi CCM tunatamani sana Lissu na Mpina wadumu miaka mingi wamsaidie rahis kuongoza nchi.
Lissu ni jasiri mkubwa nchi hii na alindwe sana.
 
Back
Top Bottom