If it's not difficult (not needing rocket science) to justify your accusations, what makes you fail to do that?
I think you're asking this question out of lack of knowledge and understanding (ignorance..)
Kwa sababu hata hili ๐๐ป๐๐ป๐๐ปpengine hujui...!!
Kwamba budget ya Tanzania kila mwaka kwa zaidi 35% huhitaji kujaziliziwa na mabeberu hawa; WB, IMF, ADB, Donor countries eg USA, UK, Belgium, France, Germany etc?
Serikali hii ya Tanzania iko chini ya CCM, au siyo? Kwa maana hiyo automatic hawa mabeberu ni allies wa CCM na serikali yao, au siyo? Au wewe unataka usaidiweje na hawa mabeberu?
Umetoka kwenye accusations za "alliance ya mabeberu na kina Tundu Lissu/CHADEMA" unaleta kitu kingine hapa..
Hata hivyo ndani ya vyama ndimo mlimo na watu. Watu wana mawazo na mawazo hayo ndiyo huongoza nchi. Acha kuangalia vyama. Sikiliza watu...
Mmh.
Hutaki "uvyama" lakini unaiamini CCM ambacho ni chama. Hoja zako ziko very vague. Haijulikani unataka nini hasa..
By the way, kwani sisi wengine tukiamini vile yama vingine kama CHADEMA unaona nongwa gani eti? Unakerwa na nini eti?
Nimekuambia u - justify, lakini umeshindwa kufanya. Kama unashindwa kujenga hoja zenye ushahidi wa kweli, kuna kosa gani nikisema wewe
Ame ni
MZUSHI na
MWONGO toka Kizimkazi - Unguja?
Huna hoja yoyote ya kuwezesha kuchoma kambi au kuwamaliza hao.
Wewe ni mpiga kelele fulani tu wa Lumumba au Mnazimmoja - Zanzibar usiye na substance yoyote kichwani mwako..
Kwa kifupi na bila hata kupepesa macho wala kumung'unya maneno wewe ni
mpiga propaganda mjinga tu na wa
waziwazi kabisa.. there's nothing in your head..
Na kwa hiyo, haiwezekani mtu mjinga na ujinga wake akaingia kwa watu werevu wenye ufahamu na uelewa wa mambo halafu akawashinda. Giza (ujinga) huwa linakuwa overpowered na nuru/mwanga (maarifa - ufahamu, uelewa)
Au hujui kuwa
KNOWLEDGE IS POWER & AUTHORITY..?