Ukiwa positive uchawi hauna nguvu kwako
Hapo kwa mshana sasaKwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!
Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.
Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile"
Kwa ufupi akawa analeta uswahili.
Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.
Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.
Nb, mimi ni mtu wa kigoma.
Sisi wengine tumerogwa tangu hatujazaliwa hadi leo still tunarogwa na mambo yanaenda atujaathirika.Very true
Tulikatazwa tukiwa wadogo kuamini na mpaka sasa sijawahi kuona kama una nguvu yoyote kwangu
Huyu mchawi mstaarabu hataki kuwa uchiNimeifatilia kwa umakini Sana hii video,lakini sioni uhalisia wake kwa kutumia vigezo vifuatavyo:-
1. Uchawi una kanuni na mashariti mengi sana,moja yawo ya mashariti ya uchawi ni kuwanga huku ukiwa uchi/ nusu uchi hii ikiwa ni Dhana ya kwamba uchawi hufanyika katika ulimwengu ambao unahitaji nguvu ya ziada kuuona au kuwaona wachawi,sasa Kama huyo kwenye video ni mchawi ,alivaa nguo za nini Wakati wachawi hawaonekani kwa macho ya nyama,alikuwa anamwogopa nani?, Hivyo naweza hitimisha kuwa hii video sio sahihi kwa kuzingatia vigezo vya uchawi, unless Uwe uchawi wa Pwani na ughaibuni,lakini in most cases uchawi hufanywa kwa watu( wahusika) kuwa watupu.
2.Nimeshindwa kutambua ikiwa Wakati huyo mtu anafanya huo uchawi kulikuwa na mtu anamrecodi pembeni au Ni uwezo wa CCTV-Camera kuona yaliyo sirini,na Kama Ni uwezo wa CCTV-Camera kwanini Kuna Wakati anapotea huyo mchawi na CCTV-Camera inashindwa kutuonesha namna anavyopotea Wakati zoezi zima linaonesha huyo mchawi anafanya uchawi wake pasina kuonekana ila CCTV imeweza kumnasa,Basi ilipaswa hiyo CCTV ituoneshe na namna anavyopotea!!
Haya ni maigizo !!!
Mimi nilikuwa kama wewe, nikawa siamini kabisa,nilikuwa vizuri kiasi kiuchumi, nilivohamia kwangu ndani ya miezi miwili tu nikajipambanua zaidi kumbe sijui binadamu anawaza nini, siku moja nimeamka wakati tupo kwenye ziara ya jumuiya asubuhi na viongozi wenzangu ndo wananishtua mbona kichwani huna nywele (pande mbili za kichwa zilikuwa zimenyolewa haswa maana nilikuwa na nywele ndefu) nilidharau tu, nikaenda nikanyoa nywele zote zimeanza tu kuota nikanyolewa tena baada ya hapo maisha yangu yakawa ni historia maana hata nguo za kuvaa zilinishia. Sikuwahi kuwa na hata akiba ya elf tano ndani.,nilipitia mapito ijapo nilikuwa napata miamala kupitia send waves lakini sikufanya cha maana hata kidogo, aiseee usiombeNaona huyu ndio yule anaechoma magodoro na kugeuka chui
Kweli uchawi upo ila mimi siuamini
Sisi wengine tumerogwa tangu hatujazaliwa hadi leo still tunarogwa na mambo yanaenda atujaathirika.
Mimi nguvu yeyeto ya kiumbe ikinijia usiku huwa na sensi kuna mchawi nilimkosa ngumi akawahi yeyeyuka wapumbavu Sana hawa takataka.
True,pia kama maisha huwa kuna kupanda na kushuka, wakati mwingine unaona kabisa kama Mungu kakuacha na wakati mwingine unaona kama Mungu kakupendelea hasa pale mambo yako yanapokwenda safi.Mimi nilikuwa kama wewe, nikawa siamini kabisa,nilikuwa vizuri kiasi kiuchumi, nilivohamia kwangu ndani ya miezi miwili tu nikajipambanua zaidi kumbe sijui binadamu anawaza nini, siku moja nimeamka wakati tupo kwenye ziara ya jumuiya asubuhi na viongozi wenzangu ndo wananishtua mbona kichwani huna nywele (pande mbili za kichwa zilikuwa zimenyolewa haswa maana nilikuwa na nywele ndefu) nilidharau tu, nikaenda nikanyoa nywele zote zimeanza tu kuota nikanyolewa tena baada ya hapo maisha yangu yakawa ni historia maana hata nguo za kuvaa zilinishia. Sikuwahi kuwa na hata akiba ya elf tano ndani.,nilipitia mapito ijapo nilikuwa napata miamala kupitia send waves lakini sikufanya cha maana hata kidogo, aiseee usiombe
We mrundi acha ujinga hamna uchawi wa kiislamKwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!
Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.
Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile"
Kwa ufupi akawa analeta uswahili.
Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.
Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.
Nb, mimi ni mtu wa kigoma.
hakuna mchawi huwa anaonekana ukimpiga picha, huo ni uongo wa mchana. mchawi anakuja kiroho wewe upige picha kimwili au cctv camera hizo sio za kiroho ndio zimpige mchawi? mtadanganywa hadi lini, hapo kuna mganga wa kienyeji anatafuta biashara watu wamfuate tu hakuna lolote.Nimeiona hii video ya tukio lililotplea tarehe 4 ikimuonesha mchawi akiwanga, pia anaonekana live anapotea
Teknolojia ya ku edit nayo imekuwa sana siwezi kuamini moja kwa moja
Najua uchawi upo maana nimewahi kukaa mitaa ambayo ikifika usiku kuna fujo zao zinafanya wengi walale kw wasiwasi ikiwemo kukimbia juu ya dari, mchanga kumwagwa kwenye bati, n,k. nilikosa ujasiri niliacha kodi.
uchawi upo lakin hii video ni kweli au?
Mshana Jr
hadi sasa nimewaza vitu kadhaa ila bado havina uzito
- Kamera kucheza cheza - cctv huwa haitikisiki lakini katika hii video inatikisika ni kwasababu imerekodiwa kwenye kioo cha computer kwa kutumia simu.
- muda ni saa 11 jioni lakini kuna giza - muda huo wa kwenye cctv unaweza ukawa haujasetiwa kuendana na muda halisi, huenda hakupatikana mtaalam anaejua kuseti muda, licha ya hivyo bado haizuii cctv kurekodi video, huenda muda halisi ni usiku wa manane na hata taa tumezoa kuwasha usiku na sio jioni.
View attachment 2009151
Mimi nilikuwa kama wewe, nikawa siamini kabisa,nilikuwa vizuri kiasi kiuchumi, nilivohamia kwangu ndani ya miezi miwili tu nikajipambanua zaidi kumbe sijui binadamu anawaza nini, siku moja nimeamka wakati tupo kwenye ziara ya jumuiya asubuhi na viongozi wenzangu ndo wananishtua mbona kichwani huna nywele (pande mbili za kichwa zilikuwa zimenyolewa haswa maana nilikuwa na nywele ndefu) nilidharau tu, nikaenda nikanyoa nywele zote zimeanza tu kuota nikanyolewa tena baada ya hapo maisha yangu yakawa ni historia maana hata nguo za kuvaa zilinishia. Sikuwahi kuwa na hata akiba ya elf tano ndani.,nilipitia mapito ijapo nilikuwa napata miamala kupitia send waves lakini sikufanya cha maana hata kidogo, aiseee usiombe
Huyu naye chizi.
mbona una chuki na Uislamu ww
Relax mkuu,lkn Si ni kwel anabusu ardhi palembona una chuki na Uislamu ww
Ivi unafikiri ukiwa na chuki zako na uislamu unadhani kwamba Uislamu hautoendelea?
Yni heshimu dini za watu uspende kukurupuka
As a Muslim sipendi kuona Dini yangu ikichafuliwa na watu wajinga wajinga tuu
Sasa kubusu Ardhi ndo Uislamu?
mbona una chuki na Uislamu ww
Ivi unafikiri ukiwa na chuki zako na uislamu unadhani kwamba Uislamu hautoendelea?
Yni heshimu dini za watu uspende kukurupuka
As a Muslim sipendi kuona Dini yangu ikichafuliwa na watu wajinga wajinga tuu
Mkuu hukujua wenye dini zao watakuja juu hapa
Ni kwel wanajua lzm wajeMkuu hukujua wenye dini zao watakuja juu hapa
Tatizo watu mnachuki mbaya sana na Uislamu hlf mna negative perception na Uislamu mbona sisi hatuwasemi ivo jpo mna mambo mengi yenu ya AjabuMkuu hukujua wenye dini zao watakuja juu hapa