Video ya Paul Makonda msibani kwa baba yake GSM yazua gumzo jijini Dar

Sahivi analindwa na ndumba pekee
 
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni miongoni mwa watu maarufu walioshiriki katika mazishi ya baba mzazi wa mmiliki wa Kampuni ya GSM, Ghalib...

Dah! Makonda amenitia huruma Sana. Watu wanakupenda ukiwa na cheo nje ya hapo wanakupita bila hata salamu.Nadhani Kuna somo amejifunza yeye binafsi na ninadhani akipewa madaraka Tena kuna mabadiliko yanaonekana.
 
Kuna sehemu alisimama jukwaani akasema "...kwasababu mimi nimeletwa na Mungu, nakuagiza kuanzia kesho idadi ya traffic barabarani iwe mara kumi zaidi" akapigiwa salute
 
Msibani sio sehemu ya kuuza sura au kushobokewa au watu kukushangilia

Mleta mada vipi?
Ila ukiwa mkuu wa mkoa inakuwa tofauti? Maana ndio zilikuwa zake... Nakumbuka msiba wa Regnald Mengi...
 
So makonda akikamatwa wewe kama wewe unapata faida gani??

Tujaribu kupambania ugali wetu hii nchi ina wenyewe
Akili yako haina akili.
Vijana wa hovyo mnaona Ugali ni muhimu sana.
Bashite lazima afikishwe mahakamani, ameua watu, ameteka watu, amepora wafanya biashara mali na pesa zao.
”Kumpelekea moto ”kibibi cha kiarabu, hakumfanyi asishitakiwe.
 
Msibani sio sehemu ya kuuza sura au kushobokewa au watu kukushangilia

Mleta mada vipi?
Kwa kuwa mleta mada ni miongoni mwa watu wenye roho mbaya.Ungetueleza mbona mmeshindwa kumkamata?
 
Akili yako haina akili.
Vijana wa hovyo mnaona Ugali ni muhimu sana.
Bashite lazima afikishwe mahakamani, ameua watu, ameteka watu, amepora wafanya biashara mali na pesa zao.
”Kumpelekea moto ”kibibi cha kiarabu, hakumfanyi asishitakiwe.

 
Hili liwe funzo kuwa Cheo ni dhamana na namna gani unapaswa kuweka utu mbele kabla kabla ya dhamana hizi za muda mfupi
 
Bashite kampelekea sana moto mama yao, majaji wanamuogopa kumkamata,mama yao atakasirika au?!
Kibibi cha kiarabu kizinzi mno, kinaramba ramba pia vitoto vya kike.
UNA USHAHIDI??? NYIE SI NDO MLIKUWA MNAMUITA MAKONDA SHOGA!!!????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…