Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sahivi analindwa na ndumba pekeeAliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni miongoni mwa watu maarufu walioshiriki katika mazishi ya baba mzazi wa mmiliki wa Kampuni ya GSM, Ghalib.
Makonda alijitokeza katika Msikiti wa Maamur Upanga, jana Machi Mosi, 2022 ambapo ndipo mwili wa baba wa GSM uliposwaliwa.
View attachment 2135933
Marehemu alizikwa jana hiyohiyo katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Kusambaa kwa video hiyo kumesababisha gumzo mitandaoni ambapo watu wengi wametoa maoni hasa kwa kuwa Makonda anaonekana akiwa kama raia wa kawaida bila kuwa na walinzi wala msafara kama ilivyokuwa zamani!
Source: Global TV
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni miongoni mwa watu maarufu walioshiriki katika mazishi ya baba mzazi wa mmiliki wa Kampuni ya GSM, Ghalib...
Team dhuluma mnaumia utadhani kunguru kafa mwenzao!Unaleta Upuuzi wako hadi Msibani Acha Ujinga na Ujaribu kuficha Upuuzi wako na Chuki
Ila ukiwa mkuu wa mkoa inakuwa tofauti? Maana ndio zilikuwa zake... Nakumbuka msiba wa Regnald Mengi...Msibani sio sehemu ya kuuza sura au kushobokewa au watu kukushangilia
Mleta mada vipi?
Wacha weeeeeBashite anamlaga Bibi Dagama.
Akili yako haina akili.So makonda akikamatwa wewe kama wewe unapata faida gani??
Tujaribu kupambania ugali wetu hii nchi ina wenyewe
Kwa kuwa mleta mada ni miongoni mwa watu wenye roho mbaya.Ungetueleza mbona mmeshindwa kumkamata?Msibani sio sehemu ya kuuza sura au kushobokewa au watu kukushangilia
Mleta mada vipi?
Akili yako haina akili.
Vijana wa hovyo mnaona Ugali ni muhimu sana.
Bashite lazima afikishwe mahakamani, ameua watu, ameteka watu, amepora wafanya biashara mali na pesa zao.
”Kumpelekea moto ”kibibi cha kiarabu, hakumfanyi asishitakiwe.
Ukishaondoka madarakani chawa watatoka wapiHana ata chawa [emoji3]
Bashite kampelekea sana moto mama yao, majaji wanamuogopa kumkamata,mama yao atakasirika au?!
Hili liwe funzo kuwa Cheo ni dhamana na namna gani unapaswa kuweka utu mbele kabla kabla ya dhamana hizi za muda mfupiIla jamani nyie ! usiombee watu wakupuuze aiseee! yaani Makonda ameshiriki msiba utadhani kaingia Dar jana kutoka Kolomije , yaani watu hata kumpa salamu hakuna kabisa! hii si sawa kabisa, Ama kweli Cheo ni kama koti la kuazima .
Nadhani sasai ile karatasi ya kuitwa Mahakamani amekwishakabidhiwa
======
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni miongoni mwa watu maarufu walioshiriki katika mazishi ya baba mzazi wa mmiliki wa Kampuni ya GSM, Ghalib.
Makonda alijitokeza katika Msikiti wa Maamur Upanga, jana Machi Mosi, 2022 ambapo ndipo mwili wa baba wa GSM uliposwaliwa.
Marehemu alizikwa jana hiyohiyo katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Kusambaa kwa video hiyo kumesababisha gumzo mitandaoni ambapo watu wengi wametoa maoni hasa kwa kuwa Makonda anaonekana akiwa kama raia wa kawaida bila kuwa na walinzi wala msafara kama ilivyokuwa zamani!
View attachment 2136035
Source: Global TV
UNA USHAHIDI??? NYIE SI NDO MLIKUWA MNAMUITA MAKONDA SHOGA!!!????Bashite kampelekea sana moto mama yao, majaji wanamuogopa kumkamata,mama yao atakasirika au?!
Kibibi cha kiarabu kizinzi mno, kinaramba ramba pia vitoto vya kike.
Kwani watu wanata huyo Makonda akamatwe kwa kosa gani?Niliwaambiaa watu humu, bashite yupo Kama kawaida anaendelea na mishe zake. Kiufupi ni serikali haina nia nae
Analindwa na kukingiwa kifua na Bi tozo