Watu wajinga sana tuone Watauza nn sasa ukipata nistue mzeeUpuuzi/Ushamba/Ubwege/Ujuaji WA baadhi ya watu umesababisha jamaa wafungie host *****. Mtu hadi anatangaza anauza files dah, ngoja leo nipate new host nile zangu kimyakimya
Mkuu ukipata unikumbukeUpuuzi/Ushamba/Ubwege/Ujuaji WA baadhi ya watu umesababisha jamaa wafungie host *****. Mtu hadi anatangaza anauza files dah, ngoja leo nipate new host nile zangu kimyakimya
Mimi nimemtafuta MD wao twitter saivi nimepata line yangu bila kununua router napiga mzigo vizuri tu
Hiyo Router ya Airtel ni movable??Chagua moja kunyoa au kusuka...wazee hawa airtel ni moto wa mbaliiii.huku nilipo hakuna 5g kuna 4g tu lakini speed yake ya 30mbps kwa fiber ya 20mbps ...jibu ni kwamba huyu fiber akasomee mbaliii sasa mnaopata 5g sijui mnaenjoy vipi aiseee kama mimi tu wa 4g nafurahia maisha nyiee mtakuwa mmeyapatia [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2960]View attachment 2838418
Naunga mkono hojaDaaah, ni kweli kabisa. Soon kale ka IP adr3ss kakipigwa kubwa tumekwisha[emoji50]β[emoji100][emoji50]β[emoji100]
Ni wajinga sana wanatamaa sanaUpuuzi/Ushamba/Ubwege/Ujuaji WA baadhi ya watu umesababisha jamaa wafungie host *****. Mtu hadi anatangaza anauza files dah, ngoja leo nipate new host nile zangu kimyakimya
π€£Watu wajinga sana tuone Watauza nn sasa ukipata nistue mzee
Naunga mkono hoja π€£Hahaha leo naona mmekasirika vijana baada ya kakitonga ketu kuyeyukaaa ila niliwaambia...ukipata kitu kula kimya kimya au uza kwa gharama kubwa ili mtu apate maumivu na yeye akivujisha
Yes mkuuHiyo Router ya Airtel ni movable??
Na bei ni affordableYes mkuu
Kapigwe mara ngapi mkuu kapo chalii huko..vijana wanaombolezaDaaah, ni kweli kabisa. Soon kale ka IP adr3ss kakipigwa kubwa tumekwisha[emoji50]β[emoji100][emoji50]β[emoji100]
Ndio mkuu soma hii page inamaelezo mengi tu kuhusu rooter yao mkuuNa bei ni affordable
π€£π€£πππππKapigwe mara ngapi mkuu kapo chalii huko..vijana wanaomboleza
Kuna mjinga mmoja alikuwa anawauzia watu utazani yeye ndo kaitengeneza nawakati na yeye kaipata bure tuUpuuzi/Ushamba/Ubwege/Ujuaji WA baadhi ya watu umesababisha jamaa wafungie host *****. Mtu hadi anatangaza anauza files dah, ngoja leo nipate new host nile zangu kimyakimya
Acha uchoyoUnazingua hivi vitu sio vya kuweka wazi kiasi hichi
AlizinguaKuna mjinga mmoja alikuwa anawauzia watu utazani yeye ndo kaitengeneza nawakati na yeye kaipata bure tu
OkYes mkuu
Hili ndio tatizo letu wabongo ubinafsi mwingi ndio maana tupo palepaleHahaha leo naona mmekasirika vijana baada ya kakitonga ketu kuyeyukaaa ila niliwaambia...ukipata kitu kula kimya kimya au uza kwa gharama kubwa ili mtu apate maumivu na yeye akivujisha
Matajuri wengi mabinafsi ndio maana wanaendelea....angalia tu nchi zilizoendelea zipo kwenye capitalism .....hii ya umoja umoja ndio iliyotuponza akina tzHili ndio tatizo letu wabongo ubinafsi mwingi ndio maana tupo palepale