Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Hii speed ningekuwa naipata mchana ikiwa hivi hivi ingenifaa sana
1722808745885.png



Ila kifurushi kikiisha narudi zangu Airtel kule niliishi maisha ya anasa sana
 
Kutokana na Uhaba wa Vifurushi kwa sasq, vifurushi vizuri vinapatikana Tigo postpaid na Airtel Sme.

Airtel SME.
View attachment 2741119

Tigo postpaid
View attachment 2741120

Namna ya kupata official hivi vifurshi, tembelea wakala wa mtandao husika wa karibu ukiwa na Tin no, leseni na kitambulisho.

Kama huna details hapo juu wapo mawakala wanaunga bila Tin no, kwenye huu uzi wapo pia, ila kuwa makini na matapeli.

Update
Kwa wanaojiweza vipo pia vifurushi vya Unlimited vya 5G kwa sasa vinapatikana Airtel na Vodacom kwa urahisi.

Vodacom
-kasi internet inaanzia 50,000 kwa mwezi, unatumia around GB 20 speed inashuka ila inabaki unlimited. Sio kifurushi kibaya kama umekosa internet nyengine.

-Supakasi hii inaanzia 115,000 ni unlimited. Sema inahitaji tin no na leseni

Airtel
Wana unlimited kama Vodacom ila hii inaanzia 70,000 kwa mwezi na instalation fee ni 200,000 malipo ya mara moja, uzuri wa hii mtu yoyote anaungwa sio lazima uwe mfanyabiashara.
Airtel ni reliable mkuu kwa hio 70k ? Niliona wana router zina power bank
Vodacom wako vizuri lkn kiukweli kuna muda wanazingua sana poor response
 
GB 24.6 sio 246,

Hichi kifurushi cha unlimited 50,000 bado hata mimi sijakielewa vizuri, pengine ni mpaka connection, maana hata ukienda ofisi zao hawakijui.
Iko hivi..

Hicho kifurushi kinauzwa kwa siri kwasababu kwa mujibu wa sera za TCRA zimepiga marufuku makampuni kuuza unlimited kwa bei hiyo.

Ndio maana hutaona kwenye pages zao wakifanya promo kuhusu hicho kifurushi.

Lakini sababu ya wao kuweka 24,6GB ilikuwa ni kuwatoa maboya hao TCRA ili wasije kusanuka kuwa kuna fraud inafanyika.

Ndio maana ukiangalia hapo juu kuna kifurushi kipo cha 50K kinatoa GB66 swali la kujiuliza kivipi hiki kingine cha 50K kiwe na 24GB, nani ambaye anaweza kuacha GB66 akanunua 24GB.

Ni huduma nzuri ila due to my personal experience hii service haina consistency, haikupi speed bora inayodumu muda mrefu.

Na leo naweza kusema at least sio kama jana, lakini kuna moment hata kufungua picha inakuwa mtihani.
 
Iko hivi..

Hicho kifurushi kinauzwa kwa siri kwasababu kwa mujibu wa sera za TCRA zimepiga marufuku makampuni kuuza unlimited kwa bei hiyo.

Ndio maana hutaona kwenye pages zao wakifanya promo kuhusu hicho kifurushi.

Lakini sababu ya wao kuweka 24,6GB ilikuwa ni kuwatoa maboya hao TCRA ili wasije kusanuka kuwa kuna fraud inafanyika.

Ndio maana ukiangalia hapo juu kuna kifurushi kipo cha 50K kinatoa GB66 swali la kujiuliza kivipi hiki kingine cha 50K kiwe na 24GB, nani ambaye anaweza kuacha GB66 akanunua 24GB.

Ni huduma nzuri ila due to my personal experience hii service haina consistency, haikupi speed bora inayodumu muda mrefu.

Na leo naweza kusema at least sio kama jana, lakini kuna moment hata kufungua picha inakuwa mtihani.
Ngoja nikilipie nione nitadumu nacho kwa mda gani..
 
Iko hivi..

Hicho kifurushi kinauzwa kwa siri kwasababu kwa mujibu wa sera za TCRA zimepiga marufuku makampuni kuuza unlimited kwa bei hiyo.

Ndio maana hutaona kwenye pages zao wakifanya promo kuhusu hicho kifurushi.

Lakini sababu ya wao kuweka 24,6GB ilikuwa ni kuwatoa maboya hao TCRA ili wasije kusanuka kuwa kuna fraud inafanyika.

Ndio maana ukiangalia hapo juu kuna kifurushi kipo cha 50K kinatoa GB66 swali la kujiuliza kivipi hiki kingine cha 50K kiwe na 24GB, nani ambaye anaweza kuacha GB66 akanunua 24GB.

Ni huduma nzuri ila due to my personal experience hii service haina consistency, haikupi speed bora inayodumu muda mrefu.

Na leo naweza kusema at least sio kama jana, lakini kuna moment hata kufungua picha inakuwa mtihani.
Na lazima line iwe m2M ama hata line za kawaida itakubali?
 
Back
Top Bottom