Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Wajita hatuna mazuri mkuu? hasa hao wa kike...

Na unapo mchukia mtu acha kueneza sumu hiyo kwa wengine na kuijumuisha hiyo sumu na jamii nzima anayo tokea mtu huyo.
Na fahamu familia nying za kijita ambazo wanaishi baba, mama na watoto.
 
Acha au punguza kabisa chuki mkuu. Kueneza mabaya mtu mlieshindwana sio uungwana

Tabia za mtu mmoja/familia sio tabia za kila mtu ndani ya kabila/familia
 
Huyo wajita hawana mazuri au huyo mjuta hana mazuri ?
 
Wajita hatuna mazuri mkuu? hasa hao wa kike...

Na unapo mchukia mtu acha kueneza sumu hiyo kwa wengine na kuijumuisha hiyo sumu na jamii nzima anayo tokea mtu huyo.
Na fahamu familia nying za kijita ambazo wanaishi baba, mama na watoto.
Nyinyi na jamii zenu wote hamjawahi kuwa na mazuri hata siku moja, ni watu wachonganishi mno sijawahi kuona, wasengenyaji mnoo. Nimeishi na nyie muda mwingi mno itoshe kusema tu ninyi mnawezana nyie kwa nyie. Wabaya sana nyie watu
 
Nyinyi na jamii zenu wote hamjawahi kuwa na mazuri hata siku moja, ni watu wachonganishi mno sijawahi kuona, wasengenyaji mnoo. Nimeishi na nyie muda mwingi mno itoshe kusema tu ninyi mnawezana nyie kwa nyie. Wabaya sana nyie watu
Nakuunga mkono mkuu hao watu wanawezana wao kwa wao tu
 
Naona mleta uzi kakataliwa na binti wa kijita kaamua kuja kulichafua kabila zima

Mimi ni mjita ila ulichoeleza ni uongo mkuu
Ongezea na Wazanaki, Wangoreme, Wasuba, Waikizu, Waisenye, Waikoma, Wakwaya, Waluli, Washashi, Wanata na Wasweta bila kuwasahau ndugu zako Wajaluo (hapa nilitoka ndugu) wanasema ana mapepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…