Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Yes ndio zao na hapo ukisogea karibu yake ana punguza sauti au anakata kabisa simu ila ukitoka sasa unawekwa mezani wanaunga conference ukoo mzima wana jadili namna ya kukupuna vizuri na kukuendesha
😂😂😂
 
Ni rahasi sana kuitambua tabia ya mwanamke kwa kumwangalia macho na lipsi zake wakati anaongea
Hapa nimekuelewa vizuri sana kuna binti mmoja wa kimasai hivi na wamasai tuwaache waoane wenyewe na wahadzabe je tuwaache waoane wenyewe? Nasikia hawa hua wanajenga boma alafu wanaarika mume wakimuona namna gani wanamtimua wanaingiza mwingine kwa boma Ila Wajaluo ni funiko na Wapare ni ving'ang'anizi hata akufume red handed hakuachii (hapa ushahidi ninao)
 
Hata sikuelewagi ni kama vile una kisa na mimi, mara nyingi nakupuuzia lakini acha leo nikujibu
Wewe ndo una akili za kushikiwa kwa kudhani watu humu tupo serious sanaaaa na maisha vingine tunachangamsha genge.
Endelea kubaki na Ujinga wako.
Mbwaimbwai Bibi katema Bungo
 
Hapa ni mtu kaangukiwa na kitu kizito basi akaona amwage nyongo. Waswahili walisema ukiumwa na nyoka, hata ukiona ujani unashtuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…