Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Dah mkuu yani hapo kwenye ushirikina hawa wanawake ni habari nyingine kabisaaa...mimi kwakweli ni shuhuda hapa.

Tena usiombe mwanaume uwe na pesa. Yani atakachokifanya kwanza ni kukupiga madawa ww uwe mama yeye awe baba kisha anafuata na kukutenganisha na wanao(hapa uombe tu watoto wakue wajielewe) baada ya hapo anafanya makolokolo muachane kisha mnagawana mali anakuacha ufe na presha zako.
Yeah ndio zao izo wanaume wengi wamefanywa kua wanawake yani wana tawaliwa balaa kwasababu wanawekewa madawa na wanasahau kwao kabisa
 
Hisia tu Kama vile unamchukia mtu kisa ana hela kukuzidi. Fanya research ya wajita wote utoe data statistically na sio uongee uaminike eti jua ndilo linalozunguka dunia.
Tupe wastani, tofauti,variance, standard variation , maximum and minimum.
Tupe mean sample and population mean
Wewe nenda kaoe huko kisha yakishakupata ndio uje na
standard variation , maximum and minimum na mean sample yako
 
Bila kusahau misimamo yao,nilishawahi kudate na binti wa kijita,nikamkatia tiketi ya ndege aje dar,sasa kutokana na mimi siku hiyo nilikua na shughuli bagamoyo nikamwambia sitaweza kukupokea airport naomba ukifika tutakutana nyumbani naweza chelewa kurudi,Akamind ndege ilikua inapitia kilimanjaro akashuka akarudi mwanza,nilimpiga chini siku hiyo hiyo,
 
Bila kusahau misimamo yao,nilishawahi kudate na binti wa kijita,nikamkatia tiketi ya ndege aje dar,sasa kutokana na mimi siku hiyo nilikua na shughuli bagamoyo nikamwambia sitaweza kukupokea airport naomba ukifika tutakutana nyumbani naweza chelewa kurudi,Akamind ndege ilikua inapitia kilimanjaro akashuka akarudi mwanza,nilimpiga chini siku hiyo hiyo,
Safi kabisa yani hao ni kama wale mufilisi yani hawawazi ni hasara kiasi gani mtu anaweza kuingia kutokana na matendo yao kwaio nikua makini
 
Back
Top Bottom