Vijana jitahidini muoe mwanamke anayekupenda

Vijana jitahidini muoe mwanamke anayekupenda

Wapo vijana humu wanaojiandaa na ndoa, nawaasa vijana wa kiume, usitumie nguvu nyingi Sana kumshawishi mwanamke unayempenda ili aridhie kuwa na wewe... unaweza tumia nguvu ya pesa kumshawishi ili umtumie kama part time, Ila kwenye swala la ndoa usidhubutu kabisa kuoa mwanamke asiyekupenda.

Kama unatumia nguvu nyingi Sana pengine Mali na fedha kumshawishi mwanamke mpaka akakubali tambua tuu huyo mwanamke hakupendi, na endapo utamuoa utakuja kujuta.

Mwanamke anayekupenda huwa haombi vitu ovyo ovyo ni nadra Sana, na ikitokea ujue huyo ni extremely emergency, atajitahidi hakuudhi wala kukukwaza na atakusikiliza Kwa kila kitu, na kila mwanaume duniani anaye mwanamke anayempenda, shida ni kwamba tamaa na mionekano ya wanawake wa hovyo ndo huwa inatuponza.

Kama kuna mwanamke anakupenda na wewe unamuona kama anafaa japo sio wa viwango unavyotaka usipoteze mda weka ndani , utaenjoy Sana , na utafanya mambo makubwa , hawa wa kuhonga Sana ndo akukubali jiandae kuchapiwa Sana na kuzalishiwa watoto wasio wako.

Mengine Robert Heriel Mtibeli ataongezea
Ushauri huu umeanza kuniingia akilini.
Kutumia nguvu ya pesa kumshawishi mwanamke ni hatari tupu.

Ngoja niendelee kufikiria.
 
Wapo vijana humu wanaojiandaa na ndoa, nawaasa vijana wa kiume, usitumie nguvu nyingi Sana kumshawishi mwanamke unayempenda ili aridhie kuwa na wewe... unaweza tumia nguvu ya pesa kumshawishi ili umtumie kama part time, Ila kwenye swala la ndoa usidhubutu kabisa kuoa mwanamke asiyekupenda.

Kama unatumia nguvu nyingi Sana pengine Mali na fedha kumshawishi mwanamke mpaka akakubali tambua tuu huyo mwanamke hakupendi, na endapo utamuoa utakuja kujuta.

Mwanamke anayekupenda huwa haombi vitu ovyo ovyo ni nadra Sana, na ikitokea ujue huyo ni extremely emergency, atajitahidi hakuudhi wala kukukwaza na atakusikiliza Kwa kila kitu, na kila mwanaume duniani anaye mwanamke anayempenda, shida ni kwamba tamaa na mionekano ya wanawake wa hovyo ndo huwa inatuponza.

Kama kuna mwanamke anakupenda na wewe unamuona kama anafaa japo sio wa viwango unavyotaka usipoteze mda weka ndani , utaenjoy Sana , na utafanya mambo makubwa , hawa wa kuhonga Sana ndo akukubali jiandae kuchapiwa Sana na kuzalishiwa watoto wasio wako.

Mengine Robert Heriel Mtibeli ataongezea
Leteni maji ya baridi tumwagie huyu, usingizi bado mzito....atalowesha kitanda sio muda
 
Wapo vijana humu wanaojiandaa na ndoa, nawaasa vijana wa kiume, usitumie nguvu nyingi Sana kumshawishi mwanamke unayempenda ili aridhie kuwa na wewe... unaweza tumia nguvu ya pesa kumshawishi ili umtumie kama part time, Ila kwenye swala la ndoa usidhubutu kabisa kuoa mwanamke asiyekupenda.

Kama unatumia nguvu nyingi Sana pengine Mali na fedha kumshawishi mwanamke mpaka akakubali tambua tuu huyo mwanamke hakupendi, na endapo utamuoa utakuja kujuta.

Mwanamke anayekupenda huwa haombi vitu ovyo ovyo ni nadra Sana, na ikitokea ujue huyo ni extremely emergency, atajitahidi hakuudhi wala kukukwaza na atakusikiliza Kwa kila kitu, na kila mwanaume duniani anaye mwanamke anayempenda, shida ni kwamba tamaa na mionekano ya wanawake wa hovyo ndo huwa inatuponza.

Kama kuna mwanamke anakupenda na wewe unamuona kama anafaa japo sio wa viwango unavyotaka usipoteze mda weka ndani , utaenjoy Sana , na utafanya mambo makubwa , hawa wa kuhonga Sana ndo akukubali jiandae kuchapiwa Sana na kuzalishiwa watoto wasio wako.

Mengine Robert Heriel Mtibeli ataongezea
Ukweli mchungu,ila kikubwa anatakiwa kuwa mwelewa maana tofauti na hapo unaweza kumuumiza kihisia kama huna stamina ya maneno au uvumilovu maana ni rahisi kumtoa kasoro Kwa sababu sio chaguo lako namba 1.

But mara mia wa hivi kuliko yule ambae wewe unampenda ni hatari
 
Mwanamke wa kukupenda unampata wapi? Baba wa huyo mwanamke unayemsubiri anamfundisha bintiye, sisi wanaume wote ni mbwa, ukipata mwanaume kumbuka kuleta maokoto hapa.

Mama wa huyo mwanamke unatemtarajia anamfundisha bintiye, mwanamke jiko, jiko mafiga matatu.
Atamwambia Kwa maneno ila Moyo is something else
 
Ulishajiuliza na hizi kauli kutoka kwa mama zao" hivi wewe mwadawa kila siku upo na huyo kijana, kila muda unamuwaza kitombile, kijana mwenyewe hana mbele wala nyuma una waacha wakina Iddy bonge wenye pesa zao unakalio ilo livaa kobazi na miguu yake kama madenge" hapa unapata picha jinsi gani binti anatengenezwa na wazazi wake akiwa mdogo kuwa mwanaume wa kukuoa ni mwenye pesa yaani pesa mbele.... Acha mimi kitombile niendelee kuwapelekea moto mpaka papuchi zao ziwe sugu.
 
Back
Top Bottom