Sio rahisi jinsi ulivyoandika. Kubadilisha logo ya kitu ni process ndefu mapka dunia ikubaliUmeingia kwenye nafsi yangu na kuona nawasapoti? Kesho wakiamua na nguo nyeusi wavae wao, na keshokutwa wakaona na nyeupe inawafaa, wakawa wanafanya mzunguko wa kila rangi unataka kuniambia sasa inabidi nitembee mtupu ili nisiwasupport?
Ina Rangi zote au chache tuDah mleta mada umenifanya nimwangalie kwa jicho la tofauti bodaboda aliyenileta home jioni hii.
View attachment 1891077
Kama zinafika rangi 6 basi ujue kuna walakiniDah mleta mada umenifanya nimwangalie kwa jicho la tofauti bodaboda aliyenileta home jioni hii.
View attachment 1891077
Hatuwabagui ila vitendo vyao hatuviungi mkono elewa hivyo. Hata matendo yao hayampendezi MunguAcha imani potofu ndugu watu wameumbwa na Mungu hivyo hivyo hauna haki ya kuwahukumu, na kumbuka kuna maovu kuzidi hayo bora ya yule ambaye kazaliwa yupo hivyo kuliko yule anayefanya maovu ambayo wala sio udhaifu wakuzaliwa nao.
sitetei maovu naongelea uhalisia
Maseng*# sana maneeenah
Kuna dogo wa shule za kata nilikutana nae kwenye Daladala, kaweka lesso kwenye mfuko wa shati kama urembo. Nikachukua simu nikapita google nikampa asome alichobeba. Hapo hapo alikitoa kwenye mfuko wa shati na kukitupa njeeeView attachment 1890476
Hizi rangi zimevamiwa sana na vijana wa kitanzania tena bila hata kujua maana yake.
Hizo ni rangi zinazounga mkono jamii ya mapenzi ya jinsia moja
lesbian, gay, bisexual, transgender, intersex, queer/questioning, asexual. (LGTBQ)
nilianza kuona hizi rangi lakini sikuelewa maana yake. Nikajaribu kuuliza nikaambiwa lakini sikuamini.
View attachment 1890489
View attachment 1890490
Nilikuja kuthibitisha nilipoona kwenye EURO 2020 hapo ndio nikafanya uchunguzi zaidi na kupata jibu. Mtaani watu wanavaa kama Kawaida ila rangi hivi ukivalia ULAYA NA MAREKANI basi watajua ni mwanachama mwenzao au unaunga mkono vitendo ambavyo havijulikani kwa Mungu.
Bahati nzuri , hii ni kama lugha na mengine ya kitamaduni, tafsiri ya jamii moja si sawa na nyingine kwa kitu kilekile. Bundi ni ndege hatari sana kwenye jamii nyingi za Kiafrika. Huashiria mabalaa. Alionekana jengoni bungeni ikawa mjadala wa taifa, wakati uzunguni ndege huyu huhusishwa na bahati. Kama haitoshi, wazungu hutumia rangi nyeusi[vazi] msibani, sisi kwetu linahusishwa na mambo ya giza, rejea kaniki.View attachment 1890476
Hizi rangi zimevamiwa sana na vijana wa kitanzania tena bila hata kujua maana yake.
Hizo ni rangi zinazounga mkono jamii ya mapenzi ya jinsia moja
lesbian, gay, bisexual, transgender, intersex, queer/questioning, asexual. (LGTBQ)
nilianza kuona hizi rangi lakini sikuelewa maana yake. Nikajaribu kuuliza nikaambiwa lakini sikuamini.
View attachment 1890489
View attachment 1890490
Nilikuja kuthibitisha nilipoona kwenye EURO 2020 hapo ndio nikafanya uchunguzi zaidi na kupata jibu. Mtaani watu wanavaa kama Kawaida ila rangi hivi ukivalia ULAYA NA MAREKANI basi watajua ni mwanachama mwenzao au unaunga mkono vitendo ambavyo havijulikani kwa Mungu.
Unaijua logo ya kwanza ya Apple lakini.. unataka na iPhone watu waache kutumia sio?..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 1890476
Hizi rangi zimevamiwa sana na vijana wa kitanzania tena bila hata kujua maana yake.
Hizo ni rangi zinazounga mkono jamii ya mapenzi ya jinsia moja
lesbian, gay, bisexual, transgender, intersex, queer/questioning, asexual. (LGTBQ)
nilianza kuona hizi rangi lakini sikuelewa maana yake. Nikajaribu kuuliza nikaambiwa lakini sikuamini.
View attachment 1890489
View attachment 1890490
Nilikuja kuthibitisha nilipoona kwenye EURO 2020 hapo ndio nikafanya uchunguzi zaidi na kupata jibu. Mtaani watu wanavaa kama Kawaida ila rangi hivi ukivalia ULAYA NA MAREKANI basi watajua ni mwanachama mwenzao au unaunga mkono vitendo ambavyo havijulikani kwa Mungu.
View attachment 1890476
Hizi rangi zimevamiwa sana na vijana wa kitanzania tena bila hata kujua maana yake.
Hizo ni rangi zinazounga mkono jamii ya mapenzi ya jinsia moja
lesbian, gay, bisexual, transgender, intersex, queer/questioning, asexual. (LGTBQ)
nilianza kuona hizi rangi lakini sikuelewa maana yake. Nikajaribu kuuliza nikaambiwa lakini sikuamini.
View attachment 1890489
View attachment 1890490
Nilikuja kuthibitisha nilipoona kwenye EURO 2020 hapo ndio nikafanya uchunguzi zaidi na kupata jibu. Mtaani watu wanavaa kama Kawaida ila rangi hivi ukivalia ULAYA NA MAREKANI basi watajua ni mwanachama mwenzao au unaunga mkono vitendo ambavyo havijulikani kwa Mungu.
Kupigwa randa ndio kufanywa nini muzee ya jehanamKwamba hujawahi kupigwa randa wewe?
Hii alama yenyewe kabisa, anawakilisha chama lao😀Kuna dogo wa shule za kata nilikutana nae kwenye Daladala, kaweka lesso kwenye mfuko wa shati kama urembo. Nikachukua simu nikapita google nikampa asome alichobeba. Hapo hapo alikitoa kwenye mfuko wa shati na kukitupa njeee
View attachment 1891462
Naweza kukubaliana na wewe kama ukinipa tafsiri ya hiyo bendera yenye rangi sita kwa jamii yetu,ina maana gani? Au unataka kusema bendera ya Tanzania ina maana tofauti na anapoiona mtu wa jamii nyingine?Bahati nzuri , hii ni kama lugha na mengine ya kitamaduni, tafsiri ya jamii moja si sawa na nyingine kwa kitu kilekile. Bundi ni ndege hatari sana kwenye jamii nyingi za Kiafrika. Huashiria mabalaa. Alionekana jengoni bungeni ikawa mjadala wa taifa, wakati uzunguni ndege huyu huhusishwa na bahati. Kama haitoshi, wazungu hutumia rangi nyeusi[vazi] msibani, sisi kwetu linahusishwa na mambo ya giza, rejea kaniki.
So, West si standard. Kila jamii ina standards zake.
Yani bonge la post. Mimi binafsi nimeona vijana kadhaa wakiwa wamevaa hizi rangi bila kujua wakidunda zao town.View attachment 1890476
Hizi rangi zimevamiwa sana na vijana wa kitanzania tena bila hata kujua maana yake.
Hizo ni rangi zinazounga mkono jamii ya mapenzi ya jinsia moja
lesbian, gay, bisexual, transgender, intersex, queer/questioning, asexual. (LGTBQ)
nilianza kuona hizi rangi lakini sikuelewa maana yake. Nikajaribu kuuliza nikaambiwa lakini sikuamini.
View attachment 1890489
View attachment 1890490
Nilikuja kuthibitisha nilipoona kwenye EURO 2020 hapo ndio nikafanya uchunguzi zaidi na kupata jibu. Mtaani watu wanavaa kama Kawaida ila rangi hivi ukivalia ULAYA NA MAREKANI basi watajua ni mwanachama mwenzao au unaunga mkono vitendo ambavyo havijulikani kwa Mungu.
Kabisa mkuu,wanajua kabisa ww ni mdau,huko kuna mpaka Lodge, Makanisa,mighahawa, hoteli zenye bendera hiyo wanajua kabisa hapa wasagaji na mashoga wanaruhusiwa.Yani bonge la post. Mimi binafsi nimeona vijana kadhaa wakiwa wamevaa hizi rangi bila kujua wakidunda zao town.
Laiti wangejua. ...haha. ulaya na marekani dakika mbili huchukui. Ushatomgozwa [emoji23][emoji23]
Kwanza, unapaswa kutambua kuwa ulimwengu si huo unaoujua wewe pekee. Kwahiyo, usidhani kile unachofahamu wewe ndiyo kanuni, hata kidogo. Aliyekwambia kila mtu anatambua hiyo ni bendera ni nani? Kwako inaweza kuwa bendera , kwa mwingine ni rangi tu kama rangi zingine, kaamua kuzipanga akavaa, akapaka nyumba yake ama vyovyote atakavyo. Kwake ikawa na ujumbe ama mguso tofauti kabisa.Naweza kukubaliana na wewe kama ukinipa tafsiri ya hiyo bendera yenye rangi sita kwa jamii yetu,ina maana gani? Au unataka kusema bendera ya Tanzania ina maana tofauti na anapoiona mtu wa jamii nyingine?
Kitu kinachoanzishwa na wazungu na kutambuliwa na UN kinaweza vipi kuwa maana tofauti na sehemu nyingine?
Washindwe na walegee kama mlendaZinaitwa rainbow colors.. Na mkakati ni kuleta kitu kinachoitwa rainbow nation na baadae rainbow world
KusagwaKupigwa randa ndio kufanywa nini muzee ya jehanam