Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Sodoma na Gomora walikuwa wanapiga foursomes, kungonoka na wanyama au styles za popo kanyea mbingu?Ndio tabia mbovu zipo ni nyingi, hatuna mazuri yetu?
Kwani sodoma na gomora nayo walikuwa na vijana wa 1990's?
Habari zenu
Sio Kwa ubaya ila napenda kuwaomba vijana wa Miaka ya tisini muondoke hapa duniani maana tumewachoka. Kila jambo baya nyinyi ndo wakwanza kulifanya
Hiki kizazi kimekithili umalaya na kimedhamiria haswaaa kueneza umalaya duniani kote..nyinyi vijana tunaomba mtupishe duniani sio sehem ya kufanyia huo ufuska wenu, hapo Bado sijazungumzia mnavyopenda Kwa mparange, yaani hiki kizazi IPO siku kitatuletea moto kutoka mbinguni
Hiki kizazi kinashusha uchumi wa nchi wao wanachojali ni kulewa mapombe na kuvuta mishisha tu hawajali hata kujenga wao kazi yao ni kuomba Hela na kukaa Kwa wazazi wao akijitahidi sana basi ataenda kukaa Kwa shemeji yake,, sasa kizazi kama hichi ni Cha nini hapa duniani kama sio kipo kwaajili ya kututia umaskini tu
Kwenye mmomonyoko wa maadili huko ndo usiseme yaani saiv mpaka tunaogopa kuwaacha watoto nje maana mnayoyafanya pamoja na mavazi yenu yanatuharibia watoto wetu, tumechoka kuwaona mkivaa vijora bila nguo za ndani mnahamasisha na kuwafunza vibaya watoto wetu.
Kwa Leo naishia hapa ila Kila siku nitakuja namwaga nyongo hadi muanze kujiua mmoja mmoja Ili tuishi Kwa amani. In short nyinyi kizazi Cha 90 hatuwapendi Bora mtupishe mkaishi huko maporini
sisi ndio wa kusema,mpaka 2025,tukabidhi kijiti kwa watoto wa 2000View attachment 2831221
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Bado haujasema[emoji419]Hapana
Haya mambo mi sipendagi kuyasema ila inabidi niyaseme tu... Juzi kunasehem nilikua napata kinywaji baridi mbele yangu Kuna kijana (naye ni wa 90) alikua ameketi,, Kuna muda alisimama Ili aongee na muhudumu ghafla nikaona kwenye suruali yake Kwa nyuma ameloa Kwa haraka sikutilia maanani kwasababu hayo mambo Miaka yetu hayakuwepo mi nilijua amekalia maji Kwa bahati mbaya, alivoketi Kuna jamaa nilikuwa naye akaamza kufunguka kwamba huyo kijana analiwa kisamvu na hapo mtaani wapo wengi sana walioharibiwa Kwa kupenda mteremko..kufupisha stori naomba niseme lengo la Hawa vijana wa 90 sio zuri wanatuharibia vizazi vijavyoWamekufanyaje tena hawa vijana mkuu? Haya ya kwa mpalange we umejuaje wenyewe ndo mafundi? Kuna namna hapa wamekutenda hawa vijana
Yesu mwenyewe alikuja kwaajili ya wenye dhambi na hakubagua hata Makahaba kama Rahabu, Mleta mada asiingie huko Tinder na Badoo kufanya utafiti kwa lipi haswa?Tinder na badoo uliijuaje mkuu.
Yani ukafanye research dating sites ambazo ni sawa na kuenda kufanya survey ya true love kimboka au riverside ??....
Halafu watoto wa 90 wanakuwaje chanzo cha matatizo ilhali walizaliwa na hivyo vizazi vilivyopita??...
Kwa nini usilaumu vizazi vilivyopita kwa parental failure
By the way siamini upo serious mkuu kwa hiyo conclusion [emoji16][emoji16]
Haya mambo mi sipendagi kuyasema ila inabidi niyaseme tu... Juzi kunasehem nilikua napata kinywaji baridi mbele yangu Kuna kijana (naye ni wa 90) alikua ameketi,, Kuna muda alisimama Ili aongee na muhudumu ghafla nikaona kwenye suruali yake Kwa nyuma ameloa Kwa haraka sikutilia maanani kwasababu hayo mambo Miaka yetu hayakuwepo mi nilijua amekalia maji Kwa bahati mbaya, alivoketi Kuna jamaa nilikuwa naye akaamza kufunguka kwamba huyo kijana analiwa kisamvu na hapo mtaani wapo wengi sana walioharibiwa Kwa kupenda mteremko..kufupisha stori naomba niseme lengo la Hawa vijana wa 90 sio zuri wanatuharibia vizazi vijavyo
Je, unafikifi wewe ndiyo una haki ya kuishi hapa Tanzania kuliko wengine?Tumewachoka na hizo tabia zenu mbovu Bora mfe
Hahahaaaa......Kwanza walikuwa washamba eti superstar wao alikuwa feruz na Mr nice ahahaha
Washamba kweli kweli πKwanza walikuwa washamba eti superstar wao alikuwa feruz na Mr nice ahahaha