welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
- Thread starter
- #41
Kabisa, alafu msichogundua single mother kuna mambo mengi wanaendana, single mother wa maofisini wanapenda sana magaun flan ya kujiachia mafupi na kwenye pochi zao wamejiandaa kuliwa muda wowote, hawakosi miwani mikubwa na mtandio, chup na kanga na katu hutawakosa na wipes, hizo miwani na mtandio huwa wanapenda kujitanda wakiwa wanaingia gest!Wachache sana watamuelewa mtoa mada. Wanaume tunapaswa kujipendelea