Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Musk zimemtatulia matatizo?Pesa haitatui matatizo yote ila tu inakuondolea stress na kukuongezea utulivu wa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Musk zimemtatulia matatizo?Pesa haitatui matatizo yote ila tu inakuondolea stress na kukuongezea utulivu wa akili
Watoto wa kiume wa Single maza ni hatari zaidi.Kabisa mkuu yaan mabinti wengi waliolewa na single mother hawana maadili hata kidogo ni wazee wa kupritend wapate wanachotaka baada ya muda yanayofata ni maumivu!
Ukilirud kwa vijana waliolelewa na single mother nao ni wa hovyo na hawapendi kazi kwa kuwa wamezoeshwa kupewa hela za kudanga na Mama zao.
Kwa sauti ile ile au ?Kwa sauti ya yule yesu wa kwenye movie
"je na nyinyi wanaume mliolelewa bila baba mfanywe nini??"
Ile ile.....Kwa sauti ile ile au ?
HahahaaIle ile.....
Pesa ndo Kila kitu.
anakwambia tafuta hela wakati huo hata yeye hanaKamuulize vunja bei, Dokta mwaka, manara, RIP Dr. Meng hawa wote yaliwakuta mambo na walikuwa na pesa na je Kwann diamond haoi?? S ni kila kitu iweje Leo Elon musk anatengeneza mademu maroboti u get my point budah
Maskini huwa anaamini akipata pesa shida zake zote zitaisha.Kamuulize vunja bei, Dokta mwaka, manara, RIP Dr. Meng hawa wote yaliwakuta mambo na walikuwa na pesa na je Kwann diamond haoi?? S ni kila kitu iweje Leo Elon musk anatengeneza mademu maroboti u get my point budah
Pesa haitatui matatizo yote ila tu inakuondolea stress na kukuongezea utulivu wa akiliPesa ndo Kila kitu.
Wanawalea watoto mapajani na kuwatambulisha kila Mara uncle mpya! Na Kuna watoto wanalaana toka wadogo kwa kuwachungulia mama zao wakifanya mapenzi!Watoto wa kiume wa Single maza ni hatari zaidi.
Ukimwona mwanaume anakataa mtoto, ujue hata mwanamke Hana uhakika na baba wa mtoto!Na hawa mnaozaa na kutelekeza nyie akina Kataa Ndoa lakink huku mkizaa zaa hovyo wataishia wapi? Ni mata of taimu tu mtajionea majanga kabla hamjafa mtajuta.
Vijana wanawarekod sana kujipatia kipatoJambo kubwa ujumla mke wa mtu jitahidi kumrekodi,hii itasaidia kupunguza umalaya
HahahaaUkimwona mwanaume anakataa mtoto, ujue hata mwanamke Hana uhakika na baba wa mtoto!
Hahahaaa.....ukisikia tu mtu anatembea na hii slogan moja kwa moja jua ni kajambanani.anakwambia tafuta hela wakati huo hata yeye hana
Mkuu ungekua nae tu kwa kumtumia lakini kuoa unao binti mwenye maadili.Nina demu wangu yaani ananikata mood wakuu yaani anavaa kipensi kifupi anasem hata wazazi wake wanamruhus kiukwel nimeamua niachen nae maan nimeona kabisa ntaishia kuja kuvaa karoti ...
mavazi ya ovyo kabisa mapaja nje matiti nje kiukwel ananiita mimi mshamba nimemwambia acha niwe mshamba mwelevu kuliko wew mjanja nimepiga chini wazee atanisameh miez miwil sas nishakata mawasiliano nae na ashajua nime move on
Hapan angeniroga huyoMkuu ungekua nae tu kwa kumtumia lakini kuoa unao binti mwenye maadili.
Bora umekimbia....harafu wewe inaonekana ni mwanaume unajielewaNina demu wangu yaani ananikata mood wakuu yaani anavaa kipensi kifupi anasem hata wazazi wake wanamruhus kiukwel nimeamua niachen nae maan nimeona kabisa ntaishia kuja kuvaa karoti ...
mavazi ya ovyo kabisa mapaja nje matiti nje kiukwel ananiita mimi mshamba nimemwambia acha niwe mshamba mwelevu kuliko wew mjanja nimepiga chini wazee atanisameh miez miwil sas nishakata mawasiliano nae na ashajua nime move on
Mkuu ungekua nae tu kwa kumtumia lakini kuoa unao binti mwenye maadili.
Pole sana Braza kwa yaliyokukuta.KIUKWELI KABISA MIMI NIKIWA GENIUS NAUNGANA MKONO NA WANAO KATAA NDOA NA KUZIONA UPUMBAVU ...MAANA NI KWELI KUOA NI UPUMBAVU WA KUJITAKIA HAKUNA FAIDA YOYOTE KUBWA...HASARA ZA NDOA KWA SASA NI NYINGI KULIKO FAIDA BORA KUMILIKI PESA INAWEZA KUTATUA MATATIZO MENGI KULIKO KUWA NA MKE ...FAIDA ZA KIFAMILIA ZINAZO PATIKANA NDANI YA NDOA ZIME SHUKA SANA SIKU HIZI...NDIYO MAANA VIJANA WAMEAMUA KUZAA TU NA KULEA WATOTO....KITU CHA MSINGI NI KUWA NA PESA NA KUITUMIA VIZURI KWA HAKI BASI