Vijana mnaotaka kuingia kwenye ndoa kuweni makini sana

Vijana mnaotaka kuingia kwenye ndoa kuweni makini sana

Kabisa mkuu yaan mabinti wengi waliolewa na single mother hawana maadili hata kidogo ni wazee wa kupritend wapate wanachotaka baada ya muda yanayofata ni maumivu!
Ukilirud kwa vijana waliolelewa na single mother nao ni wa hovyo na hawapendi kazi kwa kuwa wamezoeshwa kupewa hela za kudanga na Mama zao.
Watoto wa kiume wa Single maza ni hatari zaidi.
 
Kamuulize vunja bei, Dokta mwaka, manara, RIP Dr. Meng hawa wote yaliwakuta mambo na walikuwa na pesa na je Kwann diamond haoi?? S ni kila kitu iweje Leo Elon musk anatengeneza mademu maroboti u get my point budah
Maskini huwa anaamini akipata pesa shida zake zote zitaisha.

Sisi wenye hela tunajua pesa sio kila kitu.
 
Na hawa mnaozaa na kutelekeza nyie akina Kataa Ndoa lakink huku mkizaa zaa hovyo wataishia wapi? Ni mata of taimu tu mtajionea majanga kabla hamjafa mtajuta.
Ukimwona mwanaume anakataa mtoto, ujue hata mwanamke Hana uhakika na baba wa mtoto!
 
Jambo kubwa ujumla mke wa mtu jitahidi kumrekodi,hii itasaidia kupunguza umalaya
 
Nina demu wangu yaani ananikata mood wakuu yaani anavaa kipensi kifupi anasem hata wazazi wake wanamruhus kiukwel nimeamua niachen nae maan nimeona kabisa ntaishia kuja kuvaa karoti ...
mavazi ya ovyo kabisa mapaja nje matiti nje kiukwel ananiita mimi mshamba nimemwambia acha niwe mshamba mwelevu kuliko wew mjanja nimepiga chini wazee atanisameh miez miwil sas nishakata mawasiliano nae na ashajua nime move on
Mkuu ungekua nae tu kwa kumtumia lakini kuoa unao binti mwenye maadili.
 
Nina demu wangu yaani ananikata mood wakuu yaani anavaa kipensi kifupi anasem hata wazazi wake wanamruhus kiukwel nimeamua niachen nae maan nimeona kabisa ntaishia kuja kuvaa karoti ...
mavazi ya ovyo kabisa mapaja nje matiti nje kiukwel ananiita mimi mshamba nimemwambia acha niwe mshamba mwelevu kuliko wew mjanja nimepiga chini wazee atanisameh miez miwil sas nishakata mawasiliano nae na ashajua nime move on
Bora umekimbia....harafu wewe inaonekana ni mwanaume unajielewa
 
KIUKWELI KABISA MIMI NIKIWA GENIUS NAUNGANA MKONO NA WANAO KATAA NDOA NA KUZIONA UPUMBAVU ...MAANA NI KWELI KUOA NI UPUMBAVU WA KUJITAKIA HAKUNA FAIDA YOYOTE KUBWA...HASARA ZA NDOA KWA SASA NI NYINGI KULIKO FAIDA BORA KUMILIKI PESA INAWEZA KUTATUA MATATIZO MENGI KULIKO KUWA NA MKE ...FAIDA ZA KIFAMILIA ZINAZO PATIKANA NDANI YA NDOA ZIME SHUKA SANA SIKU HIZI...NDIYO MAANA VIJANA WAMEAMUA KUZAA TU NA KULEA WATOTO....KITU CHA MSINGI NI KUWA NA PESA NA KUITUMIA VIZURI KWA HAKI BASI
Pole sana Braza kwa yaliyokukuta.

Vita ya kataa ndoa haina tofauti na Femists.. zinatetewa na Loosers
 
Back
Top Bottom