Vijana mnaotaka kuingia kwenye ndoa kuweni makini sana

ALAFU WANAWAKE WENGI WALIOZALIWA MIAKA YA 82-90KUENDELEA BAADHI YAO WAMEKUWA NA ULIMBUKENI WA MITANDAO WA HOVYO KAMA WATOTO WA ELFUMBILI.
Mkuu hao si watu wazima kabisa tena ni wa mama.
 
Umefanya uamuzi sahihi ambao binafsi sikubaliani nao...

Huyo haukutakiwa kumpiga chini, huyo ilipaswa umeweke kwenye list ya spermbins wako, yaani awe mwanamke wa kupunguzia uzito tu baasi pale unapokuwa na nyege Tena hamuwekei wivu kabisa
Akipata mimba anakuwa single mother na lawama zote anabeba yeye?

Bado hatujajua tatizo ninini na tutalisolve vipi , Kila mtu ni mbinafsi anavutia upande wake tu….
 
Na hawa mnaozaa na kutelekeza nyie akina Kataa Ndoa lakink huku mkizaa zaa hovyo wataishia wapi? Ni mata of taimu tu mtajionea majanga kabla hamjafa mtajuta.
Tutaojuta ni wanawake maana miiili yetu inabeba huu uhai . Uharibifu wa jamii tutau-feel sisi wanawake wakati wanaume wakienjoy uharibifu huo since watakuwa wamepata weak-link.

Mwanaume amekuja duniani kucontrol, akishindwa kucontrol anakaa pembeni kurusha lawama. Kujihold-responsible ni kitu ambacho hatakaa aweze hadi siku yesu anarudi.

Binafsi Mwanaume ni kiumbe kinachonishangaza sana hapa duniani.
 
Wanapatikana wapi
Hapo unapoishi wapo lakini lazima uwajue kuwatambua tabia zao na familia wanayoishi je wanaishi kwenye famila ya aina gani au marafiki zake ni wapoje kitabia.
 
Una mume?
 
Au kama vipi turudi tu kwenye ule utaratibu wa kutafutiwa mke na wazee.
 
Na mbaya zaidi hawajioni kama ni viburi. Mfumo jike uliosimikwa duniani kote kwa sasa umewakalilisha kwamba kiburi na ligi ya kutunishiana msuli na mume huo ndio usawa wa kijinsia
 
😂😂 dah ila taratibu kizazi cha kiume kinadidimia, why kila uchwao ni malalamiko dhidi ya wanawake. Ile sauti kuu ndani ya nyumba siku hizi inapotea.
Mifumo inambana mwanaume. Sasa hivi wanawake wanazijua haki zao lakini hawajui wajibu wao. Ukijifanya dikteta anadai talaka kinachofuata hapo unaambiwa uondoke kwenye nyumba yako umwache mwanamke ambae hajachangia hata tofali moja.
 
Kwanini vijana wengi mnalalamika sana now days kuliko wanawake
Kwa sababu mwanaume ndie anaewekeza zaidi kwenye mahusiano kwaiyo mahusiano hayo yakifa mwanaume ndie anaingia hasara wakati mwanamke hana cha kupoteza na kama mlifunga ndoa ataondoka na share ya mali zako.
 
huyu wangu akinizengua naingia msikitini nasilimu chapu hafu naoa mwezi huo huo...sijipi stress na sheria za kidini
 
Tukisema maono ndo hayo sasa,Kuowa hushindwi ila kuna maisha baada ya ndoa ndio yaliyokusukuma kuwa hivo hongera sana
 
Hivi vibinti vya sasa Usije ukajaribu kudanganyika na jinsi vinavyokazana kwenda kanisani, vinavyoimba na kusifu, kufunga na kuomba, au vinavyovalia kwa heshima my brother huo ni mtego.....!!


Mwanamke ambae yuko mentallity strong ni yule ambae hakazani kuprove that yeye ni mwanamke bora .....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…