Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Koment yako ipigwe lamination mkuuHivi vibinti vya sasa Usije ukajaribu kudanganyika na jinsi vinavyokazana kwenda kanisani, vinavyoimba na kusifu, kufunga na kuomba, au vinavyovalia kwa heshima my brother huo ni mtego.....!!
Mwanamke ambae yuko mentallity strong ni yule ambae hakazani kuprove that yeye ni mwanamke bora .....!!
Kwahio mfano wake za watu wakubwa waliopitiwa na engonga waume zao walikuwa hawana Pesa ,,Yaani hapa akili zetu zinatakiwa zifikirie kikubwa sanaMimi nafikiri kuwa mwanaume ukiwa na pesa hauwezi kudharauliwa na hivo viumbe.
So suluhisho ni moja tu.
Mkuu calm down hii hasira umekuja nayo ni kali mnoNawahusia vijana kwa sasa kuna changamoto nyingi sana katika ndoa na ukweli ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya wanawake kujaa viburi na kutokuwaeshimu wanaume wao.
KIJANA KAA MBALI NA BINTI ALIYE LELEWA BILA BABA na usipumbazwe na ulokole feki utakaokuwa kwa Mama yake kwa maana single mother wengi ni Malaya mbwa wanaojificha katika makanisa.
Narudia tena usithubutu kuoa binti aliyelelewa na single mother Ni swala la muda tu utajuta na wengi wao ni walevi na usikute hata wamesha Shea mwanaume na Mama zao!
HA!HA!HA kabisoo...Koment yako ipigwe lamination mkuu
Uneongea point lakini hitimisho lako ni hovyo. Tuseme umeonyesha changamoto bila suluhu. Mwanamke afanyeje kuonyesha ni bora zaidi ya kuprove ni mwanamke bora. Akae tu kama fala wakati wewe unamsoma. Obvious lazima aonyeshe ni mke bora.Hivi vibinti vya sasa Usije ukajaribu kudanganyika na jinsi vinavyokazana kwenda kanisani, vinavyoimba na kusifu, kufunga na kuomba, au vinavyovalia kwa heshima my brother huo ni mtego.....!!
Mwanamke ambae yuko mentallity strong ni yule ambae hakazani kuprove that yeye ni mwanamke bora .....!!
Wasanii wamewaharibu. Wengi ni followers wa waigizaji na celebrates. Wenzao wanapojipost wanakuwa ofisini. Liulize lenyewe linafanya kwa manufaa ya nani, hana jibuALAFU WANAWAKE WENGI WALIOZALIWA MIAKA YA 82-90KUENDELEA BAADHI YAO WAMEKUWA NA ULIMBUKENI WA MITANDAO WA HOVYO KAMA WATOTO WA ELFUMBILI.
Tena hivyo viimba mapambio vilokole vya mchongo ni viinyoka venye sura za binadamuHivi vibinti vya sasa Usije ukajaribu kudanganyika na jinsi vinavyokazana kwenda kanisani, vinavyoimba na kusifu, kufunga na kuomba, au vinavyovalia kwa heshima my brother huo ni mtego.....!!
Mwanamke ambae yuko mentallity strong ni yule ambae hakazani kuprove that yeye ni mwanamke bora .....!!
TuwagegedeKwa sauti ya yule yesu wa kwenye movie
"je na nyinyi wanaume mliolelewa bila baba mfanywe nini??"
Wewe ni mzito sana wa kuelewa hisia kwenye maandishi, nini maana ya mtego? Lazima ujue kuwasoma mana kuwagundua ni ngumu...!!Uneongea point lakini hitimisho lako ni hovyo. Tuseme umeonyesha changamoto bila suluhu. Mwanamke afanyeje kuonyesha ni bora zaidi ya kuprove ni mwanamke bora. Akae tu kama fala wakati wewe unamsoma. Obvious lazima aonyeshe ni mke bora.
Hatari sana , kwenye msafara wa Mamba kuna kenge wengi sana siku hizi.!!Tena hivyo viimba mapambio vilokole vya mchongo ni viinyoka venye sura za binadamu
vipi kuhusu tiGo?Nawahusia vijana kwa sasa kuna changamoto nyingi sana katika ndoa na ukweli ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya wanawake kujaa viburi na kutokuwaeshimu wanaume wao.
KIJANA KAA MBALI NA BINTI ALIYE LELEWA BILA BABA na usipumbazwe na ulokole feki utakaokuwa kwa Mama yake kwa maana single mother wengi ni Malaya mbwa wanaojificha katika makanisa.
Narudia tena usithubutu kuoa binti aliyelelewa na single mother Ni swala la muda tu utajuta na wengi wao ni walevi na usikute hata wamesha Shea mwanaume na Mama zao!
Nawahusia vijana kwa sasa kuna changamoto nyingi sana katika ndoa na ukweli ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya wanawake kujaa viburi na kutokuwaeshimu wanaume wao.
KIJANA KAA MBALI NA BINTI ALIYE LELEWA BILA BABA na usipumbazwe na ulokole feki utakaokuwa kwa Mama yake kwa maana single mother wengi ni Malaya mbwa wanaojificha katika makanisa.
Narudia tena usithubutu kuoa binti aliyelelewa na single mother Ni swala la muda tu utajuta na wengi wao ni walevi na usikute hata wamesha Shea mwanaume na Mama zao!
Ugegede wanaume? Dhambi zako hazisafishiki we pimbi....😹Tuwagegede
Zilishasafishwa kitamboooUgegede wanaume? Dhambi zako hazisafishiki we pimbi....😹
Well, inapaswa muanze kwanza kuwashangaa na kuwalaumu hao waliowaleteeni hayo mabadiliko ya kimfumo wa maisha ambayo yamewanyang'anya wanaume hiyo control(mind you men are no longer pulling the strings in our society) kiasi kwamba Sasa wameamua kukaa pembeni huku wakitake advantage ya mapungufu ya mfumo huo kuwa exploit wanawake.Tutaojuta ni wanawake maana miiili yetu inabeba huu uhai . Uharibifu wa jamii tutau-feel sisi wanawake wakati wanaume wakienjoy uharibifu huo since watakuwa wamepata weak-link.
Mwanaume amekuja duniani kucontrol, akishindwa kucontrol anakaa pembeni kurusha lawama. Kujihold-responsible ni kitu ambacho hatakaa aweze hadi siku yesu anarudi.
Binafsi Mwanaume ni kiumbe kinachonishangaza sana hapa duniani.
Jamii yetu imewaaminisha wanawake kwambaNa mbaya zaidi hawajioni kama ni viburi. Mfumo jike uliosimikwa duniani kote kwa sasa umewakalilisha kwamba kiburi na ligi ya kutunishiana msuli na mume huo ndio usawa wa kijinsia
And to date with boss or coworker is a crush tu sio issue.Jamii yetu imewaaminisha wanawake kwamba
-Akiwa na kiburi ndio kujiamini huko
-Akiwa mjuaji,mbishi na overconfident ndio kujelewa huko
-Akiwa anavaa nusu uchi, anafanya tu ngono kiholela na mwanaume yeyote anayejiskia eti ndio uhuru wenyewe huo tena wakamwambia your body your choice
Wallah bilai watalai wewe umeongea kitu unachokijua mno au ni mtaalam mkubwa sana wa mambo ya mahusiano ungekua karibu ningekupa hata buku aisee👍👍Ulichokiandika ni utafiti ambao ulishafanywa na wanasaikolojia. Mwanamke aliyelelewa na single mother watafiti wanasema wana changamoto zifuatazo kwa uchache:
1) Wanajiamini sana (overconfidence)
Kitu ambacho muda wote wanajiona wapo sahihi kwa kila wanachokisema na wanachokifanya. Tabia hii inawajengea wanakuwa wajuaji mnoo! Na tabia ya ujuaji mnamfanya ni mwanamke asiyemsikiliza mwanaume wake na ni tabia ambayo hata ukithubutu kumsahihisha hakubali kosa.
2) Hajui nafasi ya mwanaume ipi kwenye mahusiano
Kwa sababu kwenye malezi yake amekosa father figure haijui nafasi ya mwanaume ni ipi kwenye mahusiano. Hii inapelekea kutoweza kuthamini jitihada za mwenzake.
3)Anataka a-control kila kitu
Wataalamu wanasema kwa kuwa kila kitu alisimamia mama kwenye malezi hivyo kwa binti hudhani mwanamke ndivyo inavyompasa kuishi kwenye maisha yake. Hivyo binti huyu akiwa kwenye mahusiano naye atataka kum control mwanaume yaani awe juu yake. Yeye ndiye aamue kila kitu na ndiye mwenye kauli ya mwisho.
4) Ana ujike udume
---------------------
Aina hii ya mwanamke huwa hafahamu nafasi yake ni ipi! Kukuheshimu na kukupatia nafasi yako kama mwanaume ni ngumu. Ili uweze kumdhibiti ni kwa namna mbili: Mosi, kupitia kwa mama yake ikiwa kama mama yake ni muelewa kwani aina hii ya wanawake wanawasikiliza sana mama zao, mama yake ndiye kila kitu. Kwa msingi huo ufahamu ya kwamba atakayekuwa anafanya maamuzi kwenye ndoa yako ni mama yake.
Pili, awe amesoma masomo ya dini. Hii itasaidia kwa kumuogopesha kuwa anayoyafanya anamuasi Mungu wake. Kwa kuwa dini inamtaka mwanamke amheshimu mwanaume wake inamfanya kwa kiasi fulani kumfanya afakirie yale yanayomsukuma kutokana na malezi aliyoyaishi.
Mbaya zaidi hawa wanawake huwa hawafahamu kama wana matatizo mpaka yawakute mambo mengi ndipo atakapojihisi kama ana dosari.
Na hata familia ambazo mwanamke ndiye mwenye sauti sana kuliko mwanaume ndani ya ndoa huwa zinatoa mwanamke wa namna hii! Kwa sababu kiigizo cha mwanamke ni mama yake. Ikiwa mama kwenye familia ni kila kitu fahamu ya kwamba utatoa aina hii ya mwanao (binti) kwenye jamii.
Nukta ya nyongezea, aina hii ya mwanamke huwa anamsikiliza sana mama yake na rafiki zake kuliko wewe mwanaume wake.