Vijana oeni sisi wanawake ni watu wema na Mungu ameagiza muoe. Acheni kufanya zinaa

Kuna content nimeiona bbc watu wanaishi km wapenzi and wengine ndoa kabisa lkn hawataki kua na watoto wanataka kufanya yao and no children,tena dada analalamika kabisa kua kuzaa kuna complications ambazo yy hataki kabisa kuzipata and wana chama chao kabisa dunia inaenda kubaya sn and possible wapo pia hapa tz
 
Comments ya mwezi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…