Vijana walioshindwa kuoa kisa mahari sasa wamelipiwa ili waweze kuoa, wengi wao watoka Dar es Salaam

Kuoa sio sababu ya kufa masikini au kutooa na kuishi pekee yako ikawa sababu ya kuwa tajiri maisha haya fomla leo masikini waleo ndie tajiri wakesho tajiri waleo ndie,,,, mambo haya yako kiiimani zaidi
Hatujasema kuoa kutakufanya ufie masikini wala tajiri
Tunachojaribu kusema hapa ni kwamba, kama kijana kakosa mahari ya kulipa (Tena kijana wa kiislamu ambako mahari haifiki hata 2M)
JE ataweza kuhudumia familia na ikakua kwenye ustawi!
Haya mambo hayahitaji hata nguvu kubwa kubishana
Umesema kwamba anaweza kuwa anaingiza 15k kwa siku, kama hawezi kuweka akiba ikafikia Kiasi Cha kwenda kutoa mahari basi hata kaa akioa ataongeza majukumu na hvyo hyo 15k itakua si kitu kwake (labda kama atabahatika kuoa mwanamke mpambanaji au mwenye kazi)
Just assume, unaingiza 15k kwa siku, unatakiwa kulipa Kodi, ununue chakula, ulipe bills, ununue mahitaji mengine na baada ya miaka kadhaa uanze kuhudumia watoto!!
Hata ww inakuja kweli?
 
Wewe ndie mpumbavu unaepinga jambo unalolijua kuwa lipo
Mkuu...mbona kama una hasira snaa
Au na ww ni miongoni mwa vijana waliolipiwa mahari?
Kama ni hvyo, basi una safari ndefu sana kimafanikio [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Umesema vizuri kabsa
Kama mtu ana uwezo wa kuharibu laki 5 kwa wiki, kuna umuhimu Gani wa kumlipia mahari? Unataka kuniambia huyu mtu kakosa milioni 3 za mahari na harusi ndogo?
 
Ushamba wa maisha sio tusi,tena wewe sio mshamba tu bali ni mpumbavu sababu unapinga mambo ambayo yapo katika jamii,kijana kulipiwa mahari na mlezi wake ajabu nini?

Alikwambia kuwa ikilipiwa mahari utakufa masikini nani au alie kwamba kwamba ukijilipia mahari tayali wewe umeyaweza maisha nani?
 
[emoji23][emoji23]
Haya buana
Tunashukuru tumeongeza mjinga Mmoja jf
 
Tatizo lako unajizima data kijana kulipiwa mahari siajabu dunia jambo hili halikuanza leo kila mtu atamuandaa mtoto wake awezavio habari ya kesho aijuae mungu ndio maana kuna wengi walisoma pamoja 1 akafeli akaludi nyumbani mwengine akaenda chuo kikuu lakini alipo ludi alikuta mwenzie yuko vizuli akamuajiri kulipiwa mahari sio kigezo cha mtu kuwa masikini au kujiripia kikawa kigezo cha kuwa tajiri milango ya utajiri umasikini yote hiko wazi kwa muumba anampa amtakaye
 
Tatizo lako ufahamu wako uko chini mfano mahari sh 1000,000,muoaji hana lakini anayo kazi kila siku ya kumpatia sh 15,000,za kutumia na mkewe kukusanya pesa sio kazi rahisi baba
Kwanza kuoa si swala la kijana mwenyewe ni swala la kijamii. Mahari na posa ni mzigo wa jamii wakati akiwa anataka kuoa.

Koo lazima imhangaikie kijana aoe mengine huwa ni rahisi baada ya hapo. So huu uamuzi wa hawa mamuft ni mzuri sana na wamefanya kazi ambayo jamii ya sasa inafeli sana kuifanya na ni aibu na fedheha kubwa.
 
Vijana acheni mawazo ya ovyo na kupeana moyo hapa.

Kijana ukitaka mke aulali na kuamka ukaenda barabarani ukakamata mwanamke na kupeleka kwenu/kwako.

Ni lazima wazo linakujia kulingana na hatua ya maisha yako ulipofikia na baadaye inakupeleka kuona hitaji la kuwa na mke, hapo ndipo mawazo yanachakata vitu vingi sana, Uchumba, NDOA, Mke, Watoto, Assets nk.

Kijana lazima upambane ukusanye pesa kabla ya kuwa na mke, ndiyo maana kwenye kikao cha harusi unaulizwa wewe una nini ili tuanzie hapo.

Unapowaza hayo unarudi mwanzo sasa 'PESA', kama huna kazi au unayo ufanye nini ili kufikia goal lako. Hii ni kawqida sana kwa kijana yeyote na kama upo hukuwa na huna mawazo ya aina hii basi nenda kapewe mke alafu sepa naye.

Kijana huwezi kupewa mke kaka huna mipango endeleavu ya kimaisha, utambwaga tu hapo mbele huyo binti, kijana lazima uwe na njia yako, kijana lazima uwe na ujasiri, self confidence in social, kijana unapopewa ujasiri na taasisi huyo mke unategemea atakuwa anakuangaliaje?.
 
Huko kwenu ni mkoa gani amboako wazazi hawa walipiii mahari watoto wao?pia kuwa muelewa hawa vijana wamekosa mahari sio chakula
 
Tena hao ndiyo wako wengi
Upumbafu ni kujifanya kupinga jambo unalo jua kuwa lipo hata kwenye familia yako,mashi ya watzania au afirika mashariki wengi wetu tanaaza maisha tukiwa mke na mume kwenye chumba 1 tena hakina umeme wa la sakafu chini wengi wetu hata uanzia kulalia mkeka hata mabox au nyumba za nyasi au tembe lakini baadae maisha ufunguka sababu agawae risiki ni manani sio kiumbe mbora wetu ni yule anae kubali maisha yake mpumbavu ni yule alie fanikiwa kisha akasahau aliko toka
 
Ujinga ni mzigo ndio kusema wewe ujawai kuona kijana akilipwa mahari?au huna kwenu?umekulia mitaani ndio maana unashangaa
We mshukuru aliye kulipia acha kubwela hapa. kiasi umelemazwa akili mpaka unabisha vitu vya wazi kabisaa..
 
Mbona ndicho anachosema yeye???!!!
 
Maisha yanajulikana ndio lakini mzee mkiwa wawili atleast 10k inatosha lakini subiri ufike wakati wa uzazi ndo utaona changamoto, kingine hivi mke akilipiwa mali ya mwingine tofauti na muoaji kutakua na heshima kweli hapo?
Hili suala la heshima kwa sababu ya kulipiwa mahari nashindwa kuelewa. Unataka kusema hakuna wanawake ambao wamelipiwa mahari na bado wanakosa heshima kwa waume zao?
 
Majamaa mapumbavu haya, always misaada yao huwa yakipumbavu tu, kuna ile misaada sijui wanaita sadaka wanachinja mambuzi+mang'ombe kulisha watu badala ama kama wana Uchukia umasikin kwann wasigawe mitaji kwa wahitaji? Ama hizo pesa za kuwalipia vijana wapumbavu wapate ndoa kwann wasiwape wazifanyie maendeleo ili wasinyanyase mabinti za watu kwa njaa ktk ndoa?

Kuna mijanaume kabisa na ndevu zao imeomba kusaidiwa, Aisee wanaume wa hivyo hawanaga mchango wowote kwa jamii wala kwa taifa, hii misaada ya kipuuzi ipingwe na serikali inazalisha vijana wavivu na tegemezi,

Wavaa kobazi mnaharibu jamii
 
Unajikuza tu huko kwenu wapo wengi tu wanaoishi kwenye chumba 1 cha 25,000/ hata nyumba za nyasi hata ukoowako wapo kama unabisha nitajie kabila lako na kijiji chako tuone kama hawapo
Hukumuela nadhani. Maana yake ni kuwa siyo wanawake wengi wanatolewa mahari kubwa. Kama mwanamke anaweza kuishi na mume wake kwenye chumba kimoja cha 25k unategemea atakuwa ameolewa kwa mahari kubwa? Say ya milioni 1??
 
Kwako milioni 50 unaona nyingi kama mchanga wa ufukwe wa coco lakini Makonde alimwachia kajala gali ya thamani ya m 500 bule
Kuna Makonde wangapi sasa kwenye jamii wanaoweza kufanya hivyo??!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…