impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
Huku hata kama tuna changamoto nyingi lakini ni nafuu kwenye kupanga nini nifanye kwa mda sahihiyah kweli mkuu kuajiriwa ni kutumikia mtu unawaza ukitumbuliwa ni waoi utaenda incase hauna plan b , plus kuna frictional unemployment utapitia hadi utapopata kazi , ni heri kujiongeza mapema tu mkuu nakuunga mkono
Nashukuru Mungu kutokuwa mtumishi maana maana aina ya maisha ya kupenda kuwa huru ktk maamuzi