Its easy to identify a virgin girl, ila kwa mwanaume π€π€π€Sleeping with many partners changes the brain circuitry, compromising the ability to bond with someone else!!
This is for both sexes!
A virgin woman deserves a virgin man who is still capable of forming a great bond with her and not have a man who just sees her as a trophy while hes out to quench his insatiable desires at the expense of his inexperienced wife!!
Hakika mkuuIts easy to identify a virgin girl, ila kwa mwanaume [emoji848][emoji848][emoji848]
"Tunakuja huko mitaan Bado tuna print T-shirts na Mabango.''Ila hawa jamaa wa Kataa Ndoa, Ndoa ni Utapeli'' wakihamia kwenye social medias zingine na mtaani wataharibu mindset ya vijana wengi ambao bado hawajaoa.
Mtu unaweza kuona Ndoa ni tatizo kwako lakini kwa wenzio ni Faraja kuu.
Na huu ndio ukweli. Watu ambao wamekutana na shuruba ya kutosha, ili waweze kudumu kwenye mahusiano na kuwa na furaha, wanahitaji mtu ambae hana jeraha, mwenye kuweza kuvumilia sana. Kinyume na hapo, ndio watakuja na hizi kampeniukiona mtu kadumu naye ujue ni mtu kajitoa mganga, a self sacrificing love,
she/he atapata vipindi vifupi sana vya furahia na huyo mtu but mostly itakuwa ni mateso ya kisaikolojia, kihisia na hata kimwili
Wametawaliwa sana na huzuni. Wao wanaamini hawahitaji ndoa, maana ni utapeli, ila kiuhalisia wanahitaji upendo na faraja, maana ni vitu walivyokosaMfano mzuri ni huyu muasisi wa hiyo movement
Nimeyakumbuka maisha yangu ya uyatima; Uyatima ni noma sana ndugu zangu
Jana (Ijumaa) nikiwa kazini Kuna saa nilikosa Kazi (zilikua zimeisha). Nikawazaa, ghafla mawazo ya maisha ya UYATIMA niliyopitia yalinijia. Ni ndefu sanaa we somaa.! Japo siwezi kuyaandika yotee, maana UYATIMA wangu ulinipitisha kwenye makubwa sanaa..!! Nilizaliwa kwenye familia ya watoto 3...www.jamiiforums.com
Tupo nao kila sehemu. Kitu ambacho inabidi ufahamu, u can't fight against nature alaf ushinde. Soon Or later wataachana na hiyo movementKwa kweli wabaki humu humuu...hiyo movement ikihamiaa social media nyingine..Ni majangaa aisee
Ndiyo Ndiyo"Tunakuja huko mitaan Bado tuna print T-shirts na Mabango.
Subiri zikamilike"
Aliskika mwenyekiti wetu dronedrake π€
Ndio watoto wa siku hizi utandawazi unawamalizaDogo muhuniπ
Utumie wiki nzima alaf akisafiri ghafla? ,π π π Just kiddingBikra hua na raha yake km ukienda kwa protocol...!!wengi huenda kwa pupa...!!unamuondoa mtu hofu kidogo kidogo...inabd kama una time utumie hata wiki...!!mimi nlkuwa sijui ila kiukweli yule girl mpk leo anatuma zawad...!!
Huyo dronedrake nimesikia mwanzoni mwakani anaoa"Tunakuja huko mitaan Bado tuna print T-shirts na Mabango.
Subiri zikamilike"
Aliskika mwenyekiti wetu dronedrake π€
hahahaha, ili nigundue nini hasaHuyo dronedrake nimesikia mwanzoni mwakani anaoa
Kameshaona michezo michafu na kwa mtoto n mbaya zaidi kama hajakanywa, nguvu ya kujizuia haipo kwa watotoHako kavulana katakuwa kahuni sana π π π
Hakika, au wangekuwa wana influence hapa nchini kama kina Lissu, Mbowe na kina Oscar Oscar tayari ni tatizo...!Kwa kweli wabaki humu humuu...hiyo movement ikihamiaa social media nyingine..Ni majangaa aisee
Nimecopy mahaliπ€
Kuna litmus tests lakini ndo hivyo, not reliable.Its easy to identify a virgin girl, ila kwa mwanaume π€π€π€