Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
- Thread starter
- #81
UlichoandikaRejea hitimisho langu. Thread heading yako, mwishooooni ndio tunaiona ila nimeijibu, na nimejibu hlo swala la bikr
ww, ni tofauti kabisa na nilivyoizungumzia Mimi. Laiti ungekuwa umeelewa andiko langu, basi usingesema hivi. Kwamba kuacha au kuachwa, vinahusiana nn na bikra? Soma tena post namba 1
Boomer age bulge🚮.
Maswala ya bikra yalishapitwa na wakati millenials sisi si wakoloni. Uwe nayo usiwe nayo. Unaliwa mzigo ukiznguliwa unaachwa. BTTS. Mwanamke atolewe bikra anaacha au anaachwa, we don’t care .