Vijana wasasa, bikra tunazichukulia tofauti sana kulinganisha na enzi za wazee wetu

Vijana wasasa, bikra tunazichukulia tofauti sana kulinganisha na enzi za wazee wetu

Enzi za wazazi wetu walikuwa wanahusudu sana binti aolewe akiwa na bikra yake, au kijana aoe binti mwenye bikra, na hii sio kwasababu walitaka kijana afungue njia wa Kwanza, no, lengo ilikuwa ni kijana afungue moyo wa binti akiwa wa kwanza. Kuna kampeni kipindi cha nyuma ilikuwa inaendeshwa humu JF, kwamba kama sio bikra usioe, coordinators wa hii kampeni walikuwa wanadhani binti ukimtoa bikra, basi hawezi kukusaliti, huo ni uongo, wapo wengi waliotolewa bikra na bado waliweza kusaliti. Ila advantage ya mwanamke uliyemtoa bikra, moyo wake unakuwa hauna majeraha ya mapenzi, hauna vinyongo wala visasi.
Wanaolalamika kutoona bikra ndiyo waharibifu wa hizo bikra kwa sasa, matokeo yake zimetoweka inabidi zipatikane za artifitial
 
Wanaolalamika kutoona bikra ndiyo waharibifu wa hizo bikra kwa sasa, matokeo yake zimetoweka inabidi zipatikane za artifitial
Artificial bikra haziwezi kuserve the purpose of natural virginity
 
Boomer age bulge🚮.
Maswala ya bikra yalishapitwa na wakati millenials sisi si wakoloni. Uwe nayo usiwe nayo. Unaliwa mzigo ukiznguliwa unaachwa. BTTS. Mwanamke atolewe bikra anaacha au anaachwa, we don’t care .
Na tutachukulia kawaida saaana.
Wazee walikaza ubongo, walikua too much know, na walpenda mambo yao yaonekana too official.hawa wazee pia hadi leo wanatufanya ili ufanikiwe lazma usome sana. Of which after time pia itapotea.
Wazungu wao wana sweet sixteen. Kawe bikra kasiwe inakuintroduce kuwa hostess, ajue muda wwte binti anaweza gongwa, na haijalishi yeye ni bikra, ila inaitwa amekua matured.
Rejea sentensinyangu ya kwanza imejibu heading.
Maelezo yako ni marefu, lakini yapo totally wrong na nilichoandika Mimi. Nahisi ww umesoma heading, then ukacomment jibu lako, ungepata wasaa wa kusoma contents za nilichoandika, nahisi usinge comment hivi
 
Sahihi kabisa Mkuu.
Mkongwe Akaza na Bikra na huku vijana wa Leo wanaona Wote Wana watoto, BTTS yani GG .
Tapeli na Mzurumati nani mkali.
Hayuko sahihi kama ulivyomwambia. Maana alichoongelea ni tofauti kabisa na nilichoandika Mimi. Comment yake imebase kwenye heading ya nilichoandika tu
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 nazikataa mbususu, nawaoneshea kopo la BabyCare
wanaenda sambaza Gono kwa wengine huko siyo kwangu
Huna ubavu huo, unless uwe na tatizo 😅😅
 
Bikra kitaa zimejaa tele,Cha ajabu tunaoolewa ni single moms.....Mungu bariki wanaume wote Tz
Matumizi ya bikra siku hizi mpaka mtu apewe masharti na mganga 😅😅😅
 
Hakuna faida mkuu, unajichosha tu 😅
subiri nikutajie sasa:

1. Nakojoa mda wowote ule bila kupangiwa, asubuhi, mchana, jioni na usiku
2. Naokoa Pesa
3. Gono na Kaswende nazisikia kwenye bomba

Kwenye Ndoa ukizipata hizo faida niite mbwa
 
subiri nikutajie sasa:

1. Nakojoa mda wowote ule bila kupangiwa, asubuhi, mchana, jioni na usiku
2. Naokoa Pesa
3. Gono na Kaswende nazisikia kwenye bomba

Kwenye Ndoa ukizipata hizo faida niite mbwa
Na ndo faida za ndoa izo 😂😂
 
Na ndo faida za ndoa izo 😂😂
Thubutu, labda kinyume chake

1. Mwendo wa mzungu wa nne
2. Uyo parasite ni mwendo wa kufuja pesa zako tu
3. Ndiyo wanaoongoza kumeza ARV, mme kampa Gridi mke au mke kampa Gridi mme
 
Sikuhiz mapenzi Yamekuwa sio furaha Tena aisee ni kuviziana tu😀
 
Maelezo yako ni marefu, lakini yapo totally wrong na nilichoandika Mimi. Nahisi ww umesoma heading, then ukacomment jibu lako, ungepata wasaa wa kusoma contents za nilichoandika, nahisi usinge comment hivi
Rejea hitimisho langu. Thread heading yako, mwishooooni ndio tunaiona ila nimeijibu, na nimejibu hlo swala la bikra
 
Back
Top Bottom