Vijana wasasa, bikra tunazichukulia tofauti sana kulinganisha na enzi za wazee wetu

Wanaolalamika kutoona bikra ndiyo waharibifu wa hizo bikra kwa sasa, matokeo yake zimetoweka inabidi zipatikane za artifitial
 
Wanaolalamika kutoona bikra ndiyo waharibifu wa hizo bikra kwa sasa, matokeo yake zimetoweka inabidi zipatikane za artifitial
Artificial bikra haziwezi kuserve the purpose of natural virginity
 
Maelezo yako ni marefu, lakini yapo totally wrong na nilichoandika Mimi. Nahisi ww umesoma heading, then ukacomment jibu lako, ungepata wasaa wa kusoma contents za nilichoandika, nahisi usinge comment hivi
 
Sahihi kabisa Mkuu.
Mkongwe Akaza na Bikra na huku vijana wa Leo wanaona Wote Wana watoto, BTTS yani GG .
Tapeli na Mzurumati nani mkali.
Hayuko sahihi kama ulivyomwambia. Maana alichoongelea ni tofauti kabisa na nilichoandika Mimi. Comment yake imebase kwenye heading ya nilichoandika tu
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 nazikataa mbususu, nawaoneshea kopo la BabyCare
wanaenda sambaza Gono kwa wengine huko siyo kwangu
Huna ubavu huo, unless uwe na tatizo 😅😅
 
kwa nini isiwezekane ? mwenzako kaendekeza genye kalimwa 6m na Ngoma juu
Hata wanaopoga puli, wapo ambao zaga inafeli mazima. Ajari kazini zipo 😅😅😅
 
Bikra kitaa zimejaa tele,Cha ajabu tunaoolewa ni single moms.....Mungu bariki wanaume wote Tz
Matumizi ya bikra siku hizi mpaka mtu apewe masharti na mganga 😅😅😅
 
Hakuna faida mkuu, unajichosha tu 😅
subiri nikutajie sasa:

1. Nakojoa mda wowote ule bila kupangiwa, asubuhi, mchana, jioni na usiku
2. Naokoa Pesa
3. Gono na Kaswende nazisikia kwenye bomba

Kwenye Ndoa ukizipata hizo faida niite mbwa
 
subiri nikutajie sasa:

1. Nakojoa mda wowote ule bila kupangiwa, asubuhi, mchana, jioni na usiku
2. Naokoa Pesa
3. Gono na Kaswende nazisikia kwenye bomba

Kwenye Ndoa ukizipata hizo faida niite mbwa
Na ndo faida za ndoa izo 😂😂
 
Na ndo faida za ndoa izo 😂😂
Thubutu, labda kinyume chake

1. Mwendo wa mzungu wa nne
2. Uyo parasite ni mwendo wa kufuja pesa zako tu
3. Ndiyo wanaoongoza kumeza ARV, mme kampa Gridi mke au mke kampa Gridi mme
 
Thubutu, labda kinyume chake

1. Mwendo wa mzungu wa nne
2. Uyo parasite ni mwendo wa kufuja pesa zako tu
3. Ndiyo wanaoongoza kumeza ARV, mme kampa Gridi mke au mke kampa Gridi mme
Hakuna kitu kama icho.
 
Sikuhiz mapenzi Yamekuwa sio furaha Tena aisee ni kuviziana tu😀
 
Maelezo yako ni marefu, lakini yapo totally wrong na nilichoandika Mimi. Nahisi ww umesoma heading, then ukacomment jibu lako, ungepata wasaa wa kusoma contents za nilichoandika, nahisi usinge comment hivi
Rejea hitimisho langu. Thread heading yako, mwishooooni ndio tunaiona ila nimeijibu, na nimejibu hlo swala la bikra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…