Vijana watajitokeza kwa wingi sana kumpigia kura Rais Samia uchaguzi Ujao, Ni uchaguzi utakaoweka Historia ya vijana kujitokeza kwa wingi kupiga kura

Vijana watajitokeza kwa wingi sana kumpigia kura Rais Samia uchaguzi Ujao, Ni uchaguzi utakaoweka Historia ya vijana kujitokeza kwa wingi kupiga kura

Nani k
Matengenezo madogo madogo zaidi ya miezi mitatu! Uza ubongo huo bro, maana hizo hela za propaganda zinakuchoresha.
Nani kakwambia Mimi nalipwa maana unahisi sote tunalipwa Kama wewe unavyolipwa kuja humu kupinga pinga kila kitu bila hoja
 
Hii Nchi Ngumu sana

Ok
Ndugu zangu kwa miaka Okey angi na kwa kipindi kirefu na kwa chaguzi nyingi vijana wa kitanzania wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi kidogo Sana kupiga kura na kushiriki katika uchaguzi, Japo wakati mwingine wamekuwa wahudhuriaji Wazuri wa mikutano ya vyama vya siasa lakini wamekuwa wa mwisho linapokuja suala la kujitokeza siku ya kupiga kura.

Hii Ni kutokana na kukatishwa Tamaa na baadhi ya watu au viongozi waliokuwa wanawaamini Mara wanapokuwa wamepata nafasi za uongozi, vijana wamekuwa wakiona Ni Kama wanatumiwa tu pasipo kupata faida yoyote, vijana wamekuwa wanaona ni Kama hawapewi kipaombele hasa suala la ajira na mikopo, vijana wamekuwa wakiona ni Kama hata wakijaribu nafasi za uongozi hawachaguliwi kutokana na kuwa na uwezo mdogo wa kifedha ambazo baadhi ya wajumbe Ni Kama wamekuwa wakiangalia kina Cha mfuko wa pesa kumpa mtu Kura

Jambo hili limekuwa likiwakatisha Tamaa vijana, kuwavunja moyo,kuwa fanya waichukie siasa, kuwachukia baadhi ya wanasiasa wanaokuwa wakitoa lugha zinazo chukuliwa Kama dharau kwa vijana hasa wanapoona mtoaji wa kauli katika maisha yake yote hajawahi kujiajiri Wala kuwa machinga Wala kuwa muuza karanga Wala kushika jembe Wala kuendesha bodaboda Wala kulima matikiti maji Wala kuwa na biashara ya aina yoyote Ile zaidi ya kuhudumiwa kwa Kodi za Watanzania wavuja jasho ambao hawana uhakika wa kupata hata Milo mitatu kwa siku Wala kuelewa Ni vipi watalipa Kodi ya nyumba.

Lakini Tangia Rais Samia aapishwe na kuwa Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni Kama vijana wamechanua kimatumaini, wamepata Imani ya kuwa Sasa ndoto zao zitaweza kutimia, Sasa vijana wanajionaa wanaweza kugombea na kuwa viongozi hata Kama hawana fedha ilimradi tu wawe na sifa na vigezo vya kiuongozi na kukubalika na kuaminika na wapiga kura, Sasa vijana Wana Ari mpya na nguvu mpya ya kuijenga nchi yao, Sasa vijana na kila kijana anaona kuwa inawezekana kuinuka kiuchumi bila tatizo lolote,

Sasa vijana wanaona ukiwa hata na kiasi kidogo Cha mtaji unaweza ukafungua biashara na ikakua na kustawi na kuchangia katika ujenzi wa nchi yao, Sasa vijana wanaona kuwa keki ya Taifa inawafikia walipo, Sasa vijana wanaona kuwa serikali Ni yao, inawatumikia wao na inawapa kipaombele.

wanaona serikali yao inavyopambana kuweka mazingira wezeshi kwao, wanaona namna serikali yao inavyotaka kuhakikisha kuwa halmashauri zinatoa mikopo kwao pale wanapokuwa wamefuata taratibu na kukidhi vigezo, wanaona namna ambavyo hakuna ubaguzi katika kupata ajira au fursa ya aina yoyote Ile ya kiuchumi, wanaona namna serikali yao inavyojitahidi kutengeneza fursa za ajira kila Siku kupitia miradi mbalimbali Inayochipua kila siku

Rais Samia kawasha Taa ya matumaini katika mioyo ya Vijana wa kitanzania, Kaonyesha njia ya kufika katika mafanikio, kaonyesha upendo kwa vijana wake ambao hupenda kuwaita WANANGU kwa namna anavyo wapenda na kuwajari vijana wa kitanzania,

Hii imepelekea vijana kujiandaa kwa Hamu kubwa Sana kuja kumpigia kura nyingi Sana za ndio Rais Samia ili aendelee kuwatumikia vijana, ili aendelee kuwapa neema na fursa za kiuchumi maana vijana wameona kuwa Rais Samia Ni kiongozi aliyeonyesha dhamira ya dhati katika kuwabeba vijana na kuwakuza na kuwastawisha kiuchumi, Rais Samia ameonyesha Dhamira yake ya kuona fursa yoyote inayopatikana inakwenda kuwagusa kwanza vijana na kuwanufaisha

Rais Samia anahitaji kuona vijana wanajitegemea kiuchumi na kuwa na uwezo wa kujihudumia na kuwasaidia wazee wao wanaohitaji msaada wa kusaidiwa na kulelewa, Rais Samia Ni kipenzi Cha vijana ambaye amepelekea uchaguzi ujao kuwa mwepesi Sana kwake na kwa CCM kwa kuwa vijana wameamua kumpigia kura na kumuunga mkono

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Okey anyway

Let wait time is our greatest asset to tell us
 
Nani k
Nani kakwambia Mimi nalipwa maana unahisi sote tunalipwa Kama wewe unavyolipwa kuja humu kupinga pinga kila kitu bila hoja

Ni kweli sio kila mtu analipwa kama mimi, ndio maana uko hapa jukwaani tokea mwaka huu kusifia kila kitu kinachotokana na kodi za wanaume.
 
Ni kweli sio kila mtu analipwa kama mimi, ndio maana uko hapa jukwaani tokea mwaka huu kusifia kila kitu kinachotokana na kodi za wanaume.
Acha ubaguzi wa kijinsia wewe, kwa hiyo wanawake hawalipi Kodi? Usipofushwe na mawazo ya kibaguzi kwa Tofauti za kisiasa tu, utajikuta unawabagua na kuwadharau Hadi wazazi wako kisa tu hawakubaliana na wewe Kama ulivyo fanya hapa kumbagua Hadi mama yako ambaye Naye Ni mwanamke ambaye Mimi Namheshimu hata Kama simfahamu japo wewe umemdharau Hadi yeye
 
Acha ubaguzi wa kijinsia wewe, kwa hiyo wanawake hawalipi Kodi? Usipofushwe na mawazo ya kibaguzi kwa Tofauti za kisiasa tu, utajikuta unawabagua na kuwadharau Hadi wazazi wako kisa tu hawakubaliana na wewe Kama ulivyo fanya hapa kumbagua Hadi mama yako ambaye Naye Ni mwanamke ambaye Mimi Namheshimu hata Kama simfahamu japo wewe umemdharau Hadi yeye

Narudia tena, hizo mnazosifia ni kodi za wanaume, acheni kuleta propaganda kwenye kodi zetu. Hata wazungu waliweka miundombinu na hakuna mtu aliwasifia.
 
Narudia tena, hizo mnazosifia ni kodi za wanaume, acheni kuleta propaganda kwenye kodi zetu. Hata wazungu waliweka miundombinu na hakuna mtu aliwasifia.
Tutaendelea kumsifu na kumpongeza Rais wetu mpendwa kwa kazi nzuri anayoifanya katika kututumikia watanzania bila ubaguzi wowote ule na huyu ndio chaguo letu watanzania
 
Tutaendelea kumsifu na kumpongeza Rais wetu mpendwa kwa kazi nzuri anayoifanya katika kututumikia watanzania bila ubaguzi wowote ule na huyu ndio chaguo letu watanzania

Msifie ww maana kakutoa kimaisha, sisi mahustler hatuna muda wa kumsifia yoyote anayefanya wajibu wake tena kwa kiwango duni.
 
Msifie ww maana kakutoa kimaisha, sisi mahustler hatuna muda wa kumsifia yoyote anayefanya wajibu wake tena kwa kiwango duni.
Kazi anazozifanya mh Rais za kugusa maisha yetu Ndio Zinazofanya tumsifu Sana mh Rais wetu mpendwa mama Samia
 
Nipe connection namimi nipost nilipwe mkuu, mtaani hakueleweki.
 
Na kama Vijana wanataka waendelee kupata ajira Badi wamchague mama 2025 ndio ana uchungu na wanawe ila wakijiroga na kuchagua wale wapuuzi wenye excuses lukuki waliacha kuajiri kwa visingizio vya sgr na bwawa watajua hawajui👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221022-185115.png
    Screenshot_20221022-185115.png
    131.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221022-184029.png
    Screenshot_20221022-184029.png
    182.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220930-112338.png
    Screenshot_20220930-112338.png
    97.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221013-151351.png
    Screenshot_20221013-151351.png
    228.2 KB · Views: 1
Kazi anazozifanya mh Rais za kugusa maisha yetu Ndio Zinazofanya tumsifu Sana mh Rais wetu mpendwa mama Samia

Mimi naguswa na kodi yangu sio msimamizi wa kodi yangu anayepika data. Ww ndio unaona rais anakufanyia hisani, hivyo lazima umsifie ili hizi hela za kumpamba zisiende bure.
 
Kwahizi ngojera zako huenda upo Karibu na huyu Mtawala...

Ushauri badala ya kutumia muda mwingi kusifia na kujivika kilemba cha Ukoka ni bora mkaumiza vichwa jinsi gani mnaweza kurudisha mambo kwenye reli as ninachokiona huku kitaa Things are Falling Apart
 
Apo umeongea
Chagueni tuu wazee wa madaraja wasiojali welfare mtaona moto..

In fact Mama amewajaki Sana Vijana awamu yake ni vile tuu hawajui kuchangamkia fursa..

Kuanzia kwenye kilimo,ufugaji na biashara pamoja na wamama ila wale wengine walikuwa wanaimba sgr sijui mabeberu and such upuuzi..
 
Ndugu zangu kwa miaka mingi na kwa kipindi kirefu na kwa chaguzi nyingi vijana wa kitanzania wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi kidogo Sana kupiga kura na kushiriki katika uchaguzi, Japo wakati mwingine wamekuwa wahudhuriaji Wazuri wa mikutano ya vyama vya siasa lakini wamekuwa wa mwisho linapokuja suala la kujitokeza siku ya kupiga kura.

Hii Ni kutokana na kukatishwa Tamaa na baadhi ya watu au viongozi waliokuwa wanawaamini Mara wanapokuwa wamepata nafasi za uongozi, vijana wamekuwa wakiona Ni Kama wanatumiwa tu pasipo kupata faida yoyote, vijana wamekuwa wanaona ni Kama hawapewi kipaombele hasa suala la ajira na mikopo, vijana wamekuwa wakiona ni Kama hata wakijaribu nafasi za uongozi hawachaguliwi kutokana na kuwa na uwezo mdogo wa kifedha ambazo baadhi ya wajumbe Ni Kama wamekuwa wakiangalia kina Cha mfuko wa pesa kumpa mtu Kura

Jambo hili limekuwa likiwakatisha Tamaa vijana, kuwavunja moyo,kuwa fanya waichukie siasa, kuwachukia baadhi ya wanasiasa wanaokuwa wakitoa lugha zinazo chukuliwa Kama dharau kwa vijana hasa wanapoona mtoaji wa kauli katika maisha yake yote hajawahi kujiajiri Wala kuwa machinga Wala kuwa muuza karanga Wala kushika jembe Wala kuendesha bodaboda Wala kulima matikiti maji Wala kuwa na biashara ya aina yoyote Ile zaidi ya kuhudumiwa kwa Kodi za Watanzania wavuja jasho ambao hawana uhakika wa kupata hata Milo mitatu kwa siku Wala kuelewa Ni vipi watalipa Kodi ya nyumba.

Lakini Tangia Rais Samia aapishwe na kuwa Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni Kama vijana wamechanua kimatumaini, wamepata Imani ya kuwa Sasa ndoto zao zitaweza kutimia, Sasa vijana wanajionaa wanaweza kugombea na kuwa viongozi hata Kama hawana fedha ilimradi tu wawe na sifa na vigezo vya kiuongozi na kukubalika na kuaminika na wapiga kura, Sasa vijana Wana Ari mpya na nguvu mpya ya kuijenga nchi yao, Sasa vijana na kila kijana anaona kuwa inawezekana kuinuka kiuchumi bila tatizo lolote,

Sasa vijana wanaona ukiwa hata na kiasi kidogo Cha mtaji unaweza ukafungua biashara na ikakua na kustawi na kuchangia katika ujenzi wa nchi yao, Sasa vijana wanaona kuwa keki ya Taifa inawafikia walipo, Sasa vijana wanaona kuwa serikali Ni yao, inawatumikia wao na inawapa kipaombele.

wanaona serikali yao inavyopambana kuweka mazingira wezeshi kwao, wanaona namna serikali yao inavyotaka kuhakikisha kuwa halmashauri zinatoa mikopo kwao pale wanapokuwa wamefuata taratibu na kukidhi vigezo, wanaona namna ambavyo hakuna ubaguzi katika kupata ajira au fursa ya aina yoyote Ile ya kiuchumi, wanaona namna serikali yao inavyojitahidi kutengeneza fursa za ajira kila Siku kupitia miradi mbalimbali Inayochipua kila siku

Rais Samia kawasha Taa ya matumaini katika mioyo ya Vijana wa kitanzania, Kaonyesha njia ya kufika katika mafanikio, kaonyesha upendo kwa vijana wake ambao hupenda kuwaita WANANGU kwa namna anavyo wapenda na kuwajari vijana wa kitanzania,

Hii imepelekea vijana kujiandaa kwa Hamu kubwa Sana kuja kumpigia kura nyingi Sana za ndio Rais Samia ili aendelee kuwatumikia vijana, ili aendelee kuwapa neema na fursa za kiuchumi maana vijana wameona kuwa Rais Samia Ni kiongozi aliyeonyesha dhamira ya dhati katika kuwabeba vijana na kuwakuza na kuwastawisha kiuchumi, Rais Samia ameonyesha Dhamira yake ya kuona fursa yoyote inayopatikana inakwenda kuwagusa kwanza vijana na kuwanufaisha

Rais Samia anahitaji kuona vijana wanajitegemea kiuchumi na kuwa na uwezo wa kujihudumia na kuwasaidia wazee wao wanaohitaji msaada wa kusaidiwa na kulelewa, Rais Samia Ni kipenzi Cha vijana ambaye amepelekea uchaguzi ujao kuwa mwepesi Sana kwake na kwa CCM kwa kuwa vijana wameamua kumpigia kura na kumuunga mkono

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu

Niseme ukweli unajitahidi Sana kumsemea mama. Wasipokupa motisha watakuwa wakuvunja moyo. Endelea kusifu na kuabudu labda utaonekana siku moja.
 
Chagueni tuu wazee wa madaraja wasiojali welfare mtaona moto..

In fact Mama amewajaki Sana Vijana awamu yake ni vile tuu hawajui kuchangamkia fursa..

Kuanzia kwenye kilimo,ufugaji na biashara pamoja na wamama ila wale wengine walikuwa wanaimba sgr sijui mabeberu and such upuuzi..
Ni kweli, maana ukiwezesha kijana umewezesha jamii nzima.

Mi sijui yule mwingine ilikuwaje ila ndo hivyo,
 
Back
Top Bottom