Vijana wenzangu tusiogope kuoa, ndoa tamu

Umpate mwenye akili zake timamu sasa ndiyo utafurahia, ila ndoa ni zaidi ya hayo
 
Sawa mkuu ila nina bro ni Tiss na bado kabambikiwa mtoto unafanya mchezo nnπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚Huyo Tiss katika taaluma ila katika kanjanja za maisha ya mahusiano kala buyu.Wanawake tuishi nao kwa akili,hiv viumbe bhana ni vya ajabu ndio maana tuwe makini sana na hakuna kuendekeza hisia hapo lazima upate mke sahihi
 
Ndoa bila maombi mnadumbukia shimoni, maana sio mpango wa shetani maana anaichukia na ni lazima awapaitishe kwenye miba na mtachukiana utazani mlilazimishwa kupendana wakati mlichaguana kwa akili zenu wenyewe
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Huyo Tiss katika taaluma ila katika kanjanja za maisha ya mahusiano kala buyu.Wanawake tuishi nao kwa akili,hiv viumbe bhana ni vya ajabu ndio maana tuwe makini sana na hakuna kuendekeza hisia hapo lazima upate mke sahihi
Hahahha mwamba itakuwa kapigwa kitu cha PyongYang maana hajielewi nyumba 3 kamuandikia mwanamke zote yeye analewa K vant tu kwa stress
 
Tatizo hiki kizazi cha [emoji216].Mnaendekeza zinaa na inapelekea kuoa wasio wa kuoa.Katika suala la kuoa inabidi uwe FBI au USALAMA WA TAIFA kumchunguza mwanamke wa kuoa
Tatizo linaanzia hapo, wengi tunabebana hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…