Mtu unamiliki gari alaf unavizia Wi-fi za bure vyuoni?Kweli amna mwana JF anaekosa gari nchi hiiTatizo hapo Must wanadownload sana speed inakuwa ndogo,
Ila kwakweli wifi ni Tatizo, nimezoea zaidi kwenda Mzumbe ila huwa nasubiria kwenda mwezi wa saba mwishoni hadi wa tisa huwa hakuna wanafunzi speed kubwa mno hado Mb 15 kwa sekunde.
huwa napaki gari nateleza tu, hata hapo Must kipindi kukiwa hakuna wanafunzi net inakuwa fresh, mziki wanafunzi wakirudi sasa
Uko chuo kipi?unikumbuke kwenye ufalme wako kijana wa IT hapa ndo naingia 3rd year😂
Niko MUSTUko chuo kipi?
Mi dogo kamaliza ICT
Field kapiga hapo ttcl
Anasema mifumo ya kizamani ndo wanawasidia kuweka mifumo ya kisasa
OkayNiko MUST
Unamjua mtu anaeitwa Peter Mpinga?Niko MUST
Hapana,Unamjua mtu anaeitwa Peter Mpinga?
Hacker unaogopa! Basi huwezi mapambanoUhalifu,wa kimtandao unatafutwa kimtandao na expert wenzako ni vita kabisa yenye silaha na mashambulizi
Kuna kuzidiana uwezo na maarifa ya ziada
Anhaa Yuko MUST nilidhani ni maarufu.Hapana,
Mama katusoma humu, kishtangaza vyuo vyote vipewe data bure. Kaenda mbali zaidi na BRT yote wafungiwe wifi za bure.Kwanini vyuo visiwe na free WiFi Kwa wanafunzi?wachangie kupitia Ada??
Itakua Jambo la maana sanaMama katusoma humu, kishtangaza vyuo vyote vipewe data bure. Kaenda mbali zaidi na BRT yote wafungiwe wifi za bure.
By the way I'm not a hacker, na sina ujuzi wowote ule kuhusu masuala ya kimtandao,Hacker unaogopa! Basi huwezi mapambano
Mkuu nilijibu kutkna na context uliyotoa and im not thinking kwamba It ni just hacker kuna vitu vingi vya kufanya IT kama kuwa progaramer,Software engeneer ,Database na zaidi hata cybersecurity....By the way I'm not a hacker, na sina ujuzi wowote ule kuhusu masuala ya kimtandao,
But najua hacking is getting unauthorized access ya system bila ruhusa ya muhusika and inakua for beneficial purpose,though wapo wanaofanya for funny.
Kwa sheria za kimtandao hilo ni kosa kama makosa mengine sawa na mwizi kuingia ndani kwako kwa kuvunja mlango maan hana ufunguo.
And by the way outside hua mnawaza ubora wa IT ni kua hacker ,
Mavyuoni humo hufundishwa just basic principles for ethical hacking.
I got youMkuu nilijibu kutkna na context uliyotoa and im not thinking kwamba It ni just hacker kuna vitu vingi vya kufanya IT kama kuwa progaramer,Software engeneer ,Database na zaidi hata cybersecurity....
Mkuu cybersecurity inafundisha hacking white one na kuna "Grey hat" ambayo mtu anapenetrate kwenye mfumo ili kujua Weekness yke...
So not every hacking is illegal nadhai unafahamu kwa sababu nimeona umezungumzia ethical hacking.
Asante mzungu kwa net ya bure nilishachoka kununua 1gb kwa 2100
Yes ipo wana wireless controllers and they distribute across campus and few classes.Wifi zipo vyuo kibao vya serikali.
ila kwa hivi vya private vingi hawaweki kupunguza gharama
Watu wanajua kusifia tu hata kama unakosoa in negative way ukinasa hawapo kabisaBhasi waache wawe kimya Mana unaonekana huna msaada wowote kwao.
Mwenyewe nilikuwa na mtizamo kama wako ila nilipoanza kujihusisha na make money online nikagundua nchi ya Tanzania ni ngumu sana kuishi kama IT.kibongo bongo kozi za kompyuta tushazoea kuziita kozi za IT ikiwemo computer science , computer engineering, IT, n.k.
Maisha ya sasa teknolojia ipo mbali sana na tunatembea, smartphones, internet, apps, n.k. zimekuwa sehemu ya maisha yetu
Hapa bongo pametulia mno utadhani hatuna wanafunzi wa hizi kozi, hakuna pirika pirika.
Pirika pirika hizi ni
mwanafunzi wa chuo flan katengeneza app hasa inayoendana na mazingira yetu
Mwanafunzi flani kafikia hata robo fainali ya mashindano ya IT kimataifa.
Wanafunzi wa chuo flani wanapiga pesa kwenye internet
migomo ya mtandaoni, mfano vifurushi vilipopanda bei tovuti mojawapo ingetunguliwa, ukiingia unakutana na bango likilaani vifurushi kupanda bei inaathiri kusomea mtandaoni.
Hatusikii hata wanafunzi watukutu wametungua system ya chuo wameiba mitihani ama kubadili marks
Kimya sanaaa, kumepoa mnoooo
Wala siyo wazungu ni wahindi, pakistan na Ghana.Asante mzungu kwa net ya bure nilishachoka kununua 1gb kwa 2100