hata sisi tunazama hapo magogoni na chamwino bila mbambamba yoyote na wala haturingi,Jidanganye hivyo hivyo mwenzio anaingia White House km bafuni kwake, wewe umekalia uchawa tu.!! πΉπΉ
gentleman,Kipi kinakuoa jeuri, au ni wale makomandoo wanaoapasuliana matofali kichwani.
Ha ha π πJamaa anapiga za Koromeo tu mpaka ahakikishe hawa Walafi wanatema ndoano.
Ngoja suruali ianze kukupwaya wadudu wakipanda kichwani ndo utaelewa..!! πΉhakuna pesa ya mwenye kimbelembele cha kutoa misaada bila kuombwa itarudi, with my deadbody,
ama ninyi mtu akijipendekeza kuwamwagia ofa za vitu mbalimbali huwa mnarudisha, right?π
πΉπΉπΉ Kwahiyo magogoni unaifananisha na White House??hata sisi tunazama hapo magogoni na chamwino bila mbambamba yoyote na wala haturingi,
huyo mmatumbi hawezi kubabaisha Tz na Africa kwa lolote my lady π
Kumbe na waeskimo nao wamo humu! Anayekijua anitafsirie.Ngo zao ndo zimekuwa zinaliapa watu wao huko USA sasa nchi za kiafrica zinalipaje
My lady,πΉπΉπΉ Kwahiyo magogoni unaifananisha na White House??
Nakukumbusha wamesitisha ARV we jichetue π€£
Watu kama wewe wanadhihirisha uafrika ulivyo laaana walikuja wakapora madini si wanachimba kwa mikataba ambayo viongozi wanasaini bila kufikiri acheni lawama kwa ujinga wetu sisiPili na wao waache kusgunikiza nchi za kiafrica kuchukua madini kwa vei ya bwereree kutikana na influence za uasid
Uliona white house wanakuja kuomba misaada magogoni??My lady,
huna haja ya kubabaika sana na mambo hayo,
utofauti ni majina tu ya hizo nyumba, wao wanaita white house na sie tunaita ikulu ya magogoni na chamwino, but hadhi ni ile ile moja kwamba hayo ni makazi na ofisi ya kiongozi mkuu wa nchi.
hata hivyo,
niwaondoe hofu kuhusu ARVs,
na kwamba zipo za kutosha na wahusika wote mtazipata bila mbambamba yoyote π
suruali zitaendelea kuvaliwa vizuri tu my lady, tena zile zenye marinda kabisa, na kuulamba mkanda wa nje kama kawaida,Ngoja suruali ianze kukupwaya wadudu wakipanda kichwani ndo utaelewa..!! πΉ
kwahivyo akina Obama walikuja kunywa chai ikulu ya magogoni right? all the way from US.Uliona white house wanakuja kuomba misaada magogoni??
Hizo ARV km mmezificha kwa matumizi yenu ya baadae sawaβ¦ uzuri ulipo ndo jikoni kwa ngwengwe πΉπΉ
Waendelee kubana kende hadi kieleweke."Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." β Elon Musk
"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." β Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani
Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk
View attachment 3269171
Mluu usijifanye Msigwa wa JF kwakutetea kila kitu kuihusu serikali. Kwanza Elon kazngumzia Serikali za Africa, pia ukiona % kubwa ya wadau kupongeza kauli ya Eloni wewe sijui unapata picha gani?.My lady,
huna haja ya kubabaika sana na mambo hayo,
utofauti ni majina tu ya hizo nyumba, wao wanaita white house na sie tunaita ikulu ya magogoni na chamwino, but hadhi ni ile ile moja kwamba hayo ni makazi na ofisi ya kiongozi mkuu wa nchi.
hata hivyo,
niwaondoe hofu kuhusu ARVs,
na kwamba zipo za kutosha na wahusika wote mtazipata bila mbambamba yoyote π
Gentleman,Mluu usijifanye Msigwa wa JF kwakutetea kila kitu kuihusu serikali. Kwanza Elon kazngumzia Serikali za Africa, pia ukiona % kubwa ya wadau kupongeza kauli ya Eloni wewe sijui unapata picha gani?.
Hii imekaa vizuri."Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." β Elon Musk
"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." β Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani
Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk
View attachment 3269171