Viongozi wa Afrika watakiwa kutoa ushahidi wa pesa za misaada

Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." β€” Elon Musk
Waje tu maana tunaona fedha zinazotajwa ni nyingi lakini hatuoni cha maana ila tunaona "wakubwa" wakiogelea ktk utajiri wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara maarufu nchini!
 
waanze na consultant wao wamepiga pesa sana,tenda nyingi wamefaidi wamarekani ukianza na ARVs.
 
Unampangia pale unapokuwa umempa misaada ya kujikwamua, umepewa pesa kwa ajili ya kupambana na malaria unatumiaje misaada hiyo kununua mabasi ya CCM.
 
Kwani tuliwalazimisha watupatie huo msaada na kuna kipengele katika mkataba kinasema tunaweza kydaiwa kurudisha hiyo pesa?
Tumejengea majumba na nyingine tumeweka huko kwenye akaunti za nje kwa ajili ya familia zetu.
 
Kwani tuliwalazimisha watupatie huo msaada na kuna kipengele katika mkataba kinasema tunaweza kydaiwa kurudisha hiyo pesa?
Tumejengea majumba na nyingine tumeweka huko kwenye akaunti za nje kwa ajili ya familia zetu.
c mama alikuwa anatembeza bakuli huko duniani kufungua nchi
 
c mama alikuwa anatembeza bakuli huko duniani kufungua nchi
Hiyo misaada wametoa tangu na tangu ndio maana USAID imekuwa hapa kwa miaka mingi.
Halafu hiyo misaada ukitazama vzuri hata haikuwa ya bure, ilikuwa inatunika kuinfluence agenda na ukubwa wao. Sasa kama hunipi chochote utanipaje masharti.
Ila pesa tulikuwa tukanunua na majumba nje
 
si muhimu na wala sio Lazima kufanya hilo licha ya kua ushahidi upo wa kutosha tu.

hakuna alazimishwae kusaidia anae jiweza πŸ’

Ni muhimu sana sababu ya kukosa uadilifu na uwajibikaji. Tunanunua magari mengi kwenye project husika. Magari ambayo tunaishia kugawana bila kuhakikisha project zinakamilika.
Kusema kweli USA wamefanya kitu sahihi. Mtegemea cha ndugu hufa maskini. Tuanze kuwajibika wenyewe kwa maendeleo yetu
 

Tunakataa sasa hivi sababu tumenyimwa. Mbona tulikuwa hatusemi lolote tulipokuwa tunapokea?
Tuanze kutumia tunachokusanya kufanya maendeleo yetu. Haya mambo ya misaada yana mwisho. Tulikataa ujamaa...kwanini tunakataa kujitegemea?
 
Mwamba apewe maua yake
 
Kama Taifa,
tutaendelea kuwajibikia maendeleo ya wananchi na waTanzania wote bila kushurutishwa na mmatumbi kutoka taifa lolote duniani,

Tutaendelea kununua vifaa vya kazi kwa fedha zetu wenyewe na kuvitumia kwa maslahi mapana ya wananchi wote wa Tanzania.

anaejitia kimbelembele cha kutoa misaada anakatibishwa na misaada yake itapokelewa lakini kamwe hatutakua na haja ya kubabaika nae kama Taifa huru linalojitegeamea πŸ’
 
Tunakataa sasa hivi sababu tumenyimwa. Mbona tulikuwa hatusemi lolote tulipokuwa tunapokea?
Tuanze kutumia tunachokusanya kufanya maendeleo yetu. Haya mambo ya misaada yana mwisho. Tulikataa ujamaa...kwanini tunakataa kujitegemea?
Eeeh kama wanataka tuwape ripoti hatuwapi hata wasipoleta waache sisi tushajijengea majumba na nyingine tukaweka huko uswiss.
 
Kununua magari ya washawasha kwa ajili ya uchaguzi. ushahidi namba tatu huo
 
Naunga mkono hoja hyo.
Nafurahi viongoz watabanwa na maendleo yataonekana ila naskitika waafrica tutalipa nin? Au jamaa wanamipango yao juu ya rasilimali zetu. Napata HISIA MCHANGANYIKO
 
naomba tu wamarekani watambue kuwa, ss waafrica wenye uchungu na bara la africa, tunamtaka trump ikulu ya marekani (white house) mpaka 2040 tu. Wakifanya hvo roho zetu zitasuhuzika sana.
 
Elon ameamua kutukalia kooni, ana haki ya kujua pesa zinafanya nini, ila hajui kuwa ripoti ya uongo inaweza kutengenezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…