Why unafikiri hili swala limegeuka "kuuzwa Kwa bandari"??
 
WATANZANi WAlIFUNGULIWA NA JPM
 
Upotoshaji

Ndio maana serikali inatakiwa kutoa elimu sahihi.

Kama wasomi wanapewa elimu sahihi na haiwasaidii labda kuna tatizo lingine ..
Binafsi naona kama wawekezaji wangekuwa wazungu..labda ingekuwa tofauti..
Nafikiri chuki Kwa waraabu na religious biased zimechangia zaid
 
Huo mkataba ulitakiwa kuwa kati ya DPW na TPA na siyo DWP na JMT
 
Hiyo namba 4 nimesoma hadi mwili unatetemeka, tumefikaje hapa
 
Nini kifanyike ikiwa wale wapumbavu bungeni wameshatokwa povu kwa kutetea?
 
WAWEK MKATABA MEZANI NA WATOE MJADALA HURU WAJIBU MASWALI YA WANASHERIA WETU WA KITAA


TUWAULZE MASWALI 10 WAKIJUBU TUKARZK BAS TUENDELEE
 
Hilo swala sio mambo MTAMBUKO [emoji4][emoji19] wanatakiw wabobez wa kisheriA /mikAtAba, wanauchumi na wanasiasa wenye uwezo wakuchambua mambo


Huyu jamaa wa ACT Yupo Kimyah , kashalamb asali n nn
 
Kama wanajua una tija wasitumie nguvu kubwa kutuaminisha badala yake wasubiri waje watuoneshe matunda yake
Akili zako wewe ni ....! Ni saw na kusema kama njia hii kuna Simba MLA watu ,Mimi napita nione kamaal ataniyafuna au la!
 
WAWEK MKATABA MEZANI NA WATOE MJADALA HURU WAJIBU MASWALI YA WANASHERIA WETU WA KITAA


TUWAULZE MASWALI 10 WAKIJUBU TUKARZK BAS TUENDELEE
Spika alisema huu sio mkataba lkn waziri anasema mkataba huu..........
 
Nchi yetu imeendelea kuwekeza katika Bandari zetu kwa vyanzo tofauti, pamoja na hatua mbalimbali, bado Bandari hazijafikia viwango vinavyotakiwa kimataifa.
Uhuni mtupu, kwanini tuseme inawekeza badala ya inawekezwa? Ubinafsi na uchawa ndiyo unaleta statement za kipumbavu kama hizi, kwanini msiwajengee uwezo watu wa ndani ili kuwapanulia raia wenu soko la ajira wakati?
 
Kichaa hawezi kusaini huo mkataba atakimbia tu labda umshike mkono.
 
Bora ungelinganisha mfugaji wa mbuzi na mfugaji wa simba
 
Kama wanajua una tija wasitumie nguvu kubwa kutuaminisha badala yake wasubiri waje watuoneshe matunda yake
Watuoneshe matunda wakati tukiwa tumeishapigwa? Heri nusu shari kuliko shari kamili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…