Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Bagonza chukizo la walinda legacy!!Askofu Benson Bagonza wa KKKT ameuliza swali kupitia Ukurasa wake twitani
Je Bandari Imekodishwa au Sisi ndio Tumekodi Waendeshaji?
Mlale unono!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bagonza chukizo la walinda legacy!!Askofu Benson Bagonza wa KKKT ameuliza swali kupitia Ukurasa wake twitani
Je Bandari Imekodishwa au Sisi ndio Tumekodi Waendeshaji?
Mlale unono!
Kwasababu serikali haijakanusha contents zake. Ni fake kwa maana ya jinsi ulivyowafikia Lakini contents zake ni sawa na wanazoongelea serikaliHuyu padri nae anasema anao mkataba feki halafu anaunukuu.
Shule alienda kusomea ujinga.
Achana naye huyu anafikiria mabinti hewa atakaopewa huko kaburiniNdio maana akawa anatumia neno labda,acha kujifanya mjuzi kumbe na hila zako za kidini.
We mwanamke una matatizo sana,yani MTU yoyote akiwa na imani tofauti nawe judgment yako kwake huwa ipo tofauti.
Sasa kam Waziri alikwenda kuongea nao kwa nini hakuwagawia imekataba orijino ili waweze kuichambua.ni upuuzi kwenda Ku convince MTU huku unajua fika hana taarifa ya kutosha kuhusu hicho kitu huku wewe ukiwa well informed.
Bora huyo padri aliyetumia Mkataba usio rasmi kutolea ufafanuzi.
Ila unatakiwa ubadilike una matatizo sana,hiyo imani waachie wenyewe waarabu wenye imani yao wewe inakuondolea utu wako kabisa.
Tunajua kinachokusumbua.Kwa maoni yako ni bora yule aliyewatisha watoa maoni kwa kivuli cha kumtusi Rais.Kitima si kichwa cha mchezoHuyu padri nae anasema anao mkataba feki halafu anaunukuu.
Shule alienda kusomea ujinga.
Mjinga uliyekua unaongoza ni wewe na ndiye ulimfundisha huo ujinga kigagula wewe.Huyu padri nae anasema anao mkataba feki halafu anaunukuu.
Shule alienda kusomea ujinga.
We huna akili ya kumkosoa huyo, hapo zinatumika akili sio chuki na mihemko kama yakwako.Huyu padri nae anasema anao mkataba feki halafu anaunukuu.
Shule alienda kusomea ujinga.
Wacha afanye kazi ya bunge lililofeli kuhojiBora angesema "wasi wasi akili" kuliko maelezo mareefu.
Wajinga hawawezii kuelewa hiyoLeo ndio nimegundua hawa ni kanisa dola kwa kificho. Kwamba wamechunguza kuhusu Dp na wanayo nyaraka ya maandishi wataikabidhi serikali. Kasema wanayo nyaraka fake ya huu mkataba ambayo mwanasheria Hamza alipokuwa akitoa ufafanuzi akitumia ile nyaraka quinine ni kama mambo yote ya feki na junioni yana fanana.
Kasema kwa akili kubwa hapa, maana yake ni hicho kinachoitwa feki sio feki bali kinakuwa feki kwa vile tu kimevujishwa hakikuwafikia watu kwa utaratibu unaokubalika.
Bunge la Chama kimoja liliosimikwa na Magufuli.Wacha afanye kazi ya bunge lililofeli kuhoji