Akabi kemanya
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 226
- 346
Kuna watu hawapendi kusikia hayo maneno" Wabunge wetu wamekuwa watu wa kuunga mkono kila kitu wakati mwingine hata kwa mkumbo ama wao huona ni kama mtindo huku wakiwaumiza Wananchi hii si sawa hata kidogo!"
" Bunge lijikite kwenye misingi chanya ya kuwatetea Wananchi na siyo kuwaumiza."
Katibu TEC.