Viongozi wa mkoa wenye roho mbaya sana

Viongozi wa mkoa wenye roho mbaya sana

Mayor Quimby

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2021
Posts
4,950
Reaction score
10,977


Watu kama Makala na Gondwe ambao hawajajiajiri maishani mwao miaka yote wanaishi kwa jasho la walipa kodi hawawezi kujua ugumu wa kusimamisha biashara kutoka mchangani.

Dada wa watu katega eneo zuri ambalo mmempa wenyewe, ameweka hela yake, ameitumia nguvu ku-brand biashara leo imekuwa imara mnamwambia avunje muweke zahanati.

Na sidhani hata kama wamempa fidia ya investment zake wala compensation on loss of business.

Mbona msiende kwa vigogo wacheni kuonea watoto wa maskini tu.

Japo mwenye biashara karidhika ila sio sawa kabisa nchi yetu wote hii.
 
Huna msikilize vizuri kasema kunajengwa kituo cha afya na yeye akikuwa open space ya manispaa temporary hilo eneo kinapanuliwa kituo cha afya
Hao unaowalaumu ndiyo kwa utu wamemtafutia eneo mbadala
Unajua eneo ni la manispaa
 
Shishi kafidiwa
Kapewa kiwanja tu sehemu nyingine hiyo sio fidia.

Kuna investment (wanatakiwa wampe hela yake).

Loss of business income mishahara ya wafanyakazi wake wakati wanasubiri sehemu mpya, pamoja ni income atakayopeteza.

Goodwill/Brand cost ambazo anatakiwa kutumia kulitangaza eneo jipya.

Ni hivi sio sawa kabisa, watanzania wengine treatment zao ni less favourable kushinda wengine.
 


Watu kama Makala na Gwonde ambao hawajai jiajiri maishani mwao miaka yote wanaishi kwa jasho la walipa kodi awawezi jua ugumu wa kusimamisha

Dada watu katega eneo zuri ambalo mmepa wenyewe, ameweka hela yake, ameitumia nguvu ku-brand biashara leo imekuwa imara mnamwambia avunje muweke zahanati.

Na sidhani ata kama wamempa fidia ya investment zake wala compensation on loss of business.

Mbona msiende maeneo mliyowapa wamanga na magacholi; mnabaki kuonea watoto wa maskini tu.

Japo mwenye biashara karidhika Hila sio sawa kabisa nchi yetu wote hii.
Eneo hilo muda sana ilitengwa kwa ajili ya kujengwa kituo cha afya

Ova
 
Huna msikilize vizuri kasema kunajengwa kituo cha afya na yeye akikuwa open space ya manispaa temporary hilo eneo kinapanuliwa kituo cha afya
Hao unaowalaumu ndiyo kwa utu wamemtafutia eneo mbadala
Unajua eneo ni la manispaa
Kituo cha afya wameona kinafaa shishifood tu katika hilo eneo.

Kwanini wasingempa eneo aanze biashara ndio wamuondoe.

Unampa mtu notice ya siku tatu na eneo, hiyo miezi ambayo biashara aifanyi kazi wafanyakazi wake wanakula wapi na familia zao.
 
Kapewa kiwanja tu sehemu nyingine hiyo sio fidia.

Kuna investment (wanatakiwa wampe hela yake).

Loss of business income mishahara ya wafanyakazi wake wakati wanasubiri sehemu mpya, pamoja ni income atakayopeteza.

Goodwill/Brand cost ambazo anatakiwa kutumia kulitangaza eneo jipya.

Ni hivi sio sawa kabisa, watanzania wengine treatment zao ni less favourable kushinda wengine.
Mbona mwanzo alipokuwa block41 alihama baada ya eneo alilokuwa anafanya biashara kuuzwa
Hebu mshauri atafute sehemu ya uhakika,asipende maeneo ya mterezo

Ova
 
Kitu cha afya wameona kinafaa shishifood tu katika hilo eneo.

Kwanini wasingempa eneo aanze biashara ndio wamuondoe.

Unampa mtu notice ya siku tatu na eneo hiyo miezi ambayo biashara aifanyi kazi wafanyakazi wake wanakula wapi na familia zao.
Kwani yeye ndiyo mtu wa kwanza kuondolewa kwenye sehemu au kwa sababu ndiyo shyshy
Mtaalam wa kodi sasa unaniangusha hapa

Ova
 
Eneo hilo muda sana ilitengwa kwa ajili ya kujengwa kituo cha afya

Ova
Shishi alikuwa anajua hilo wakati anapewa, maana yeye kalikuta dampo? Au wanajua ndani ya manispaa tu.

Sidhani mtu ambae alijua anytime anaondelewa angefanya investment kubwa hivyo.

Either anatakiwa afidiwe sahihi for loss of business sio kumpa eneo lingine tu.
 
Kwani yeye ndiyo mtu wa kwanza kuondolewa kwenye sehemu au kwa sababu ndiyo shyshy
Mtaalam wa kodi sasa unaniangusha hapa

Ova
Siongelei kwa sababu nani anaondolewa hila ethics of the removal ndio shida.

Halafu mie sio mtaalamu wa kodi nimesoma accounting tu kumaliza taxation ni sehemu ya course.

Mtaalamu wa kodi ni accountant, ana professional qualification (ACCA or whatever), amefanya kazi kwenye eneo la kodi kwa miaka zaidi ya tano.

Baada ya hapo kaenda tena kusoma masters ya sheria za kodi, kuna mitihani mingine ya kufanya baada ya masters; ndio unakuwa qualified tax accountant nchi za wenzetu.

Haya majadiliano yetu ya kodi JF ni basic tu. Hila kuitwa mtaalamu kwa viwango vya huku kijijini kwetu bado sana.
 
Shishi alikuwa anajua hilo wakati anapewa, maana yeye kalikuta dampo? Au wanajua ndani ya manispaa tu.

Sidhani mtu ambae alijua anytime anaondelewa angefanya investment kubwa hivyo.

Either anatakiwa afidiwe sahihi for loss of business sio kumpa eneo lingine tu.
Yeye ndiyo alitakiwa kufahamu

TatiZo wafanya biashara aina yake

Wanapenda mseleleko kutiatia huruma

Ova
 


Watu kama Makala na Gwonde ambao hawajai jiajiri maishani mwao miaka yote wanaishi kwa jasho la walipa kodi awawezi jua ugumu wa kusimamisha

Dada watu katega eneo zuri ambalo mmepa wenyewe, ameweka hela yake, ameitumia nguvu ku-brand biashara leo imekuwa imara mnamwambia avunje muweke zahanati.

Na sidhani ata kama wamempa fidia ya investment zake wala compensation on loss of business.

Mbona msiende maeneo mliyowapa wamanga na magacholi; mnabaki kuonea watoto wa maskini tu.

Japo mwenye biashara karidhika Hila sio sawa kabisa nchi yetu wote hii.
Mbona ni kitu Cha kawaida tu hiki? Mnapenda kukuza mambo sana Yale Yale ya Dr Kimario na KKKT
 
Siongelei kwa sababu nani anaondolewa hila ethics of the removal ndio shida.

Halafu mie sio mtaalamu wa kodi nimesoma accounting tu kumaliza taxation ni sehemu ya course.

Mtaalamu wa kodi ni accountant, ana professional qualification (ACCA or whatever), amefanya kazi kwenye eneo la kodi kwa miaka zaidi ya tano.

Baada ya hapo kaenda tena kusoma masters ya sheria za kodi, kuna mitihani mingine ya kufanya baada ya masters; ndio unakuwa qualified tax accountant nchi za wenzetu.

Haya majadiliano yetu ya kodi JF ni basic tu. Hila kuitwa mtaalamu kwa viwango vya huku kijijini kwetu bado sana.
Hahaha...elimu ya kodi nakupa kongole lakini...napataga 1,2,3 kwako

Ova
 
Yeye ndiyo alitakiwa kufahamu

TatiZo wafanya biashara aina yake

Wanapenda mseleleko kutiatia huruma

Ova
Sasa angefahamu vipi ina maana kila mtu basi akipewa eneo inabidi aende mipango miji kuuliza wajameni hapa mnamipango gani ya baadae.

Manispaa kama walijua hilo neno ni reserve awatakiwi kumpa mtu kabisa.
 
Mbona ni kitu Cha kawaida tu hiki? Mnapenda kukuza mambo sana Yale Yale ya Dr Kimario na KKKT
Haki itendeke wampe fidia sahihi za kuondoa biashara sio kiwanja tu. Yaani maeneo yote ya Kinondoni Zahanati wameona itafaa kuwekwa shishifood tu.
 
Back
Top Bottom